Wewe pia!, nini sasa hueleweki?Mimi pia
Kila LA kheri mkuuMimi ni mwanaume
Umri wangu ni miaka 33
Mwajiriwa serikalini
Nahitaji mke
Vigezo..
1.Umri..30 kushuka chini
2.Awe mfanyabiashara au mwajiriwa
3.Dini awe mkristo
##Mengineyo tukikutana tutayaongea
Nahitaji mke piaWewe pia!, nini sasa hueleweki?
Mume huyu dada😃All the best
Mume? Au kifo? Wenye akili ni wachache sana sikuhizi mkikorofishana tu panga🙄😏Mume huyu dada😃
😂😂😂Mnaandikishiana kabisa kichwa Cha habari kinakuwa TUKIGOMBANA KILA MTU ARUDI KWAO😂😂😂😂Mume? Au kifo? Wenye akili ni wachache sana sikuhizi mkikorofishana tu panga🙄😏
Tangu nijiunge JF muungo mmoja sasa kuna mtu humu Miss Natafuta labda ujaribu bahati yakoMimi ni mwanaume
Umri wangu ni miaka 33
Mwajiriwa serikalini
Nahitaji mke
Vigezo..
1.Umri..30 kushuka chini
2.Awe mfanyabiashara au mwajiriwa
3.Dini awe mkristo
##Mengineyo tukikutana tutayaongea
🤣🤣🤣Hapo sawa😂😂😂Mnaandikishiana kabisa kichwa Cha habari kinakuwa TUKIGOMBANA KILA MTU ARUDI KWAO😂😂😂😂