Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Assalamualaikum Wana familia ya jf. Nina ishi mbeya mjini. Natafuta mwanamke anayejitambua na mwenye uhitaji wa mume ili kujenga familia bora 🙏
20 Reactions
250 Replies
7K Views
Mimi ni mwanaume miaka 37 mwajiriwa serikalini, ninae mtoto mmoja wa kiume miaka 14 sasa, mkatoliki. Naomba mwanamke mwenye uhitaji aje tuzungumze 0769499326
6 Reactions
18 Replies
870 Views
Habari zenu wana jukwaa anahitajika mwanamke ambaye yupo tayari kwa ndoa ambaye yupo serious anitumie ujumbe PM (DM) awe muislam umri 25+ awe tayari kwa ndoa.
1 Reactions
3 Replies
492 Views
Deleted
2 Reactions
1 Replies
304 Views
Wasaalam. Kutokana na pigo nililopigwa Leo! Nimebadilisha msimamo. Natafuta mwanamke angalu mwenye mtoto mmoja wasizidi wawili. Hope huyu atakuwa ashapigwa matukio ya kutosha! Na Mimi pia...
4 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari wana JF, Nimejitokeza kuweka wazi hitaji langu. Im in my mid 30's, with one kid. Never been in marriage before. Ewe Mkristo mwenye miaka 34 na kuendelea,Mkweli namwenye uhitaji kama.wangu...
8 Reactions
28 Replies
2K Views
I'm Dan 42age Vih + Looking for women VIH+ WRITE TO ME kkundunda@gmail.com
0 Reactions
1 Replies
259 Views
Tafadhali husika na mada tajwa hapo juu. Endapo wewe ni mwanamke na una uhitaji wa mume basi nakufahamisha kuwa 'tatizo lako limepata suluhisho'. Mimi nina uhitaji wa mwanamke ambaye kwa kuanzia...
6 Reactions
27 Replies
1K Views
Natafuta KAZI Dodoma mjini PM
0 Reactions
7 Replies
984 Views
1.Wasichana wanapenda kuongea maneno machafu kama wavulana. Wanawake huvutiwa moja kwa moja na wale wanaojaribu kuanza mazungumzo nao ana kwa ana, 2. Neno "I Love You" lina athari zaidi ya...
4 Reactions
9 Replies
2K Views
Jamani nahitaji mwanaume wa kufanya naye maisha. Awe na sifa nzuri zikiwemo 1. Asiwe member wa JF 2. Awe mkristo safi 3. Mrefu mweusi asiye na kitambi. Please mwanaume mwenye sifa hizo ambaye...
6 Reactions
22 Replies
1K Views
Am looking for a a single woman to mary Me: age-30 Job:public servant Location : southern highlands Woman looking for: Age : below 30 Able to relocate Not having a child Job have If interest...
5 Reactions
13 Replies
860 Views
Habari Wana Jf Natumai mko salama Nimekaa nikawaza mengi, kwenye jukwaa hili ni wengi waliotoa post za kutafuta mke au mme nikiwemo na mie😊 Lakini Cha kushangaza sijawahi Kuona mirejesho ya...
12 Reactions
242 Replies
6K Views
Good morning every one! Niende kwenye mada moja kwa moja. Dear Wana JF napenda kuwatangazia kwamba natafuta mke mtu mzima mwenye utayari wa kuolewa. My personal details. Jina : Langliguara...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Nahitaji mwanamke wa kuoa. Awe ni muelewa tu sio mjuaji. Najibu PM zote kuanzia sasa kwa mengi zaidi.
5 Reactions
24 Replies
2K Views
Habari zenu wapendwa,Poleni na kazi au shughuli tofauti tofauti. Niko Arusha and natafuta marafiki both wanawake na wanaume.Sijali umri ila napendelea watu smart kichwani yaani intelligent...
6 Reactions
42 Replies
3K Views
Nahitaji mwanamke wa kuoa, Awe ni muelewa tu sio mjuaji. Najibu PM zote kuanzia sasa kwa mengi zaidi
1 Reactions
1 Replies
222 Views
Mimi naishi Dar nina miaka 23 natafuta mpenz wakudate nae kwana uko mbele tuombe mungu tunaweza tukawa mbali. awe dini yoote umri kuanzia 18-35 awe anaishi Dar es salaam . atakae kuwa tayari ...
2 Reactions
20 Replies
5K Views
Back
Top Bottom