Msichana mwenye tabia njema

Chele2

Senior Member
Apr 5, 2013
102
5
Jaman wana jamvi (wakike tu),nahitaji msichana wa kumwoa kweli nipo serious,
Mim n mrefu wa wastan,maji ya kunde,mfanyakazi na nina umri wa miaka 27,Msichana
awe na sifa hizi:
-Umri 18-23 yrz
-Elimu kuanzia f.4
-Asiwe mchaga,mpare
-Akiwa na shughuli ya kufanya au wazo la kupenda kujishughulisha ni bora zaidi
-Asiwe mnene sana
-Asiwe mweusi sana
-Urefu kuanzia futi 4
-Awe mkoa wa Dar,Lindi,Mtwara,Dodoma,Morogoro au Ruvuma
Mwenye angalau nusu ya sifa hizo na anahitaji kwel kuwa na mwenza wa maisha aniPM
 
Jaman wana jamvi (wakike tu),nahitaji msichana wa kumwoa kweli nipo serious,
Mim n mrefu wa wastan,maji ya kunde,mfanyakazi na nina umri wa miaka 27,Msichana
awe na sifa hizi:
-Umri 18-23 yrz
-Elimu kuanzia f.4
-Asiwe mchaga,mpare
-Akiwa na shughuli ya kufanya au wazo la kupenda kujishughulisha ni bora zaidi
-Asiwe mnene sana
-Asiwe mweusi sana
-Urefu kuanzia futi 4
-Awe mkoa wa Dar,Lindi,Mtwara,Dodoma,Morogoro au Ruvuma
Mwenye angalau nusu ya sifa hizo na anahitaji kwel kuwa na mwenza wa maisha aniPM
hapo kwenye red why? ukabila sasa huo
 
Jaman wana jamvi (wakike tu),nahitaji msichana wa kumwoa kweli nipo serious,
Mim n mrefu wa wastan,maji ya kunde,mfanyakazi na nina umri wa miaka 27,Msichana
awe na sifa hizi:
-Umri 18-23 yrz
-Elimu kuanzia f.4
-Asiwe mchaga,mpare
-Akiwa na shughuli ya kufanya au wazo la kupenda kujishughulisha ni bora zaidi
-Asiwe mnene sana
-Asiwe mweusi sana
-Urefu kuanzia futi 4
-Awe mkoa wa Dar,Lindi,Mtwara,Dodoma,Morogoro au Ruvuma
Mwenye angalau nusu ya sifa hizo na anahitaji kwel kuwa na mwenza wa maisha aniPM

mmh! Umeleta mambo ya ukabla huku? Co mbaya utapata ------ au mzaramo.
 
plz plz nna sifa zote ila am 24 plz naomba uongeze mwaka mmoja tu kwenye vigezo!!!!!!!!
 
Jaman wana jamvi (wakike tu),nahitaji msichana wa kumwoa kweli nipo serious,
Mim n mrefu wa wastan,maji ya kunde,mfanyakazi na nina umri wa miaka 27,Msichana
awe na sifa hizi:
-Umri 18-23 yrz
-Elimu kuanzia f.4
-Asiwe mchaga,mpare
-Akiwa na shughuli ya kufanya au wazo la kupenda kujishughulisha ni bora zaidi
-Asiwe mnene sana
-Asiwe mweusi sana
-Urefu kuanzia futi 4
-Awe mkoa wa Dar,Lindi,Mtwara,Dodoma,Morogoro au Ruvuma
Mwenye angalau nusu ya sifa hizo na anahitaji kwel kuwa na mwenza wa maisha aniPM

Nakuombea umpate mwenza.ila uwe serious.
 
Jaman wana jamvi (wakike tu),nahitaji msichana wa kumwoa kweli nipo serious,
Mim n mrefu wa wastan,maji ya kunde,mfanyakazi na nina umri wa miaka 27,Msichana
awe na sifa hizi:
-Umri 18-23 yrz
-Elimu kuanzia f.4
-Asiwe mchaga,mpare
-Akiwa na shughuli ya kufanya au wazo la kupenda kujishughulisha ni bora zaidi
-Asiwe mnene sana
-Asiwe mweusi sana
-Urefu kuanzia futi 4
-Awe mkoa wa Dar,Lindi,Mtwara,Dodoma,Morogoro au Ruvuma
Mwenye angalau nusu ya sifa hizo na anahitaji kwel kuwa na mwenza wa maisha aniPM
Mkuu hapo kwenye futi 4 ukimwona utamkimbia, kama sio mtoto basi ni anduje balaa.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom