Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Nahitaji rafiki wa kike kutoka pande za kaskazini, kati, kanda ya ziwa mwa Tz, awe mwajiliwa serkalin/mashirika binafsi, umri chin ya miaka 23 kwa mawasiliano zaidi 0769396328 message zote...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Niko mpweke; nahitaji mwanamke wa kuniliwaza hata kwa kuchart kwa SMS;
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Salam Wadau Najitokeza hapa jukwaani kutafuta mwanamke ambae tukielewana aje kuwa mke wangu, awe mnene, rangi yoyote, elimu kuanzia kidato cha 4 umri kati ya 35-45. kama ana mtoto asizidi mmoja...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Natafuta mpenzi mwenye umri usiozidi miaka 21.awe mwenye utimamu wa kuchanganua na kupambanua mambo kwa uelewa wa akili.awe mrefu saiz ya wastani,awe mrembo anayefahamu lugha mbili yaani english...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Natafuta rafiki wa kike, Awe na umri kati ya miaka 18-24, .tabia nzuri. .mcha mungu. .mwenye uelewa na mipango ya maisha. Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25, Aliye tayari ani PM.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
heshima mbele to all JF members,natafuta marafiki wa kike wa kuchat kwa ajili ya kubadilishana mawazo,umri 18-22,for more info ni PM.
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Mimi ni kijana ambaye nina mwezi wa pili nipo dar ,nilikuja kwa mjomba,sasa amestaafu amepewa ela sa hv amenunua gari lake sio la ofisini tena, kwa hiyo nataka kuoa msichana ambaye amefaulu vizuri...
5 Reactions
55 Replies
4K Views
Mimi nina miaka 32, elimu ya juu, sina mtoto, na sijawahi olewa. Ni mwajiriwa. Naishi kibaha. sifa za nimtakae awe na umri kuanzia miaka 32 mpaka 45, mkristo. Awe mwajiriwa/mjasiriamali. Awe...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Nitagombea uongozi mkubwa katika nchi hii. Naitaji mke wa mkataba mwenye sifa zifuatazo. Awe na mvuto kwa jamii. Ajue kingereza vizuri, mcheshi, mwanaharakati, awe mvumilivu kisiasa. Umri wake uwe...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Natafuta mke mwenye sifa zifuatazo awe atatoka singida elimu kiwango cha chini degree awe mweupe awe mcheshi mrefu kama cm 166 awe na umri usiopungua 22 na usizidi 35 maelezo mengine atapata...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Mimi ni kijana mstaarabu mwenye umri usiozidi miaka 25 .leo hii kwa mara ya kwanza najitokeza kwenye jukwaa hizi kutafuta mchumba .kwa upande wa kazi mimi ni mjasiriamali toka mkoa wa Kilimanjaro...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mimi ni mwanaume miaka 23 ,Nasoma ardhi university nahitaji mpenzi aliyeseriouz ani pm asiwe zaidi ya 23yrs
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Natafuta mume jaman....awe muslim jaman
1 Reactions
32 Replies
5K Views
Natafuta Mchumba wa kuanza naye Maisha. Naitwa Fatma Ally ni mtanzania kutoka Zanzibar ila kwa sasa naishi hapa Doha,Qatar na ninafanya kazi na kampuni ya chakula hapa Doha,Ninatafuta mchumba...
0 Reactions
13 Replies
7K Views
From kahama shy tz am looking a wisdom girl & beautiful whenever you're age between 18 up to 22 for more info call me or text 789372822 all text i'll reply soon as possible.
0 Reactions
17 Replies
2K Views
I have been observing the advertisements in JF about love and noted that, whenever a male needs a girlfriend will always specify age that is below his while a female specifies above her's. Can...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
JAMANI MIMI SITANII NIKO SERIOUS NATAFUTA MCHUMBA WA KUOA MKRISTO,UMRI 22-28,UMRI WANGU NI MIAKA 28 AWE MKWELI MSAFI ASIWE NA MTOTO(MIMI SINA),UMBO LA KAWAIDA ELIMU YEYOTE KABILA LOLOTE RANGI...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
kwa waliyo tayari tuwasiliane mapema sana, matan sitak na mtoto wa kiume hii haikuhusu wala sihitaj ushar ni maamuz binafi!
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Mm ni kijana ambaye Mungu Mwenyezi kanibariki katika maisha hela ya kutafuta mboga haipigi chena nimemaliza chuo kikuu plus elimu nyingine ya juu,katika mahusiano nilishapita kwingi na kuwa na...
1 Reactions
53 Replies
48K Views
For a serious chat mate gal . Kubadilishana mawazo n challenges., text me via 0778-703233 Nipo dsm. With regards, thanks.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom