Jaman wana jamvi (wakike tu),nahitaji msichana wa kumwoa kweli nipo serious,
Mim n mrefu wa wastan,maji ya kunde,mfanyakazi na nina umri wa miaka 27,Msichana
awe na sifa hizi:
-Umri 18-23 yrz
-Elimu kuanzia f.4
-Asiwe mchaga,mpare
-Akiwa na shughuli ya kufanya au wazo la kupenda kujishughulisha ni bora zaidi
-Asiwe mnene sana
-Asiwe mweusi sana
-Urefu kuanzia futi 4
-Awe mkoa wa Dar,Lindi,Mtwara,Dodoma,Morogoro au Ruvuma
Mwenye angalau nusu ya sifa hizo na anahitaji kwel kuwa na mwenza wa maisha aniPM
Mim n mrefu wa wastan,maji ya kunde,mfanyakazi na nina umri wa miaka 27,Msichana
awe na sifa hizi:
-Umri 18-23 yrz
-Elimu kuanzia f.4
-Asiwe mchaga,mpare
-Akiwa na shughuli ya kufanya au wazo la kupenda kujishughulisha ni bora zaidi
-Asiwe mnene sana
-Asiwe mweusi sana
-Urefu kuanzia futi 4
-Awe mkoa wa Dar,Lindi,Mtwara,Dodoma,Morogoro au Ruvuma
Mwenye angalau nusu ya sifa hizo na anahitaji kwel kuwa na mwenza wa maisha aniPM