Kijiti
Senior Member
- Apr 24, 2011
- 190
- 27
Wana Jf naomba ridhaa yenu na utayar wenu katika hili. Nahitaj na kutafita binti mlokole ambae yuko makini na tayar kwa kua katika mahusiano ya malengo. Pia asiwe muongo. Aliyekua tayar tafadhali ni pm au kama unamfaham mlokole ambae yupo loose pliz connect ......
Nawasilisha
Nawasilisha