Moderator usifute neno mbagala kwenye Tittle.
Sina mambo mengi ninaweza penda mwanamke yeyote just awe anaonekanika tu (Uzuri Basic), Awe anaishi Mbagala hili isiwe shida kuonana na kuseti hatua...
Habari mimi ni kijana wa miaka 33 ni mfanyabiashara ndogo ndogo Natafuta mchumba
Awe chini ya miaka 28
Awe mkristo
Awe Arusha/Moshi
Awe na kazi/biashara yotote
AHSANTE
Kama kichwa cha habari hapo juu cha jieleza
natafuta mwanamke wa kumuoa tujenge familia;
Awe na umri kuanzia 22-28
Awe na elimu kuanzia kidato cha nne
Awe na kazi halali ya kufanya
Asiwe mweusi...
Jf family,
Im looking for a matured man to start a new life chapter with.Im 35yrs-christian with one kid.Im employed.
If you are interested,you are in your 30's up to 40's please leave a message...
Habari ya muda huu Mimi ni mwanamke mwenye miaka 32, ninahitaji mwanaume wa kuwa nae katika mahusiano tukielewana tufunge pingu za maisha.
Sifa zangu ni
Mweusi
Mkristo
Ninafanya bihashara
Nina...
Habari,
Natafuta mke wa kumpenda na kuishi naye maisha yangu yote yaliyobaki hapa duniani.
Mimi ni mkristo, miaka 35, nafanya biashara (machinga), naishi Dar es Salaam.
Natafuta mwanamke miaka...
Habari,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Nahitaji rafiki mtu mzima, kutoka upande wowote wa dunia umri kuanzia miaka 35 , ambaye amepitia changamoto tofauti za kimaisha bila kukata tamaa...
Dear People my Name is Ariana and I am looking for the serious man later to be my husband .
I need a Man who live near me I live in between Moshi and Arusha.
I need a person who workinghard knows...
Natafuta rafiki wa kawaida wa kiume awe na umri wa miaka kuanzia 40-70, awe mstaarabu, mkweli, muwazi na mpenda maendeleo.
Kama uko tayari ni pm please [emoji21]
Salama wakuu wa love connect.
Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 37, nina mtoto mmoja wa mwaka mmoja, baba yake tuliachana ila hatukuwahi kuishi pamoja, nimeajiriwa serikalini, nina elimu ya...
Habari zenu?
Mm ni kijana mwenye umri wa miaka 35. Natafuta mwanamke anaeishi na VVU.
Umri kuanzia miaka 30 na kuendelea.
Aliye tayar anipm au kwa E-mail kareemibu9@gmail.com
Wakuu, mimi nimechoka kupiga puli, nimechoka kulala peke yangu, nimechoka kuvaa nguo za kurudia, nimechoka kula kwenye mgahawa naogopa kulea watoto nikiwa mzee, mtu mwenye dada au ndugu wa kike...
Natafuta Mchumba wa kike Mimi nina miaka 25
Sifa
Umri 27-20
Elimu form 4-Degree
Makazi-Dar es salaam(Wilaya ya ubungo)
KAZI yeyote tu
Anicheki kwenye email ebrahalwatan@gmail.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.