HFOOO
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 683
- 652
Habarini humu!
Umri wangu umetimia hivyo nimeanza hatua ya kusaka jiko popote lilipo naombeni maombi yenu nipate mtu sahihi hadi tuzeeke wote.
CV yangu.
Umri: miaka 32
Elimu: shahada
Kabila:Nyaturu
Dini:Christian
Thehebu😛entecostal
Rangi:maji ya kunde
Urefu futi 5.4
Muonekano kama mnyarwanda fulani hiv
Nimuombae na sifa zake
Dini: Christian
Dhehebu: All Pentecostals church
Urefu: 4.7 or 5 na point
Kabila: lolote
Elimu: Yeyote
#Sifa kubwa kuliko zote ajuwe Mungu ni nani kwake, na ajue kuwa maisha ya mwanadamu hapa duniani kama mkristo katiba yetu ni biblia, najuwa hili kwa msomaji wa maandiko vizuri ukiifuata biblia vizuri hutakuja kukosana hata na serikali yako
#awe tayari kuwa mke wa maisha
#awe tayari mwaminifu kwa Mungu.
Ahsanteni naimani mtaniombea ila kama upo mdada una vigezo hivyo basi usiogope kunifuata PM ila ujiandae kwa maswali magumu
Umri wangu umetimia hivyo nimeanza hatua ya kusaka jiko popote lilipo naombeni maombi yenu nipate mtu sahihi hadi tuzeeke wote.
CV yangu.
Umri: miaka 32
Elimu: shahada
Kabila:Nyaturu
Dini:Christian
Thehebu😛entecostal
Rangi:maji ya kunde
Urefu futi 5.4
Muonekano kama mnyarwanda fulani hiv
Nimuombae na sifa zake
Dini: Christian
Dhehebu: All Pentecostals church
Urefu: 4.7 or 5 na point
Kabila: lolote
Elimu: Yeyote
#Sifa kubwa kuliko zote ajuwe Mungu ni nani kwake, na ajue kuwa maisha ya mwanadamu hapa duniani kama mkristo katiba yetu ni biblia, najuwa hili kwa msomaji wa maandiko vizuri ukiifuata biblia vizuri hutakuja kukosana hata na serikali yako
#awe tayari kuwa mke wa maisha
#awe tayari mwaminifu kwa Mungu.
Ahsanteni naimani mtaniombea ila kama upo mdada una vigezo hivyo basi usiogope kunifuata PM ila ujiandae kwa maswali magumu