Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Am looking for a a single woman to mary Me: age-30 Job:public servant Location : southern highlands Woman looking for: Age : below 30 Able to relocate...
5 Reactions
23 Replies
1K Views
Mschana au mwanamk3
5 Reactions
20 Replies
1K Views
Makazi Dar Es Salaam Miaka 26 Jinsia Me. Dini Muislamu Awe Dini: Muislam Miaka 20-23 Makazi Dar Es Salaam Kama atapatikana anicheki whatsapp 0743366810 kama anataka tufahamiane zaidi. Sent...
1 Reactions
18 Replies
911 Views
TUambiane jamani tujue
4 Reactions
110 Replies
3K Views
Kichwa cha habari chajieleza hapo juu. Hili naliongea kutoka nafsini,nahitaji au natafuta mama mtu mzima kwa ajili ya Enjoyments,Intimacy,etc, basi! Yaani ambaye hatuwezi kuoana (labda itokee ila...
4 Reactions
28 Replies
1K Views
  • Closed
Jamani nipo serious natafuta mume nahitaji mwanaume ambaye yupo serious kwaajili ya ndoa na kujenga familia. Awe na mapenzi ya dhati maana napenda kupendwa na kudeka. Awe baba kwa watoto wake...
40 Reactions
160 Replies
11K Views
Uwanja ukowazi. Karibuni wadada na wamama mliyotayari. Leteni wasifu wenu kwa kuni PM mmoja wenu atachaguliwa. Sifa zangu: Umri : 50 Elimu: shahada 1 &2 Kazi: Mfanya biashara Dini: Mkristo...
15 Reactions
223 Replies
8K Views
Amechokaje kukumbatia midoli!! hebu kamata fursa chap chap, nani kasema senior expert members wote tunamilikiwa! sifa za anaetafutwa 1. Asiwe na shida ndogo ndogo za kifedha, mwenyewe nna...
31 Reactions
420 Replies
43K Views
Rej:- Natafuta MKE. Vigezo/ Mwembamba kiasi/mrefu kiasi/rangi yoyote. Mkristo na awe ametokea familia ya kikristo. Elimu yoyote. Awe anafanya kazi. Umri/24-29 Kabila lolote. Asiwe na mtoto...
1 Reactions
6 Replies
635 Views
Jamani mwenzenu imenikuta mara nyingu sana toka niweke thread ya kutafuta mchumba, si mimi tuu hata rafiki yangu James wa JF kakutana nalo, unakuta umeweka hiyo thread then wanaume kibao wanakupm...
3 Reactions
190 Replies
40K Views
Sifa za mwanamme Mrefu maji ya kunde, Elimu degree, Umri 30, Mpole na mcheshi, Kajiajiri,kipato cha kubadilisha mboga tu. Makazi Dodoma Sifa za mwanamke anaehitajika Elimu kuanzia form...
1 Reactions
11 Replies
669 Views
Kama kisemavyo kichwa cha habari natafuta mke awe na sifa zifuatazo Awe na umri miaka 25 mpaka 28 Awe mkristo ila sio msabato Elimu-degree yeyote Akubali kwenda kupima group la damu, hivi na...
4 Reactions
33 Replies
1K Views
Rej:- Natafuta MKE. Vigezo/ Mwembamba kiasi/mrefu kiasi/rangi yoyote. Mkristo na awe ametokea familia ya kikristo. Elimu yoyote. Awe anafanya kazi. Umri/24-29 Kabila lolote. Asiwe na mtoto...
4 Reactions
15 Replies
1K Views
Hellow guys😁
5 Reactions
105 Replies
3K Views
Mwonekano 1. Mrefu 2. Mweupe Umri Kuanzia miaka 20-27 Dini Mkristo (Msabato) Kabila Msukuma ( hasahasa Mnyantuzu), Muha au Mhehe. Elimu Diploma/ Degree SIFA ZANGU Mwonekano 1. Mrefu 2...
2 Reactions
8 Replies
615 Views
Nina miaka 24 natafuta mwanaume mwema wa kunioa in the next one or two years. Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu hapa tz mwaka wa pili nasomea degree ya ualimu. Ni dada mtulivu nisie na makuu...
0 Reactions
36 Replies
12K Views
Habari za weekend ndugu zangu, Kuna muda kwenye Maisha unahitaji mtu sahihi wa Ku share naye upendo na mapenzi yako, mtu ambaye atakudekea, utamdekeza, utampenda na kumuheshimu, ujisikie furaha...
6 Reactions
32 Replies
1K Views
Mimi nipo Dar na nahitaji mke aliye mnene na mkweli pamoja na mapenzi ya kweli. Nipo Dar na umri wangu miaka 54 na umri wa mke usiZidi miaka 50 sina tatizo la dini wàla kabila. Tuwasiliane kwa...
11 Reactions
120 Replies
5K Views
Mimi ni mwanamke, umri 36, naishi Singida, makazi rasmi ni Arusha. Kazi ni Secretary nimeajiriwa na kampuni binafsi, sijaolewa nina mtoto 1, Mkristo mhofu ya Mungu, body size medium, situmii...
16 Reactions
190 Replies
14K Views
Mimi ni mdada Umri wangu ni 28 Mrefu kiasi Rangi maji ya kunde Nina mtoi 1 Mengineyo: pm nahitaji mwenza Awe serious na mwenye kujitambua Muislam mwenye hofu ya mungu Umri 32-48
3 Reactions
24 Replies
4K Views
Back
Top Bottom