Tuliopitia maisha ya shule za bweni tunajua .
Binti anaingia boarding ya me /ke
Akiwa form two anapata mume wake wa kidato cha tatu ,yule mume au boy friend akimaliza form 4 anapata mume mume mwingine, hadi naye binti anamaliza form 4
Akimaliza secondary wengi wanaenda vyuo kwani high school anashindwa automatically kwa tabia hizo
Akifika chuo anaanza na dume lingine
Hadi anamaliza ,chuo hakosi midume mitatu .
Akimaliza chuo anapata ajira ,sasa akiolewa ,na ww hesabu we mume wa ngapi?
Ukweli binti wa shule ,unakuja kuoa ,mke wa wenzako,
Ushauri ,ukimuoa acha wivu ,wenzio walishapita sana,we jari maendeleo na maisha ya baadaye.
Binti anaingia boarding ya me /ke
Akiwa form two anapata mume wake wa kidato cha tatu ,yule mume au boy friend akimaliza form 4 anapata mume mume mwingine, hadi naye binti anamaliza form 4
Akimaliza secondary wengi wanaenda vyuo kwani high school anashindwa automatically kwa tabia hizo
Akifika chuo anaanza na dume lingine
Hadi anamaliza ,chuo hakosi midume mitatu .
Akimaliza chuo anapata ajira ,sasa akiolewa ,na ww hesabu we mume wa ngapi?
Ukweli binti wa shule ,unakuja kuoa ,mke wa wenzako,
Ushauri ,ukimuoa acha wivu ,wenzio walishapita sana,we jari maendeleo na maisha ya baadaye.