Swali la kama mume ana haki ya kumpiga mke wake linazua mjadala mkubwa katika jamii.
Baadhi ya watu bado huamini kuwa mwanaume anaweza kumchapa mke wake kama njia ya kumwadhibu anapokosea au...
Hey people,
Uzi huu ni wa kuwaaga wanaJF wenzangu
Nimekutwa na cancer ambayo kimsingi nimepewa taarifa kwamba ndani ya miezi miwili sitakuwepo
Naumia lakini sina jinsi
Habari!
Baada ya kuwa mbali na mtandao kwa muda, nimerudi tena nikiwa na mtazamo mpya wa maisha.
Natafuta mwanamke mwenye heshima, uaminifu, maadili mema na nia ya kujenga uhusiano wa kweli...
JE, TANZANIA KUNA HUDUMA YA “COMPANION FOR HIRE”? 🇹🇿
Nimekutana na huduma moja inayopatikana Japan ambayo imenifanya nijiulize kama kitu kama hiki kipo Tanzania.
Japan kuna huduma zinazojulikana...
Katika jamii zetu, moja ya mambo yanayoumiza sana kihisia na kuleta migogoro mikubwa kwenye familia ni pale mzazi anapogundua (au anapodai kugundua) kuwa mtoto aliyemlea na kumgharamia kwa miaka...
Nimekaa chini nimewazaaaaaa nimeona ifike mahali sasa nitulie nitakuja kukutana na mavampire ninyonywe damu nife,
Nilikutana na huyu mtu kitambo ila tulikua tuna flirt haikua ile serious,
Jana...
Happy Sunday JF Members.
Wanawake tunawaheshimu na kuwapenda sana, ila kuna jambo moja mnapaswa kulielewa kwa nia njema kabisa.
Muda wa kazi, simu na SMS za mara kwa mara za kusalimiana tuu...
Ilaa
Nimekaa nikakumbuka zamani kidogo,. Kipindi ambacho hata ule kitu gani ( haijalishi ni wanga au protini ) Kilo zangu hazijawahi kuvuka 50,. Yaani zinacheza kwenye 48kg zikizidi sana 52kg🤗🤗...
Mwanaume ukisha make it, usikubali kusettle na mwanamke ambaye hana kipato chake, hana direction, na hana abundant mindset. Sio kwamba kila mwanamke lazima awe tajiri au awe na pesa nyingi kuliko...
1.Wapare hawa ni watu hawataki upende familia yako au uwe karibu nayo wanataka wewe uwe naye na familia yake tu .
Wapo tayari wateke akili yako ili usiwe na akili ya kusaidia familia yako. Ni yao...
Mambo wanajamvi?
Imekuwa ikisikika kwamba zinaa inanafasi kubwa ya kupelekea balaa kwa wahusika.Yaani ati unaposhirikiana na mtu kimahusiano inapelekea maroho yaliyo upande wa pili kukuingia...
Wana MMU,
Kwa huku, sasa napenda mniite Babu P. maana nimo humu huu ni mwaka wa 20 ila jukwaa langu rasmi ni Jukwaa la Siasa, ila kadri unavyokuwa babu babu, busasara zinaongezeka, sipendi kuona...
Upwiru kwisha saiv yan buku 5 tuh unapanda darini bila kizuizi.nimetokea tabata saiv nimeshetana na ten tuh.saiv upwiru sina asante sana teknolojia masela sai tunafaid
Taasisi ya ndoa na mahusiano kwa ujumla ni taasis yenye changamoto nyingi san . wewe Ikiwa uko kwenye ndoa na mambo yanaenda vizuri , basi hiyo ni baraka kubwa sana na umshukuru sana baba...