Tumekutana mahali tukajadili mawili matatu tukabadilishana namba kiukweli interest zetu zikaendana na tukaendelea kuwasiliana/kusaidiana kimawazo kwa mda kidogo lakini urafiki umeisha gafla baada...
Siku hizi sio ajabu kuona mabinti wengi wa vyuoni ndio wanaoongoza kwa maadili mabovu hasa vitendo vya umalaya na mambo mengine yanayohusiana na hayo kunani jamani mpaka imefikia kipindi mnaogopwa...
Malezi ni kitu kipana sana ambacho kinahusisha uhusiano wa mtoto, wazazi pamoja na mifumo ya kijamii,kiuchumi na hata mifumo ya kisiasa inayowazunguka.
Kijamii:
Malezi ya mtoto yanachangiwa...
Najua mtanisema sana ila ninaona nimefikia tamati sitaki tena ubachelor nichoka kuishi ado ado kama mtoto wa paka aliyepotea soon nitajitahidi niwe double .
Sijui nyie wenzangu.
Dear ladies,
Let me teach you how to show love to your guy.
Some of you ladies do not know how to show love to the guy you are dating. some ladies think that the only way to show a guy love is by...
Roho inauma ila sina namna kuna binti niliyekua nampenda ila siku za hivi karibuni amebadilika gafla naweza kumpigia simu ata mara 4 hapokei na na Baada ya Mda namkuta Kapost status Whatsapp...
Hivi unakuta Mwanaume anasifiwa na mkewe eti anajua kupika
Ilikuwa hivi.
Napita zangu kibarazani hapa home nikawakuta wanawake baadhi majirani na wapangaji kama desturi yao wanapiga zao...
usidanganywe na maneno ya huko vijiweni kwenu sometime tuwape respect wanawake tu Kama umekataliwa na mwanamke kubali tu na uendelee na maísha yako. Sio kuanza kumtukana mwanamke tambua wanawake...
Nimekuwa kwenye mapenzi huu ni mwaka wa nne lkn sijawahi kumfikisha kileleni mpnz wangu kwa njia ya kufanya sex ya kawaida hata nitumie masaa mawili kumuingizia.
Lkn nikimuwekea kidole tuu dakika...
Habari wana jamii poleni kwa uchovu wa mapambano ya kutafuta mkate wa kila siku.
Lakini pamoja na uchovu mlionao napenda pia tujadili juu ya swali hali na ufafanuzi wake ,huku nikizingatia kwamba...
Habarini wakuu..
Napenda kujua kama pengine tumekwishawahi kuoa, kusikia na ama tuna ndugu na marafiki walio katika ndoa/mahusiano huku aidha mmoja ni mwenye tatizo la usikivu na au wote...
Habari wana jukwaa.Mimi ni mwanaume mwenye miaka 34,ni mwajiriwa wa serikali.Na Ni mrefu kiasi na mnene wa wastani.Dini yangu ni RC na kabila langu ni mchaga.Natafuta mwanamke mwenye umri wa kati...
1. A man does not live with his parents (for an extended time).
2. A man has his finances in order.
3. A man does not let his ass hang out of his pants.
4. A man's language does not revolve...
Huwa wanasema hakuna mahusiano au ndoa iliyokamilika asilimia mia moja sasa kama ni hivyo kati ya hawa nani anapaswa kuwa mshauri wa masuala ya ndoa na mahusiano kwa ujumla?
Mwanasaikolojia:Hawa...
Linapo kuja suala la mahusiano hii ndiyo type ya kuwa nao kwenye mahusiano, hata ukitoka nae out hakuna ile mizinga ya kindezi ndezi, mara umtumie 20 ya saloon, mambo kibao ilimradi tu akupe...