Maombi yangu wanajamvi umri umetimia

Maombi yangu wanajamvi umri umetimia

HFOOO

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2018
Posts
683
Reaction score
652
Habarini humu!

Umri wangu umetimia hivyo nimeanza hatua ya kusaka jiko popote lilipo naombeni maombi yenu nipate mtu sahihi hadi tuzeeke wote.
CV yangu.
Umri: miaka 32
Elimu: shahada
Kabila:Nyaturu
Dini:Christian
Thehebu😛entecostal
Rangi:maji ya kunde
Urefu futi 5.4
Muonekano kama mnyarwanda fulani hiv

Nimuombae na sifa zake
Dini: Christian
Dhehebu: All Pentecostals church
Urefu: 4.7 or 5 na point
Kabila: lolote
Elimu: Yeyote
#Sifa kubwa kuliko zote ajuwe Mungu ni nani kwake, na ajue kuwa maisha ya mwanadamu hapa duniani kama mkristo katiba yetu ni biblia, najuwa hili kwa msomaji wa maandiko vizuri ukiifuata biblia vizuri hutakuja kukosana hata na serikali yako
#awe tayari kuwa mke wa maisha
#awe tayari mwaminifu kwa Mungu.
Ahsanteni naimani mtaniombea ila kama upo mdada una vigezo hivyo basi usiogope kunifuata PM ila ujiandae kwa maswali magumu
 
#Sifa kubwa kuliko zote ajuwe Mungu ni nani kwake, na ajue kuwa maisha ya mwanadamu hapa duniani kama mkristo katiba yetu ni biblia, najuwa hili kwa msomaji wa maandiko vizuri ukiifuata biblia vizuri hutakuja kukosana hata na serikali yako
#awe tayari kuwa mke wa maisha
#awe tayari mwaminifu kwa Mungu.
Kila lakheri,
Umeweka vigezo sahihi, kwa wakati sahihi,
 
Kuna wadada humu wameshaweka Uzi kutafuta Mme bila shaka wataona.

Cc coolgal
 
Eka na madhaifu yako
Madhaifu yangu ni haya

1.sipendi kudanganywa
2.sijui kuongea sana
3.Napenda kucheka sana mda kufurahi ila mda wa kazi ni busy hadi kero
 
Back
Top Bottom