Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Hili jambo linaniumiza kichwa sana unakuta mtu anahamasisha tusioe ilihali yeye yumo kwenye ndoa. Mzee wa kaliua ukimsikiliza mambo yake huko Instagram, yeye na wrngine wana kandia ndoa sana...
9 Reactions
113 Replies
1K Views
Kila mwanaume ana sehemu hatari aliyowahi kupita, akasema; ‘Kama sikupata UKIMWI pale basi sitaupata.’ Ilikuwaje kwako?
7 Reactions
35 Replies
755 Views
Haiwezekani!
5 Reactions
11 Replies
354 Views
Bbbbb
11 Reactions
421 Replies
31K Views
Sasa ni uhuni tu unatamani maana kupendapenda kuna maumivu.Wanawake wengi hawana upendo, chenye wanataka n hela.
6 Reactions
30 Replies
439 Views
Nakupa mbinu hii, unaweza kudhani hizo elfu tano tano unazotoa haziwezi kuimaliza account yako basi utakuwa unajidanganya, hizo hela unazotumia kuhonga hao wanawake hazirudi mfukoni mwako,umetoa...
8 Reactions
17 Replies
369 Views
Dunia haijali chochote kuhusu mwanaume mpaka unapokufa, ukiwa tajiri au kuna namna walimwengu wananufaika nawe. Jamii imeshakua programmed kuwaonea huruma wanawake lakini mwanaume anapoanguka...
50 Reactions
96 Replies
2K Views
Habarini, Kwenye mahusiano mengi sahivi, ya watu wangu wa karibu walionizunguka na mitandaoni pia naona mijadala mingi wadada wakiwa wanataka wanaume wenye hela nyingi ambao sio wabahili. Tuje...
11 Reactions
103 Replies
1K Views
Mimi ni mwanafunzi wa chuo, binti mwenye sura ya kawaida lakini anayejua kuitumia. Natabasamu na kuongea kwa upole, lakini ndani yangu nimebeba maumivu makali sana. Na leo, nimeamua kusema ukweli...
13 Reactions
89 Replies
4K Views
Msaada wenu wana JamiiForums tafadhari.
1 Reactions
23 Replies
277 Views
Wakuu, kipindi kilichopita, tangu nijiunge humu kwenye jukwaa hili maarufu tanzania, nimekuwa nikiandika nyuzi ambazo kiukweli ukiziangalia kwa jicho la u great thinker unagundua kuwa nyuzi hizo...
4 Reactions
8 Replies
207 Views
Wilaya ya hai mkoani Kilimanjaro ni hatari sana, yani suala la mwanaume kula mbata n jambo la kawaida na ukicheza unasukumiwa na ngumi.Yan wadada wakimachame na waogopa kama moto. Sijui wanaum...
2 Reactions
17 Replies
219 Views
Angalia anavyocheka... Anavyobatasamu? Toto kama hili huwezi kupungukiwa nguvu za kiume. Zinajaa tu kila wakati. Midada mingine inasema hatuna nguvu za kiume kumbe ni sababu haina mvuto.
21 Reactions
151 Replies
6K Views
Jamii forums ilianzishwa miaka 20 iliyopita, je ni member gani anaweza kuwa ni GOAT wa hili jukwaa tangu lianzishwe? kwangu mimi nambari moja ni Nyani Ngabu Kiranga Pascal Mayalla Mshana Jr ...
12 Reactions
167 Replies
2K Views
Habari wana JF, Naandika haya si kwa lengo la kudhalilisha mwanamke, bali kuweka wazi msimamo wangu kuhusu nafasi ya mwanaume katika jamii na familia. Katika mpangilio wa asili na kimajukumu...
23 Reactions
101 Replies
2K Views
Wakuu, Nilioa na nina miaka 7 kwenye ndoa, na tumejaliwa kupata watoto wawili. Mke wangu alibadilika kila nikimuomba unyumba ananiambia hataki, nimetumia njia nyingi kumshawishi akubali lakini...
11 Reactions
79 Replies
4K Views
Kuna jamaa hapa mtaani ni likubwa miaka 31 Kuna kademu kake kana miaka 18 Sasa sijui imekuaje kamesema waachane Sasa Kuna mshikaji mwingine ndio anatoka nako haka kademu hapa mtaani Sasa huyu...
10 Reactions
103 Replies
2K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, Natumaini jamiiforums ina watu wenye experience na ujuzi katika mambo mbalimbali, Tatizo langu, Nimerogwa na mpenzi,sasa siwezi kufanya mapenzi na mwanamke...
10 Reactions
84 Replies
1K Views
Kuna story huwa nasikia kuwa wanaume wanajua kama chakula kimepikwa na wake zao au lah, mfano mwanaume hayupo chakula kikapikwa na mtu mwingine akija kula anajua kabisa aliyepika si mkewe hata...
2 Reactions
26 Replies
559 Views
Kuna dogo fulani nilifanya nae sex tarehe 22 mwezi wa pili mwaka huu baada tu ya kutoka period,period yenyewe ilianza tarehe 18, sasa mpaka leo tarehe 20 bado hajaona siku zake, je atakuwa ana...
6 Reactions
95 Replies
995 Views
Back
Top Bottom