Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Mimi nimeweza kukaa bila kushiriki tendo la ndoa toka kuzaliwa hadi sasa nina miaka 30 na sijafa. kunao wanaosema wanaume hawawezi...
12 Reactions
64 Replies
1K Views
Wakuu Tutoe.stress za madeni hapa Je unaweza mwambia mwenzio, Akupe style flan, kwa sababu ndo una enyoy?? Au wewe ili mradi tu. Umepewa mbususu. Ila chuma mboga ni...
9 Reactions
75 Replies
877 Views
Habari wadau, Haya mahusiano Yana Siri kubwa sana 1.Wakati wewe mwanaume unafikria kuwa umempata mke wa maisha mwanamke anafurahi kupata boya la kumaliza shida zake za kwao na kumsaidia ex wake...
2 Reactions
11 Replies
169 Views
Siku hizi kwenye magroup ya wanawake, Wanalalamika sana wanaume kuwa achia watoto, Na wao kutokomea kusikojilikana na kwenda kuanzisha family Nyingine huko. Je ni ugumu wa maisha,au gubu la mke...
16 Reactions
111 Replies
1K Views
Shikamoon wakubwa zangu wote Kwanza nitashukuru baadhi ya watu humu Kwa comment na mchango yao mizuri kifupi huwa nafarijika Kwa namna fulani. Lakini kuna watu ni wa ajabu,hawaelewi Kwa mtu...
20 Reactions
272 Replies
3K Views
Mapenzi ya siku hizi yanafurahisha kama hujawahi kuwa muhanga wa michezo. Uko zako Insta au Facebook ama TikTok unavinjari zako tu, ghafla unaona demu ka like comment au post yako na kaku follow...
7 Reactions
13 Replies
316 Views
Kijana wa kiume usishawishike hata upewe mamilioni ya pesa usikubali kuuza utu wako wenyewe mnaita "KUCHANJA" Unapewa kilema cha maisha bila kujua. MADHARA 1. Uwezekano wa kupata UKIMWI na...
83 Reactions
1K Replies
110K Views
Msomaji ungana na Mimi kumtukana huyu Rich,MWANAUME shababi, mrefu mweusi, aliyejaa mbavu Nene, kijana AMBAE Mungu ameisha mfungulia milango ya riziki mpaka kuweza kumwamisha mama Mkwe kutoka...
0 Reactions
8 Replies
137 Views
Kumekuwepo na changamoto nyingi za kifamilia, mojawapo ikiwa ni wanaume baadhi kujikuta wakitunza na kulea watoto ambao si wao. Aliyeweka mimba ni mwingine na aliyerutubisha mimba mpaka kulea...
5 Reactions
66 Replies
475 Views
Inasikitisha. Vijana wanaumia,wanaumizwa mbaya zaidi hawasikilizwi, vijana wa kiume ndiyo kabisa wahanga wa hii kitu wamebaki na Vitu vingi mioyoni mwao. Jinsia na haiba yao inazidi kuwateketeza...
5 Reactions
13 Replies
334 Views
LEO TUTOKE KWENYE NDUMBA NA VIMBOLA, NGOJA TUPIGE STORY WAKATI NIPO YANKII. Nyieeh πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ™ˆ yaani nikikumbuka safari yangu ya Mbinga to Dodoma huwa najiona mjinga sana. Basi nakumbuka ilikuwa mwaka...
3 Reactions
15 Replies
528 Views
Sai sidindishi sina hisia na mwanamke Chini hamna kitu asante mtaalam sasa naona nitakuwa tajiri.
1 Reactions
11 Replies
153 Views
Mtaalamu wa Saikolojia, Dkt. Leonard Mgina, amesema Wanaume wengi hufariki dunia mapema kutokana na kubeba majukumu mengi ya kifamilia, huku wakiachwa kuyasimamia peke yao hali ambayo ameleza kuwa...
5 Reactions
8 Replies
110 Views
Shikamoni wote humu natumai mu wazima wa afya. Kama hujaoa na una mchumba mwenye sifa hizi weka ndani 1.Mwenye heshima na adabu – Heshima ndiyo inabeba maana halisi ya wife material. Siyo yule...
8 Reactions
38 Replies
674 Views
MWANAUME KAMA UMEOA MWANAMKE AMBAYE SIO BIKRA, JUA UMEOA MTU ALIYETOA MIMBA 2 MPAKA 5+! KUBALI AU KATAA Wakuu, sitaki kupoteza muda kuweka tafsida wala kupamba maneno hapa. Hapa ni kupiga spana...
11 Reactions
69 Replies
1K Views
Habari za muda humu Nitasema ukweli Kama Kuna hukumu Basi nihukumiwe wote tunakosea Hakuna mkamilifu Nachoitaji ni ukweli mchungu hata kama utaniuma ni sawa ilimradi nisiharibu maisha yangu...
19 Reactions
341 Replies
3K Views
Mwanamke hashibi ugali wala sex ya kutosha bali hushiba na kutosheka nafsi yake pale anashobokewa, kuwa centre ya scenario, kusikilizwa hisia zake hata bila ku-zishare, kuulizwa ulizwa juu ya hali...
12 Reactions
157 Replies
1K Views
Habari Wana jamii!! Mpo salama? Mpo poa? . Niende Moja kwa moja kwenye habari, nimewaza hili nikikumbuka matukio mawili ambayo Siwezi kuyasahau, yanafundisha sana, na kuonyesha vile vile. . TUKIO...
13 Reactions
30 Replies
696 Views
Mu hali gani wakuu... Nakumbuka kuna demu niliwahi kuwa naye kwenye mahusiano ya kuibaiba miaka kadhaa nyuma ambae muda huohuo alikuwa ni shemeji pia sababu ya urafiki wake na mwanamke wangu wa...
63 Reactions
250 Replies
12K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…