Roosevelt22
Member
- Sep 28, 2022
- 11
- 10
Husika na kichwa cha habari hapo juu. Mimi ni kijana wa kitanzania, miaka 36, dini mkristo, elimu Msc, kazi mfanya biashara.
Natafuta mwanamke ambaye ninaweza kuzaa nae mtoto au ambae anahitaji kuzaa mtoto. Matunzo yote ya mtoto ni juu yangu mimi kama baba.
NB: Ambae yuko tayari kuzaa mtoto siitaji demu. Kama kuna ambaye yupo tayari plz njoo inbox.
Natafuta mwanamke ambaye ninaweza kuzaa nae mtoto au ambae anahitaji kuzaa mtoto. Matunzo yote ya mtoto ni juu yangu mimi kama baba.
NB: Ambae yuko tayari kuzaa mtoto siitaji demu. Kama kuna ambaye yupo tayari plz njoo inbox.