Nimepokea ka sms kamenichekesha. Wizi mtupu!
"When awake you're in my thoughts, when asleep you're in my dreams.
the only place I never seem to find you is in my arms. Miss you"
Kama na wewe...
Nina myaka 10 kwenye ndoa iliojaa visa, vipigo na kunyanβganywa umiliki wa mali, Nilipofikia sasa naogopa hadi kununua kijiko kwan ndugu zake wakija ubeba vitu bila kuomba.
Mwaka 2018...
Sijawahi kuona wanawake au mabinti wakifanya hii kazi ya kukata na kupaka ranga wanawake salun
Hivi hii kazi nayo ni ngumu ya kiume kama kubeba zege kuwa wanawake hawawezi kufanya, kukatana kucha...
Mtazamo wangu ni kua ingefaa wanaume ndio wawe wanatongozwa na kuombwa kuingia kwenye mahusiano na wanawake, regardless kama mwanaume ni handsome au la. Kwa maana
-wanaume ni wachache
-wanaume...
Nimeoa, ndoa yangu ina miezi 6 lakini mke wangu kaondoka nyumbani na kaniacha anadai talaka ananishutumu kuwa nina mahusiano na Mama yangu. Nyumbani kwetu tumezaliwa watatu na wote ni wakiume...
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!
(Ukistaajabu ya Musa utayaona ya silent killer leo.)
Sasa baada ya ile post nikapata PM, sio PM ya kawaida naweza iita THE PM...
Huwezi kuvaa nguo fulani sababu hawatakuelewa.
Huwezi kuishi mtaa fulani watakuona maskini sana au tajiri sana.
Huwezi kula pale kwasababu siyo hadhi yako.
Huwezi kuoa au kuolewa na mtu...
Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 43. Ni mfanyabiashara na mkaazi wa jijini Dar Es Salaam. Mwaka 2011 nikiwa na umri wa miaka 36 nilianzisha uhusiano wa kimapenzi na...
Sijajua kwako wewe mtu wa karibu sana ni nani, lakini wapo ndugu, mke, mama, baba, kaka, dada wametuzunguka.
Kwanini nasema Kijana ni lazima kuowa ? kwasababu binadamu tunategemeana..
Kabla ya...
Kuna umri utafika utakua peke yako au na houseboy wako au housegirl wako.
Muombe Mungu umri huo ukukute na mke au mume.
Umri ambao utakua unapokea simu za kuambiwa mzee fulani kafariki,umri wa...
Nani kawahi kukutwa na hili jambo kufukuzwa ama alimfukuza mwanamke nyumbani kwake baada ya kunyimwa ngono au wenyewe mnavyoita kizungu sex
Kisa changu mimi ππ
Kuna Kijana mmoja nimemuwekaga tu...
Yes baadhi mnamjua mwanamke mmpja motivation speaker wa maswala ya ndoa anajiita mchungaji Rose Shaboka alikuwa anawafunda sana mabinti kuwa wakiwa na wanaume wao ndani ni mwendo wa kuvaa bikini...
Ni ushauri wa Bure Kwa mwanaume anayetaka kubaki kwenye nafasi yake ya uanaume.
Ambao mmeamua kuleft siwashangai Wala kuwadharau uanaume ni kazi ngumu sana
Huwezi kuambiwa jikaze kimwanamke ...
Mademu ni dhaifu sana kwa wanaume weupe ila wanachokutana nacho huko kusalitiwa mara kwa mara licha ya juudi wanazofanya ndo wanavungaga wanawapenda wanaume weusi jambo ambalo so kweli
Yani...