Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Kipindi nilikuwa naishi Tanzania, kabla sijatimkia huku Tunisia, nilipata bahati ya kuwa na mapenzi ya mbali Mimi nilikuwa naishi Dar nikampata mwanamke anaishi Moro. Lile penzi kwa kweli...
5 Reactions
24 Replies
468 Views
Pesa yako unapeleka wapi ilihali hujawahi daiwa Kodi ya nyumba, bank biashara kakufungulia mme, mume ana madeni bank, mengine alikopa kuendesha misheni zake akajikita kumwekeza pia kwako...
4 Reactions
16 Replies
346 Views
EPUKA KUWA MTUMWA WA HISIA ZAKO MWENYEWE📌📌 Watu wengi leo wana ongozwa na hisia kuliko akili. Ukikasirika unafanya maamuzi ya haraka, ukiumizwa una jihukumu, ukifurahi unatoa ahadi usizo weza...
3 Reactions
6 Replies
340 Views
Please, wanajamii forums, mwenye anafahamu dawa ya mwanamke kukojoa kitandani amsaidie jamaa yangu! Yaani anaweza akaacha mwezi mzima hajakojoa, then anakuja kushtukia anakojoa tena kitandani...
2 Reactions
12 Replies
312 Views
Budget ya kharusi yangu ya kislamu nipo sahihi ya siku Moja Kama una experience na ndoa ya kislamu naomba Ushauri Chakula 500,000/ Mavazi 500,000/ Usafiri wa kuoa 500,000/ Tent 100,000/ Madufu...
13 Reactions
115 Replies
1K Views
Wakuu Mnaendeleaje Mimi Ni Kijana Sahivi Nina Miaka 22 Ila Sijawahi Sex Kabisa Na Mwanamke Yoyote Na Ninaogopa Sana Hilo Tatizo Linaweza Kuwa Nini Kwa wenye utalaamu Kabisa Na Ikoje Hiii??
29 Reactions
490 Replies
16K Views
Hapa nataka tuelimishane kidogo jinsi ilivyo vigumu kuzuia USALITI kwa nguvu za kibinadam. Hili ni suala ambalo hakuna kanuni inayokubali kuuzuia kwa ukamilifu wa 100% kwani binaadamu ni kiumbe...
51 Reactions
146 Replies
17K Views
Ulikutana na mkeo akiwa tayari ana mtoto anaitwa John. Baada ya kuishi pamoja mkazaa mtoto mkamwita George. Je, utamwita mkeo mama John au mama George?
17 Reactions
157 Replies
2K Views
Huwa nawaza sana Tumeambiwa tutaoewa wakufanana nasisi Kwanini walevi hawaoi walevi wenzao jamani? Ama wazinzi hawaoi wazinzi wenzao?? Wezi hawaoi wezi wenzao? Utakuta jitu bar limelewa mbaya...
3 Reactions
11 Replies
265 Views
Kabla hujakata tamaa kwa sababu umehisi umetengwa, umeachwa, au watu uliowaamini wamekupa mgongo, mkumbuke Pluto. Pluto aliwahi kuitwa sayari ya tisa kwenye mfumo wa Jua. Miaka mingi alikaa...
14 Reactions
10 Replies
417 Views
  • Redirect
Uzi huu ni kwa ajili ya kufurahsha na kupoteza muda,coment chochote unachotaka kuandika!
1 Reactions
Replies
Views
Mallerina, usiku silali,nakuota wewe tu,naomba unikubalie uwe mpenzi wangu,nitakufanya upendeze kama malaika.
7 Reactions
78 Replies
997 Views
Picha linaanza unamtongoza anakukubalia, zinapita siku mbili anakuomba hela kiroho safi unampatia, hujakaa sawa baada ya siku mbili mbele kizinga kingine. Unasema kwakuwa ni mtu wangu ngoja...
26 Reactions
170 Replies
3K Views
Kuna wakati nilifikiri suala la kuposa, kuoa ni jambo jepesi, ila kwa figisu zile za mashemeji sijaamini macho yangu…kuna level ilifikia nilitaka kuwaachia dada yao ila kuna wazee waliniita...
0 Reactions
2 Replies
318 Views
Kwema wadau mke wangu aliondoka kitambo nahitaji arudi au huko alikopanga awe mke wangu wa pili najua akija zalishwa na wengine nitaumia mara mbili yake kumbukeni niliumia sana kipindi aliondoka...
3 Reactions
32 Replies
870 Views
Wanawake nimewanyooshea mikono aisee Yaani hawa wanawake ni hatari aisee Yaani mwanamke nimemtongoza within this week na hata wiki yenyewe haijafika mwanamke ananiambia kodi imeishia, gesi...
5 Reactions
29 Replies
599 Views
Mimi na mke wangu tuna mtoto mmoja ambae tulimpata 2020 Ilaa baada ya kujifungua tu ndani ya 1 month akapata mimba nyingine nkamwambia toa coz hali ya maisha sio nzuri.ikapita miaka sasa nahaja...
7 Reactions
18 Replies
418 Views
Wengi hushangaa kwa nini kajikuta kaoa mwanamke mwenye heshima na adabu msomi lakini sio mzuri,hana umbile ambalo alitamani hapo mwanzo awe nalo mwanamke atakaemuoa. Wanaume wengi utawakuta...
22 Reactions
61 Replies
11K Views
Just assume, watu wanapigana ipatikane fedha ya kukutibu, mke wako anaonekana dubai, eti matatizo yapo tu, sa kama kapata muda wa kwenda dubai, huyu mgonjwa anachungwa na nani? MWENYEZI MUNGU...
12 Reactions
72 Replies
2K Views
Kutokana na mambo mengi ambayo yanatokea duniani kuhusu wanawake Mda mwingine hivi vitabu vya dini tunavitukana lakini ukichunguza vizuri vilikuwa vina haki ya kuwanyima uhuru hawa viumbe na hata...
27 Reactions
101 Replies
2K Views
Back
Top Bottom