Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Mimi ni mvulana wa miaka 25 najitokeza kwenu wakuu natafuta mke wakuoa. Mimi nimejiari ni mjasiriamal mdogo naishi morogoro. Dini yangu ni mkristo mkatoliki. Mke nimhitajie awe anetokea...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Jaman wana jamvi (wakike tu),nahitaji msichana wa kumwoa kweli nipo serious, Mim n mrefu wa wastan,maji ya kunde,mfanyakazi na nina umri wa miaka 27,Msichana awe na sifa hizi: -Umri 18-23 yrz...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wapendwa wana JF Napenda kujitokeza hapa kutafuta marafiki wa kuchat/kubadilisha mawazo sifa: 1. Awe na umri wa miaka 40 na kuendelea 2. Awe ni mtu anayejishuhulisha (Independent) 3. Asiwe mlevi...
0 Reactions
0 Replies
994 Views
Nimeamua kuondoa thread yangu! mode naomba uiondoshe
0 Reactions
0 Replies
783 Views
''KATIKA MAISHA YA KILA SIKU TUNAPATA NAFASI NYINGI SANA, ZINAZOWEZA KUTUBADILISHIA MAISHA YETU, LAKINI LINAPOKUJA SUALA LA MAAMUZI WENGI WETU HAWANA UWEZO WA KUFANYA MAAMUZI MAGUMU, NA MWISHO...
0 Reactions
0 Replies
777 Views
HI TO ALL! AM LOOKING FOR GIRL WHO HAS A REAL LOVE, AM 24 YEARS OLD, AND I EXPECTING TO GRADUATE ON THIS YEAR FROM ONE OF FAMOUS UNIVERSITY , on features am open, i dont care color,tribe, but on...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
me ni mwanaume umri wangu ni miaka 26. Naomba nieleweke ninahtaji mwanamke wa kuzaa nae mtt na 2mlee mtt we2 ila kla mmoja aisha kvyake. Anaehtaj anpm au a2pie no ya cm.
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Awe na rangi ya maji ya kunde mrefu wastani,mnene wastani, awe mwajiliwa wa serikali au sekta binafsi, umri kuanzia miaka 21-28,mimi ni mwajiliwa wizara moja hapa nnchi alie tayari aniatufe...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
natafuta mschana mwenye sifa hiziiiiii, 1) mkristu mcha MUNGU. 2) simrefu sana, si mfupi sana (size ya kati) 3) umri miaka 18 mpaka 19. 4) rangi, maji ya kunde. MOST WELCOME IF ANY.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wana mmu, poleni na majukumu ya kila siku natumiani wote mu wazima kabisa dhamira kuu ya kuanzishisha haka ka uzi, ni kutaka kupata rafiki wa kike wa kubadilishana mawazo kuhusu maisha kwa ujumla...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Hii jamani inatisha wana mmu kwasababu inakuwaje watu wanatafuta wachumba wa kiume wakiweka thread zao kuwa wanatafuta wachumba huwa post ni chache ila wasichana wakitafuta wachumba thread zao...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habarini wa ndugu, naomba humu ndani kama kuna mdada au kuna anayemfahamu dada yoyote mwenye maadili na mwenye kujielewa kutoka Tanga ani PM haraka, serious saana jamani
0 Reactions
43 Replies
5K Views
hivi hao wanaotafuta wachumba huwa wapo serious au? nimejaribu hata kuwatafuta kwa njia ya simu but hawapatikan why wanaweka fake no km hawapo serious si waache tu.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natafuta gal mwaminifu wa kutangaza nia ya life naye. Mie 29 aged. Awe na uwiano na umri huo( 23-26). Awe tayari kutoa her simple CV. Ani PM
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwa muda sasa nimekuwa nikitumia try and error ili niweze kumridhisha mywife wangu kunako sita kwa sita ,nimejaribu kuwa mbunifu wakati wa kumuandaa kwani nimekuwa nikimnyonya mpaka tigo lengo tu...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Iv kwann tangu niingie kwenye hi group wanawake wote wanaotafuta wapenzi au wanaume wa kuwaoa na kuanzia miaka 35 kwenda mbele...............ni swali 2!! Sent from my BlackBerry 9700 using...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nahitaji msichana wa uhusiano wa muda mrefu sio kuchezeana napenda niwe karibu nae hapa dodoma wa mbali usaliti mwingi kama upo tayari PM.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mimi ni kijana wa miaka 31 nina shahada mbili, naishi tanga ni mfanyakazi serikalini. Nahitaji mke wa kuoa awe muislam na angalau awe na elimu ya certificate au zaidi. Kama kuna yeyote aliyeko...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Mwenye sifa zifuatazo awe mwa adventista msabato..awe mrefu kiasi..rangi yoyote umri 18 hadi 22...elimu awe amemaliza vidato sita na kuendelea....mcheshi...na mwenye kujari...kabila lolote awe na...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Niko bored natafuta msichana wa kula naye goodtime Awe na wasifu ufuatao Umri: 20 - 28 Urefu: futi 5 - 5.7 Umbo: wastani Dini: yeyote Makazi: Arusha Awe social. kama unaizo sifa tafadhali ni PM.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom