Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Swali la kama mume ana haki ya kumpiga mke wake linazua mjadala mkubwa katika jamii. Baadhi ya watu bado huamini kuwa mwanaume anaweza kumchapa mke wake kama njia ya kumwadhibu anapokosea au...
3 Reactions
20 Replies
184 Views
  • Closed
Hey people, Uzi huu ni wa kuwaaga wanaJF wenzangu Nimekutwa na cancer ambayo kimsingi nimepewa taarifa kwamba ndani ya miezi miwili sitakuwepo Naumia lakini sina jinsi
38 Reactions
577 Replies
10K Views
Habari! Baada ya kuwa mbali na mtandao kwa muda, nimerudi tena nikiwa na mtazamo mpya wa maisha. Natafuta mwanamke mwenye heshima, uaminifu, maadili mema na nia ya kujenga uhusiano wa kweli...
1 Reactions
18 Replies
315 Views
Nyie hamzini hamna wachumba mpo tu kisela. Mtaishi miaka mingi maana matatizo ya kule kuzimu\ndoa mtaiepuka tagg kataa ndoa daima.
3 Reactions
14 Replies
243 Views
JE, TANZANIA KUNA HUDUMA YA “COMPANION FOR HIRE”? 🇹🇿 Nimekutana na huduma moja inayopatikana Japan ambayo imenifanya nijiulize kama kitu kama hiki kipo Tanzania. Japan kuna huduma zinazojulikana...
7 Reactions
77 Replies
516 Views
Pisi huyu ananivuruga mno😏😏😏😏😏
3 Reactions
9 Replies
171 Views
Katika jamii zetu, moja ya mambo yanayoumiza sana kihisia na kuleta migogoro mikubwa kwenye familia ni pale mzazi anapogundua (au anapodai kugundua) kuwa mtoto aliyemlea na kumgharamia kwa miaka...
1 Reactions
2 Replies
73 Views
Nimekaa chini nimewazaaaaaa nimeona ifike mahali sasa nitulie nitakuja kukutana na mavampire ninyonywe damu nife, Nilikutana na huyu mtu kitambo ila tulikua tuna flirt haikua ile serious, Jana...
34 Reactions
400 Replies
5K Views
Happy Sunday JF Members. Wanawake tunawaheshimu na kuwapenda sana, ila kuna jambo moja mnapaswa kulielewa kwa nia njema kabisa. Muda wa kazi, simu na SMS za mara kwa mara za kusalimiana tuu...
2 Reactions
17 Replies
106 Views
Ilaa Nimekaa nikakumbuka zamani kidogo,. Kipindi ambacho hata ule kitu gani ( haijalishi ni wanga au protini ) Kilo zangu hazijawahi kuvuka 50,. Yaani zinacheza kwenye 48kg zikizidi sana 52kg🤗🤗...
23 Reactions
194 Replies
2K Views
Mwanaume ukisha make it, usikubali kusettle na mwanamke ambaye hana kipato chake, hana direction, na hana abundant mindset. Sio kwamba kila mwanamke lazima awe tajiri au awe na pesa nyingi kuliko...
20 Reactions
60 Replies
700 Views
1.Wapare hawa ni watu hawataki upende familia yako au uwe karibu nayo wanataka wewe uwe naye na familia yake tu . Wapo tayari wateke akili yako ili usiwe na akili ya kusaidia familia yako. Ni yao...
33 Reactions
253 Replies
3K Views
It will cost you more to be in relationship with a broke woman than to pay for sex. Wadogo zangu na vijana wenzangu leo sina mengi ya kuandika.
38 Reactions
194 Replies
2K Views
Mambo wanajamvi? Imekuwa ikisikika kwamba zinaa inanafasi kubwa ya kupelekea balaa kwa wahusika.Yaani ati unaposhirikiana na mtu kimahusiano inapelekea maroho yaliyo upande wa pili kukuingia...
4 Reactions
40 Replies
349 Views
Wana MMU, Kwa huku, sasa napenda mniite Babu P. maana nimo humu huu ni mwaka wa 20 ila jukwaa langu rasmi ni Jukwaa la Siasa, ila kadri unavyokuwa babu babu, busasara zinaongezeka, sipendi kuona...
10 Reactions
30 Replies
323 Views
Leo nmekutana na mtoto mashine maeneo ya johannesburg.mtoto ana maunyama tupu kwa kwel nimechizika nae
2 Reactions
3 Replies
110 Views
Upwiru kwisha saiv yan buku 5 tuh unapanda darini bila kizuizi.nimetokea tabata saiv nimeshetana na ten tuh.saiv upwiru sina asante sana teknolojia masela sai tunafaid
0 Reactions
3 Replies
73 Views
Taasisi ya ndoa na mahusiano kwa ujumla ni taasis yenye changamoto nyingi san . wewe Ikiwa uko kwenye ndoa na mambo yanaenda vizuri , basi hiyo ni baraka kubwa sana na umshukuru sana baba...
3 Reactions
21 Replies
295 Views
jamaa kakuta mkewe akipigia msela simu huku akimwelezee anavyomzimia.jamaa kapandwa na hamaki kavunja simu ya mkewe. bila kupoteza mda jamaa kamchoma mkewe...
4 Reactions
7 Replies
196 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…