Na ndiyo maana tunakufa mapema - presha, kisukari, msongo wa mawazo, magonjwa ya moyo, mental health issues na mengineyo. Kuzaliwa mwanaume ni kazi tena pevu. Pole kamanda !!!Kuna wakati unafika unataka kufanya maamuzi magumu ila ukiwatazama wanao unasikia maumivu makali moyoni kama mtu anauchana moyo wako n'a kiwembe basi unaamua bora siku ziende tu maana huna jinsi ulishajichanganya katika maisha...
Ilo umenena! Wanawake vichwa maji! Kama sio watoto nyumba nyingi tungeishi wenyewe!Kuna wakati unafika unataka kufanya maamuzi magumu ila ukiwatazama wanao unasikia maumivu makali moyoni kama mtu anauchana moyo wako n'a kiwembe basi unaamua bora siku ziende tu maana huna jinsi ulishajichanganya katika maisha...