Enzi nikiwa skuli ya msingi,sekondari mpaka chuo nilikuwa mpiga nyeto promax, sasa nipo uraiani,kila nikijaribu kufanya mapenzi na my wife niliyemuoa hivi karibuni machine haisimami! Naenda...
Siko hapa kujitapa kuwa usafiri wangu ni wa ndege kama ambavyo baadhi yenu mnaweza kutafsiri.
Ila issue nzima iko hivi leo asubuhi nilikua na flight ya kuelekea mikoa ya nyanda za juu kusini...
Wakuu
Niisiulizwe kuwa asubuhi hii unazungumzia mapenzi, maana nina kama miezi 8 hivi namfukuzia demu bado hajanikubalia,
So nimeona nilete mada hii asubuhi asubuhi nipate mwongozo kuwa...
Hamjambo wote!
Kuna watu wanafurahisha Sana.
Ati wanamshangaa na kumsimanga Azizi Ki kwa kutoa Mahari 30m na Ng'ombe 30 na kumshutumu na kumkejeli kwamba ni mshamba sijui kanunua gazeti la Juzi...
Yaani alikua ananisumbua kinyama Sasa nashangaa Sasa hivi anashobo na Mimi nishamchoka hata kabla sijagonga aisee yaani nashangaa tu sinamzuka nae hizi meseji za Jana sijamjibu mpaka Leo...
Kuna hii datting site inaitwa bibo mwenye uzoefu nayo wanatumia mfumo wa credit(coin) aisee credit inaliwa kama maji.
Na madem nawaona ni wengi mpaka najiuliza ni watu halisi au ni marobot japo...
Jipange vizuri kiuchumu,
tafuta mwenza sahihi,
usisikilize maneno ya watu au fulani kaoa ngoja na mimi nioe try at you own risk.
Jipange kwanza usifate mkumbo
Kwa wanawake wote wa Jamiiforums 🌸🌸
Leo tunasimama kuwapongeza na kuwashukuru kwa nguvu, hekima, na mchango wenu mkubwa katika jamii. Ninyi ni chanzo cha upendo, ujasiri, na mabadiliko chanya...
niende moja kwa moja. mabinti wengi wana matumbo flat, wamekaukiana, ngozi na makalio magumu, hawana usoft wa kutosha, hawana mafuta, hawana makalio.
Sifa hizo tajwa kwangu sizitaki, wanawake...
Why ukisha mvua nguo tu mwanamke ukitoka njee ya kile chumba una kua una mdharau una mchukulia ni mtu wa kawaida sana ata kama uli angaika kumpata?
Hii ni kwangu tu au
Sasa hivi watu wengi, wake kwa waume wenye umri wa kati ya miaka 40 na 50 bado hawajaoa wala kuolewa.
Na ukiwaangalia ama kuzungumza nao kuhusu kuoa au kuolewa, wanasema wazi wazi kabisa kwamba...
Midada myengine inamambo ya ajabu lijitu unalitongoza kwa staha na ukimya ila lenyewe likiwa limekoswa ustahimilivu linakujibu kwa kubwatuka kwanguvu!, ni kama vile limepewa kipaza sauti ama tupo...
Wakuu, kumekuwa na mjadala kuwa mwanamke hawezi kuvumilia mwanaume asiye na mwelekeo wa kifedha hata kama ana upendo wa dhati. Je, ni kweli upendo pekee unatosha kulinda ndoa au mahusiano, au pesa...
Heri ya Sabato, poleni na mfungo ndugu zetu waislam na wakristo mnaotimiza agizo hili la kiimani.
Nimeamua kudandia treni ya wanaokataa mambo ya mahari kwa dunia ya sasa, hasa barani Afrika...
Mwanaume hukatazwi kuwa na michepuko,lakini make sure mke wako asijue kuwa una michepuko, akishafahamu tu kuwa unatoka na fulani na akathibitisha kuwa ni kweli,hata kama hatakwambia lakini atakaa...
Mnaamka wote pamoja asubuhi, mnaenda kwenye ofisi yenu pamoja kwenda kuzitafuta.
Mnashinda pamoja mkipambana na maisha, mkisaidiana mawazo na nguvu.
Jioni mnarudi pamoja nyumbani, mmechoka...