Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.4K
Threads
7.9K
Posts
231.4K
Kuna kauli ambayo wanawake wa sasa wanatoa eti ukinichiti na mimi nakuchiti mpaka najiuliza how come Yaani Ukichiti mume wako na mwanaume mwingine unakuwa unamkomoa au unajikomoa sijawahi...
4 Reactions
18 Replies
270 Views
Kijana anakutana na mwenzake, wanakuwa na mahusiano, baada ya hapo wanaanza kuishi pamoja kama mume na mke. Wanapata watoto, wanasaidiana majukumu, wanatambulishana ndugu zao, n.k. Miaka mingi...
7 Reactions
27 Replies
454 Views
Habarini Wana Jamvi. Nimeamini kweli Mke Wa Mtu ni sumu jamani, lilichonikuta mwenzenu basi nimekoma. Picha Ilikuwa Hivi. Week Iliyopita Nilipata Dili Furani Kijijini, Baada Ya Kufika Kule...
32 Reactions
143 Replies
19K Views
Mwaka jana mwanamke mmoja aliomba Gerald .Aliomba TSH200k as a kwa dharura. mara ya kwanza aliogopa lakini mwanadada alilia . Alikua anaitwa Mwende Hakuwa na pesa kwa hivo ilibidi aombe...
5 Reactions
21 Replies
516 Views
Kuna elimu nlkuwa nataka kwenu il njpange na maisha.Ila nliigiza kama mzee ndio niipate mawaidha Ambachonmegundua,mabachela...
6 Reactions
14 Replies
212 Views
Wakati yeye akipambana apate japo Abaya ya sikukuu ya Idi kutoka kwangu yeye analeta zawadi iliyopitwa na wakati ya soksi pea mbili za buku buku nimefadhaika na kuhuzunika sana ni bora asingeleta.
12 Reactions
46 Replies
532 Views
Wewe jimwambafai tu kuwa unawaweza wanawake,ipo siku yako inakuja ukimkorofisha akuachie hako katoto hata ka miaka miwili tu nyumbani yeye aende kwao, utatamani ukapige magoti kwa wakwe zako arudi...
5 Reactions
16 Replies
203 Views
Marriage license ==== Fahamu Zaidi Tafiti: Waliopo kwenye ndoa, huishi maisha marefu zaidi tofauti na waliopo 'singo'!
8 Reactions
85 Replies
440 Views
Unakuta mwamba ana wake wawili watatu ila kila siku unakutana nae kwa wakina fatuma ndala ndefu na jesca utelezi. Polygamy haijawahi kua dawa ya kushinda uzinzi wa mwanaume. Polygamy ni...
8 Reactions
13 Replies
722 Views
Mwisho wa thread hii kuna picha moja ni Criss brown na Rihana wakati wakiwa katika mahusiano kwa wakati huo walikua na miaka 19. Picha zingine mbili ni picha zao kwa sasa criss ana miaka 36 na...
54 Reactions
212 Replies
3K Views
Umekutana na mwanaume amekutongoza ukakubali kisha mkaenda kwenye eneo la tukio mlipomaliza ukamuomba hela tayari hapo umeuza bidhaa yako. Umetongozwa umekubali umeenda kwenye eneo la tukio...
12 Reactions
259 Replies
2K Views
Habari zenu wana JF Bila kuponda muda niende moja kwa moja kwenye mada husika Hivi ni sawa kwa mtu awe mwanaume au mwanamke kukosa ujasiri wa kusimama na mpenzi wake mbele ya EX wake. Jamani...
5 Reactions
44 Replies
5K Views
Mimi nlipo nna miaka 46 sina mtoto wala mke, hakuna anayenipa stress nipo zangu naenjoy life. Nnacho mshukuru Mungu mm sio mlevi wala...
22 Reactions
176 Replies
2K Views
1. At the age of 14, they look very sweet, fresh and beautiful 2. At 16, they probably have their first s*x, they stick to one guy and talk about how they won't leave him. 3. At 18, they are in...
11 Reactions
34 Replies
413 Views
  • Redirect
Leo katika arakati zangu za udereva boda boda nikampakia jamaa frani ambae kapanda sana hewani Yani ni mrefu sana alafu kazajia kinoma inaonekana ni mtu wa Jim sana bas akanipa safari ya kumpeleka...
0 Reactions
Replies
Views
Baadhi ya wanawake,si wote wanadharirisha sana,unakuta mama mtu mzima kavaa suruali aibu tupu,suruali imembana mpaka inaonesha maungo adhmu ya ndani, Tunawafundisha nini watoto wetu na jamii kwa...
8 Reactions
48 Replies
472 Views
Wanaodai kufanya sex zaidi ya 2 min MPAKA WENGINE ufanya 45 min na 1hr , kama wahubiri wanahubiri na kuomba masaa 6. Unapata nini? Sex ni burudani sio kazi ukichoka BAADA ya sex hiyo sio burudani...
14 Reactions
69 Replies
892 Views
Kila nkipita kitaa wananizungumzia,yan mdog wako anaoa mbele yako. Hata humu jukwaan wamenisema vibaya baada ya ule uzi wa bora wa kuwa...
9 Reactions
66 Replies
555 Views
Hofu yangu kubwa ni kuendelea kukaa single naona kama sijakamilika bila kuwa kwenye mahusiano wala kuwahi kuchakata mbususu hadi namaliza, naamini kuna jf experts mliowahi kuvuka hii hatua...
3 Reactions
14 Replies
242 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…