Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 6,981
- 14,752
Linapo kuja suala la mahusiano hii ndiyo type ya kuwa nao kwenye mahusiano, hata ukitoka nae out hakuna ile mizinga ya kindezi ndezi, mara umtumie 20 ya saloon, mambo kibao ilimradi tu akupe frustration... Piga chini tafuta vyombo kama hivi
Mademu wa kibongo wanakupigia hesabu unakufa lini warithi mali, bora uwe na demu mwenye hela, ukiwa na demu maskini utakufa kifo kibaya, yaani utakufa kifo cha kijinga hadi huko mbinguni utaenda kujishangaa namna ulivyo poteza uhai kwa uzembe
Mademu wa kibongo wanakupigia hesabu unakufa lini warithi mali, bora uwe na demu mwenye hela, ukiwa na demu maskini utakufa kifo kibaya, yaani utakufa kifo cha kijinga hadi huko mbinguni utaenda kujishangaa namna ulivyo poteza uhai kwa uzembe