1. Ndio nakuja ila ujue sikai sana
2. Nishukie wapi?
3. Saizi saa ngapi nataka kuondoka
4. Ubaya wako utaingiza yote
5. Uingize kichwa tu
6. Funga mlango kwanza
7. Sikai sana uharakishe
8. Tufanye...
Habarini humu!
Umri wangu umetimia hivyo nimeanza hatua ya kusaka jiko popote lilipo naombeni maombi yenu nipate mtu sahihi hadi tuzeeke wote.
CV yangu.
Umri: miaka 32
Elimu: shahada...
Habarini ndugu zangu,wazee wangu, wazazi wangu Kaka zangu, dada zangu, wadogo zangu, pamoja na vijana wenzangu kwa ujumla.
Umri wangu mi Ni miaka 26 Ni kijana wa kiume mwenye akili timamu...
TESO KUBWA SANA KATIKA MAISHA YA MWANADAMU NI KUMPENDA MTU ASIYE SAHIHI KATIKA ENEO LILILOSAHIHI”
YAPO MAMBO 25 YANAYOJITOKEZA:.....
1. Mtu asiye sahihi huleta mahangaiko na mateso.
2. Mtu asiye...
Tuliopitia maisha ya shule za bweni tunajua .
Binti anaingia boarding ya me /ke
Akiwa form two anapata mume wake wa kidato cha tatu ,yule mume au boy friend akimaliza form 4 anapata mume mume...
Wivu ni hali ya kumuona jogoo anapanda mtetea wewe kama binadamu unawarushia mawe
Hiyo Ndiyo definition ya wivu
Kwa hiyo acheni wivu!!!
Kama ipo definition nyingine weka hapa
Karibun Sana...
Unajua hizi siku za karibuni nimekaa nikajiuliza sana.Hivi kwa nini siku hizi kuna wimbi kubwa la wadada kutafuta wanaume in social medias mfano; Facebook unaweza ukakuta tu post mdada...
Habari za usiku tulivu, poleni kwa majonzi ya msiba wa Morogoro, sote njia yetu moja kila mmoja kwa muda na wakati wake, ajuaye lini ni Maulana pekee. Pole za dhati ziwafikie walioguswa na msiba...
Kama jukwaa linavyosema, ni jukwaa la mapenzi, mahusiano na urafiki.
Leo sina mengi ila ninapenda kuomba urafiki na moderator yoyote wa kike ili awe rafiki yangu wa karibu tuwe tunapiga story...
Habari wadau,
Leo nilikimbia kidogo ukweni kusalimia wazee wangu walionizalia mke wangu mzuri.. Baada ya kupiga story na kupata msosi tukaanza kufunga mizigo (ya kumletea mtoto wao nyumbani)...
Wakuu habari zenu,
Wahenga wanasema samaki mmoja akioza basi jua wote wameoza. Wanawake wa jf mnazidi kututhibitishia mna njaaa sana, Kitendo cha Dada kutoka Mwanza mpaka Dsm kwa ajili ya 7800 hii...
Watoto hujifunza kutokana na matendo ya wazazi wao, kama watoto wakilelewa kwenye familia yenye mifarakano na kutokuelewana baina ya wazazi wao mara nyingi watarithi tabia hizo. Wakilelewa kwenye...
Sema ukwel wako siku ya kwanza kufanya mapenzi ukiwa ndo umebarehe ilikuwaje pale waarabu walipoanza kutoka
Wanawake Na wanaume tuseme ukwel
Binafsi sikuamn kama Nina madin mazur kias kile...
Jamani, mchumba aliyetolewa mahali kbs na tarehe ya ndoa kupangwa lkn hakati mawasiliano na mtu wake flani na wameshachepuka. Inasemekana mchepuko wake akionyesha hali ya kutomchangamkia demu...
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyo jieleza nina demu ananipa papuchi kiroho safi ila sasa nikimaliza tu mgegedo kichwa kinauma balaaa mpaka akija geto nawaza ila papuchi yake tamu sana...
Neno usaliti sio msamiati mgeni ,ni neno LA kawaida ,yn kufanyiwa kitu mbaya kwa kificho mfn mapenzi ya mwenza kwa mwingine
Usaliti kwa jamii,nyingi za kiafrika nibkawaida ,ingawa huleta madhara...
habari Za Leo wadau wangu ....Jamani mm ninashida na kiwanja maeneo ya kibaha kiluvya hata vikiwa viwili nitashukuru Sana Sana au kama SHAMBA lipo maeneo hayo kuanzia heka 3 na KUENDELEA...