She is here now, I need her back

Mhhh this z very strange!pole uran kwanza, alafu nimpe pole mwanamke mwenzangu kwa aliyopitia, baada ya kusepa bila kuwa na mawasiliano! Mi ningependa tu kumwambia huyo gal wako kua kosa moja haliachi mume! Kama mioyo yenu inapendana,sahauni ya nyuma na mrudiane,msiendlee kupeana stress,muda ndo huu kamaten fursa hz!
 
mhhhhhhhhh kosa ulilolifanya ni kumsaliti kwanini ulishindwa kuwa mvumilivu na kwanini ulikuwa mzembe maana ungetumia kinga mimba isingepatikana
anyway pamoja na hayo huyo mpenzi wako jullnbaby anapaswa kujua wewe ni mwanaume shupavu mfano wa kuigwa angekuwa mwingine angesema mimba itolewe lakini wewe umepigania uhai wa mtu HONGERA SANA

kwenye uzi umesema kila upatapo nafasi unamweleza dhamira yako naomba uwe unaongea hii dhamira kwa vitendo ili kujaribu kujenga uaminifu wake kwako take one step ahead nendeni kwa wazazi mkaweke mambo hadharani
 
Last edited by a moderator:
Mhhh this z very strange!pole uran kwanza, alafu nimpe pole mwanamke mwenzangu kwa aliyopitia, baada ya kusepa bila kuwa na mawasiliano! Mi ningependa tu kumwambia huyo gal wako kua kosa moja haliachi mume! Kama mioyo yenu inapendana,sahauni ya nyuma na mrudiane,msiendlee kupeana stress,muda ndo huu kamaten fursa hz!

asante sana kwa ushauri mkuu.
kila siku huwa namwambia ukweli..na nilishamwambia kuwa mi ndiye.
 
mhhhhhhhhh kosa ulilolifanya ni kumsaliti kwanini ulishindwa kuwa mvumilivu na kwanini ulikuwa mzembe maana ungetumia kinga mimba isingepatikana
anyway pamoja na hayo huyo mpenzi wako jullnbaby anapaswa kujua wewe ni mwanaume shupavu mfano wa kuigwa angekuwa mwingine angesema mimba itolewe lakini wewe umepigania uhai wa mtu HONGERA SANA

kwenye uzi umesema kila upatapo nafasi unamweleza dhamira yako naomba uwe unaongea hii dhamira kwa vitendo ili kujaribu kujenga uaminifu wake kwako take one step ahead nendeni kwa wazazi mkaweke mambo hadharani

hiyo kwenda kwa wazazi itaanzia wapi wakati ye bado hajakubali kabisa kunirudia?
much worse anapenda sana kunitisha kuwa anampango wakuolewa mwaka huu.
huwa siamini
 
hiyo kwenda kwa wazazi itaanzia wapi wakati ye bado hajakubali kabisa kunirudia?
much worse anapenda sana kunitisha kuwa anampango wakuolewa mwaka huu.
huwa siamini

sasa ukitishiwa nyau na wewe ndo unaogopa???? wewe peleka barua moja kwa moja kwa wazazi wake hapo ndo utajua kama yuko tayari kuwa na wewe au lah
usikute anakutishia ili uharakishe mambo
 
sasa ukitishiwa nyau na wewe ndo unaogopa???? wewe peleka barua moja kwa moja kwa wazazi wake hapo ndo utajua kama yuko tayari kuwa na wewe au lah
usikute anakutishia ili uharakishe mambo

hizi mila za kuandika barua zina power gani tena now days?
i wish kama tukubaliane kwanza ndiyo tuweka mambo sawa...
 
sasa ukitishiwa nyau na wewe ndo unaogopa???? wewe peleka barua moja kwa moja kwa wazazi wake hapo ndo utajua kama yuko tayari kuwa na wewe au lah
usikute anakutishia ili uharakishe mambo

Aandike barua bila kukubaliwa??ataumbuka mwenzio
 
hizi mila za kuandika barua zina power gani tena now days?
i wish kama tukubaliane kwanza ndiyo tuweka mambo sawa...

tatizo umeshaujeruhi moyo wake hakuamini 100% mfanyie suprise kwa kupeleka barua ajue ni jinsi gani uko serious
 
tatizo umeshaujeruhi moyo wake hakuamini 100% mfanyie suprise kwa kupeleka barua ajue ni jinsi gani uko serious

miss neddy, hivi unadhani kuandika barua ni ishu rahisi?
kwanza si mtoto tena,
tumekuwa sasa. najitegemea na yeye anajitegemea.
hiyo barua unaipelekaje wakati ye hakai tena kwao?
 
Miaka imepita

Je huyo binti anakupenda bado?

Isije kuwa mwanaume una 'illusions' za first love

Je binti hana mtu?
Maana usitegemee miaka yote yeye chake akawa kakihifadhi tu ilhali ana uhitaji

Je binti unadhani huyu mwanaume ndo wa ndoto yako? Ana vigezo unavyovitaka?je binti anaweza kuwaza kuwa na wewe miaka 20 mbele katika hali zote? ( namuuliza binti maana mwanaume ushakata shauri)




Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom