Mimi ni dada nina miaka 31, mkristo, ni mrefu, nina elimu ya chuo. Nahitaji mwanaume mwenye uhitaji wa mahusiano yaliyo serious ambayo Mungu akipenda yaishie kwenye ndoa. Huyo mwanaume napenda awe...
Aslm. alykum nataraji mutakuwa wazima wana jf natafuta mwenzangu awe mwanamke kuanzia miaka 20 kuendelea awe Muslim na anaeishi zanzibar vigezo na cfa nyengine ni baada ya kujuana my contact now...
Hallow to All
Hey guys am back again looking for honest and Good looking husband for my future life. am 37yrs old with two children. pliz if you are below 35 do'nt comment. nina kazi yangu pia...
Habari wana jukwaaaa
Mimi ni mtanzania mwenzenu nahitaji kwanamke wa kuustiri moyo wangu na kiwiliwili kwa ajili ya ndoa na sio ngono
Mwanamke awe ni miaka 30+
Awe ameolewa na kuachika
Awe na...
Mim ni mvulana mwenye umri wa miaka 21,natafuta mchumba wa kike umri ni miaka 17-20. Elimu kuanzia form 4,awe mweupe kidogo na hasiwe mfupi wala hasiwe mnene.
Asanteni
Awe msichana mwenye miaka 18 mpaka 27, asiwe mwembamba sana na asiwe mnee . Elimu yake form 4 na kuendelea( sio dv Zero) . Awe tayari kuajiriwa kama hana Ajira. Kama yupo PM tujuane
Nipo serious, wakuu natafuta mchumba mnyamwezi awe anatoka Tabora au sehemu yoyote ile. Ila awe radhi kuishi nje ya nchi, suala la elimu sibagui hata kama awe ameishia darasa la 7.
Tahadhari...
awe na sifa zifuatazo
age kati ya 20-22
mkristo na mcha mungu
awe amesoma angalua frm 4
awe anaishi dar au moro
kwa mawasiliano zaidi
0753756956
0714303414
Wakuu habari zenu mimi ni kjana ambaye bado nipo masomoni chuo lakini nimedhamiria kuoa. Age iwe 18+ wala kabila sio tatizo kwangu ila huyo mke anatakiwa awe muislam.Mengine tutazungumza private...
Jaman,hivi ni kweli kuwa jf huwez kupata mke? mim najitokeza tena,nahitaji msichana mwenye umri wa miaka 18-25,elim sio tija sana bali awe na shughuli maalumu yani ana uwezo wa kuongeza kipato ktk...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.