Roho inauma ila sina namna kuna binti niliyekua nampenda ila siku za hivi karibuni amebadilika gafla naweza kumpigia simu ata mara 4 hapokei na na Baada ya Mda namkuta Kapost status Whatsapp means kwamba kaona call zangu lakini kazi mute sad namtumia Text wala hajibu au anajibu akijisikia daaah sad..
Nikimuuliza nini Tatizo anadai hakuna Tatizoo nashindwa kumuelewa wadau na nisipomtafuta mimi hatanitafuta kabisaa ata nikikaa siku 3 na yeye ata mute na mwanzoni hakua hvoo kabisaa alikua asubuhi anacheki jioni ananipigia simu tunaongea ila sasa hivi hafanyi hvoo.....
NDO NIMEACHWA HIVI AU BADO NIENDELEE KUJIPA MATUMANI KUWA ATABADILIKA??..
NOTE: HATUJAWAHI KUGOMBANA WALA NINI..
Nikimuuliza nini Tatizo anadai hakuna Tatizoo nashindwa kumuelewa wadau na nisipomtafuta mimi hatanitafuta kabisaa ata nikikaa siku 3 na yeye ata mute na mwanzoni hakua hvoo kabisaa alikua asubuhi anacheki jioni ananipigia simu tunaongea ila sasa hivi hafanyi hvoo.....
NDO NIMEACHWA HIVI AU BADO NIENDELEE KUJIPA MATUMANI KUWA ATABADILIKA??..
NOTE: HATUJAWAHI KUGOMBANA WALA NINI..