Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Ulikutana na mkeo akiwa tayari ana mtoto anaitwa John. Baada ya kuishi pamoja mkazaa mtoto mkamwita George. Je, utamwita mkeo mama John au mama George?
17 Reactions
157 Replies
2K Views
Huwa nawaza sana Tumeambiwa tutaoewa wakufanana nasisi Kwanini walevi hawaoi walevi wenzao jamani? Ama wazinzi hawaoi wazinzi wenzao?? Wezi hawaoi wezi wenzao? Utakuta jitu bar limelewa mbaya...
3 Reactions
11 Replies
265 Views
Kabla hujakata tamaa kwa sababu umehisi umetengwa, umeachwa, au watu uliowaamini wamekupa mgongo, mkumbuke Pluto. Pluto aliwahi kuitwa sayari ya tisa kwenye mfumo wa Jua. Miaka mingi alikaa...
14 Reactions
10 Replies
417 Views
  • Redirect
Uzi huu ni kwa ajili ya kufurahsha na kupoteza muda,coment chochote unachotaka kuandika!
1 Reactions
Replies
Views
Mallerina, usiku silali,nakuota wewe tu,naomba unikubalie uwe mpenzi wangu,nitakufanya upendeze kama malaika.
7 Reactions
78 Replies
997 Views
Picha linaanza unamtongoza anakukubalia, zinapita siku mbili anakuomba hela kiroho safi unampatia, hujakaa sawa baada ya siku mbili mbele kizinga kingine. Unasema kwakuwa ni mtu wangu ngoja...
26 Reactions
170 Replies
3K Views
Kuna wakati nilifikiri suala la kuposa, kuoa ni jambo jepesi, ila kwa figisu zile za mashemeji sijaamini macho yangu…kuna level ilifikia nilitaka kuwaachia dada yao ila kuna wazee waliniita...
0 Reactions
2 Replies
318 Views
Kwema wadau mke wangu aliondoka kitambo nahitaji arudi au huko alikopanga awe mke wangu wa pili najua akija zalishwa na wengine nitaumia mara mbili yake kumbukeni niliumia sana kipindi aliondoka...
3 Reactions
32 Replies
870 Views
Wanawake nimewanyooshea mikono aisee Yaani hawa wanawake ni hatari aisee Yaani mwanamke nimemtongoza within this week na hata wiki yenyewe haijafika mwanamke ananiambia kodi imeishia, gesi...
5 Reactions
29 Replies
600 Views
Mimi na mke wangu tuna mtoto mmoja ambae tulimpata 2020 Ilaa baada ya kujifungua tu ndani ya 1 month akapata mimba nyingine nkamwambia toa coz hali ya maisha sio nzuri.ikapita miaka sasa nahaja...
7 Reactions
18 Replies
419 Views
Wengi hushangaa kwa nini kajikuta kaoa mwanamke mwenye heshima na adabu msomi lakini sio mzuri,hana umbile ambalo alitamani hapo mwanzo awe nalo mwanamke atakaemuoa. Wanaume wengi utawakuta...
22 Reactions
61 Replies
11K Views
Just assume, watu wanapigana ipatikane fedha ya kukutibu, mke wako anaonekana dubai, eti matatizo yapo tu, sa kama kapata muda wa kwenda dubai, huyu mgonjwa anachungwa na nani? MWENYEZI MUNGU...
12 Reactions
72 Replies
2K Views
Kutokana na mambo mengi ambayo yanatokea duniani kuhusu wanawake Mda mwingine hivi vitabu vya dini tunavitukana lakini ukichunguza vizuri vilikuwa vina haki ya kuwanyima uhuru hawa viumbe na hata...
27 Reactions
101 Replies
2K Views
Kwanini wanawake na mademu wa Sasa wanapenda utawala na 50/50 muda huo wanataka kuhudumiwa Nini maana ya 50/50 utamtawalaje mtu ambaye unataka akuhudumie Yaani mwanamke anataka mpaka pesa ya...
20 Reactions
136 Replies
2K Views
Wakuu, mfano, mwanamke akishika mimba mwezi huu,je mwezi ujao anaweza kupata hedhi ama hukoma hapo hapo baada ya mimba kuingia?
2 Reactions
16 Replies
423 Views
Miezi 7 nyuma nilianzisha mahusiano nikiwa na lengo la kujichallenge, kujijenga kihisia kwa kuplay emotional game ili tuone ni nani atakayeteseka mwisho mwa mchezo. Nikatafuta binti mrembo haswa...
6 Reactions
35 Replies
811 Views
Wakuu, unakuta umemtamani kabisa mwanamke mnene na ukajitahdi kumpata,lakn pindi tu nikienda nae sita kwa sita,nikifanya nae round 1 siwezi kurudia, nahsi kama kinyaa na haiwezi kusimama. Kwa...
8 Reactions
33 Replies
551 Views
It was not a date, just a few minutes meeting. Mara ghafla anatokea msichana , mdada, mzuri hadi naogopa, huyu ni jini au ni malaika? Otea alikuwa ni nani kati ya hawa? Miss Natafuta, Nakubusu ...
17 Reactions
111 Replies
2K Views
Kama huna hela jitahidi uwe muongo, wanawake wanapenda kimojawapo Ukiwa muongo muongo halafu msafi utagonga sana mademu kuliko hata wenye fedha.
4 Reactions
8 Replies
363 Views
Wakuu, huyu Sandra ndiye aliyeniingiza rasmi katika ulimwengu wa mahaba,kupendwa, kujali,kudekezwa na uchafu wote kunako sita kwa sita alinifundisha yeye,alikuwa anainyonya,anaimumunya kama pipi...
2 Reactions
10 Replies
280 Views
Back
Top Bottom