Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Moderator usifute neno mbagala kwenye Tittle. Sina mambo mengi ninaweza penda mwanamke yeyote just awe anaonekanika tu (Uzuri Basic), Awe anaishi Mbagala hili isiwe shida kuonana na kuseti hatua...
5 Reactions
20 Replies
2K Views
Mimi nikijana wa 33yrs natafuta mwanamke wa kumuowa
6 Reactions
45 Replies
2K Views
Habari mimi ni kijana wa miaka 33 ni mfanyabiashara ndogo ndogo Natafuta mchumba Awe chini ya miaka 28 Awe mkristo Awe Arusha/Moshi Awe na kazi/biashara yotote AHSANTE
7 Reactions
63 Replies
2K Views
Kama kichwa cha habari hapo juu cha jieleza natafuta mwanamke wa kumuoa tujenge familia; Awe na umri kuanzia 22-28 Awe na elimu kuanzia kidato cha nne Awe na kazi halali ya kufanya Asiwe mweusi...
16 Reactions
134 Replies
3K Views
Jf family, Im looking for a matured man to start a new life chapter with.Im 35yrs-christian with one kid.Im employed. If you are interested,you are in your 30's up to 40's please leave a message...
15 Reactions
137 Replies
7K Views
Habari ya muda huu Mimi ni mwanamke mwenye miaka 32, ninahitaji mwanaume wa kuwa nae katika mahusiano tukielewana tufunge pingu za maisha. Sifa zangu ni Mweusi Mkristo Ninafanya bihashara Nina...
20 Reactions
85 Replies
4K Views
Habari, Natafuta mke wa kumpenda na kuishi naye maisha yangu yote yaliyobaki hapa duniani. Mimi ni mkristo, miaka 35, nafanya biashara (machinga), naishi Dar es Salaam. Natafuta mwanamke miaka...
1 Reactions
5 Replies
939 Views
Umri wangu 32 Dini muislamu. makazi dar natafuta mchumba awe anaishi dar ,awe na sifa ya kike Umri usizidi 35.
4 Reactions
23 Replies
1K Views
Mimi ni mwanaume natafuta mchumba awe anaishi dar Umri 20-35. Umri wangu 32. Asiwe slay queen. Ajue thamani ya mwanaume Mwanamke serious anifate inbox aache kuchat chat hapa.
7 Reactions
55 Replies
2K Views
Awe anajielewa, muonekano wa kawaida tu ila ukiwa mzuri wa sura itapendeza zaidi.
5 Reactions
51 Replies
2K Views
Habari, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Nahitaji rafiki mtu mzima, kutoka upande wowote wa dunia umri kuanzia miaka 35 , ambaye amepitia changamoto tofauti za kimaisha bila kukata tamaa...
11 Reactions
123 Replies
7K Views
Ni kijana umri miaka 24 natafuta mchumba mwenye miaka kunizidi mm sihitaji watoto wa 2000 I need new experience if your interested kindly PM.
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Dear People my Name is Ariana and I am looking for the serious man later to be my husband . I need a Man who live near me I live in between Moshi and Arusha. I need a person who workinghard knows...
18 Reactions
342 Replies
34K Views
Natafuta rafiki wa kawaida wa kiume awe na umri wa miaka kuanzia 40-70, awe mstaarabu, mkweli, muwazi na mpenda maendeleo. Kama uko tayari ni pm please [emoji21]
4 Reactions
13 Replies
1K Views
Salama wakuu wa love connect. Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 37, nina mtoto mmoja wa mwaka mmoja, baba yake tuliachana ila hatukuwahi kuishi pamoja, nimeajiriwa serikalini, nina elimu ya...
29 Reactions
400 Replies
41K Views
Habari zenu? Mm ni kijana mwenye umri wa miaka 35. Natafuta mwanamke anaeishi na VVU. Umri kuanzia miaka 30 na kuendelea. Aliye tayar anipm au kwa E-mail kareemibu9@gmail.com
2 Reactions
4 Replies
754 Views
Wakuu, mimi nimechoka kupiga puli, nimechoka kulala peke yangu, nimechoka kuvaa nguo za kurudia, nimechoka kula kwenye mgahawa naogopa kulea watoto nikiwa mzee, mtu mwenye dada au ndugu wa kike...
17 Reactions
48 Replies
2K Views
Natafuta Mchumba wa kike Mimi nina miaka 25 Sifa Umri 27-20 Elimu form 4-Degree Makazi-Dar es salaam(Wilaya ya ubungo) KAZI yeyote tu Anicheki kwenye email ebrahalwatan@gmail.com
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Back
Top Bottom