Habari wanajamvi wenzangu!!
Naomba twende moja kwa moja kwenye maada lengwa ili nisiwachoshe, ni mara ya pili nimerudi kwenu
Mm ni jinsia ME, umri wangu miaka 30, mrefu kiasi, mweusi kawaida...
Hello,
Nafuraha sana kuwa moja ya sehemu nilizokua nikitafuta faraja kwa muda mrefu sana.
Miaka zaidi ya 20 ya kuishi niliyonayo, tayari nimekomaa vya kutosha kuhimili mikiki mimiki ya mapenzi...
Kuna site hii kwa wale wenye upweke au wanaohitaji "faraja" ya nyumba ndogo kwa Kenya gonga hapo chini
Home - Mpango wa Kando! nasikia huduma hii ipo Bongo pia wenye site please?
Welcome, this...
Nenda kaangalie avatar ya Cheusi mangala, kama una sifa zinazofanana na hiyo avatar nitafute kwenye facebook. Isaac Emanuel Qaymo.
Usiwe mwanafunzi wa primary au secondary, nisije nikaozea...
Mambo vp marafiki!
Hope mko salama.
Leo niko hapa kutafuta rafiki mmoja tu wa kike. Mtu ambaye atakuwa tayari kuongea na mimi, kushauriana, kupiga story.
Sijawa tayari kuingia kwenye mahusiano...
Mimi ni msichana, mkazi wa Dar es Salaam, single, miaka 24, Mkristo, muajiriwa sekta binafsi, mrefu, maji ya kunde, mnene kiasi, natafuta mwenza.
Sifa:
~Mrefu, mweusi au maji ya kunde, mnene...
Poleni na Shughuli za siku wana JF,
Nimekuja nikiwa na uhitaji wa kupata mwenza Mwanaume. Mwenye uhitaji na mahusiano aliechoka kua mpweke kama mimi.
Awe mwanaume mwenye umri kuanzia miaka 32 na...
Hi to everyone on this forum!
I am a gentleman, 38 years old, Christian - roman catholic, postgraduate, employee, 170cm, ready to settle down and establish a better family with a decent woman who...
Habari.
Umri wangu ni miaka37 natafuta mwanamke wakuoa. Kazi nimejiajiri.
Mwanamke ni mtakaye.
Awe na umri kuanzia 28 nakuendelea.
Awe tayari kuishi popote,Asiwe mrefu Sana,,mwenye upendo...
Habarini Mabinti na wale wenye dada zao.
Nafasi ni moja tu, anatafutwa binti mzuri wa muonekano na tabia yaani Mtu mwenye Utu na Utulivu.
Umri: 18-23 (Asiye mshangazi bila Kitambi)
Elimu: Si...
Habari ndugu zangu,
Kama kuna mwanamke ambaye yupo tayari kwa ndoa namkaribisha mimi ni kijana ambaye:
1. Nimeajiriwa kwenye taasisi kubwa mjini
2. Umri wangu 34
3. Rangi ni mweusi
4. Muislamu...
Habari ndugu zangu,
Waswahili wanasema katika maisha ni muhimu kuwatafutia wanao mama aliye bora.
Na hivyo bila hiana nimeona humu JF naweza pata mke bora maana naamini humu watu wenye sifa ya...
Habari ya uzima wenu wana JF?
Natumaini mu wazima.
Mimi ni mkazi wa Dar, ni muajiriwa na pia nina biashara zangu za kunipa senti mbili tatu. Umri wangu ni miaka 29 na ni mzaliwa wa mkoani...
Habari waJF? Muda umefika wa kuwa na ubavu wangu. Nahitaji kuoa hivi punde. Binti ambae yupo na vigezo hivi naomba tuwasiliane:
1. Mzuri
2. Umri kuanzia miaka 25-28
3. Dini yoyote
4. Ajue kusoma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.