Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,298
- 40,100
Wapi japan kule wanakuita kumamotomambo ya kuhondomola,😀 kuna wngine walikufaga pia japan. kisa kama hiki hiki.
TehMgoswe Penzi Kitovu Cha Uzembe
Walikua ghorofani.Alidondoka walikuwa wapi? Umeweka picha ya ghorofa sawa.
Teh ...[emoji28][emoji41]Nakumbuka kuna siku nilikoswa koswa na kibao chambuzi kilikua kimetegeshwa juu ya kabati la vyombo...kujitia ufundi watu tupo jikoni purukushani mzigo ukatua sentimita chache pemben ya kichwa...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]siwezi sahau aisee
Ngoswe alifaidi sana kisses kwa Mazoea kule mtoni kabla ya kufumwa na Mama MazoeaMgoswe Penzi Kitovu Cha Uzembe
Unatafuta ban nyingine hahahhWapi japan kule wanakuita kumamoto
😅Thekthi ya ghorofani tamu bwana..hasa mkiwa kwenye balcony zile🤗🤗🤗... apumzime peeema