Mimi ni mwanaume umri miaka 33.
Kazi ; nipo mwaka wa mwisho kimasomo (udaktari) niliamua kurudi kupiga tena kitabu sasa nipo mwa mwisho kimasomo .
Natafuta mchumba (ke) kikubwa awe msikivu...
Anatafutwa mwanamke anayetaka kuolewa mwenye sifa zufuatazo,
Awe na miaka kuanzia 27 mwisho miaka 35. ASIWE NA MTOTO. ASIWE NA ANATUMIA DAWA YA KUFUBAZA.
Anaweza akawa nesi, mwalimu, banker...
Greetings,
A female in her 30's is searching for a man with the following,
-High libido(be very sure about this)
-Healthy heart.
-No hereditary diseases.
-Proper mental health.
-Must be willing to...
Hi…
Mimi ni kijana 30+ nina tafuta mwanamke wa kuanzisha nae maisha Sifa :spiritually understanding
:mbunifu wa kutafuta kipato
:Asizidi 34+
Dini yoyote
Kazi yangu na...
Guys rafiki yangu 42yrs( ME) Anatafuta mchumba kutoka nchi za Scandinavia Hasa hasa Sweden. Aliachana na mzungu wake Miaka miwili iliyopita na sasa anataka kupenda Tena! Anawatoto wawili age 10...
Habari nahitaji Mume mwenye umri 40 Hadi 49 Kwa ajili ya ndoa halali ya kanisani
Mchapkazi na anayejua Majukumu yake sio wakulelewa
Mkristo hasa mpetekoste
NB alietayari ku asili mtoto
Awe mkoa WA...
Mimi ni kijana wa miaka 32, mkristo, naishi Dar es Salaam, ni mwajiriwa wa sekta binafsi nahitaji mwenza wa maisha ikiwa heri tuishi pamoja. Karibu PM
Sifa za mwenza ninayemtaka
1. Awe na umri...
Habari Wana JF,
Natafuta mke mwenye sifa zifuatazo:
1. Awe Muislam mwenye kuifata dini yake angalau awe ana swali na kuvaa nguo za stara
2. Umri 20-30
3. Asiwe mrefu kunizidi, mimi urefu wangu...
Habarini ndugu zangu 🙏
Tafadhali rejea: MWANZO 24: 1 - 51.
WAEFESO 5: 22-33.
Naamini Mungu ni mwema wakati wote.
Mwenye UHITAJI lakini pia mwenye sifa nilizotaja hapo juu na mwenye hekima na...
Habari za majukumu ndugu zangu wote!
Nategemea kuoa mwakani Mungu akijaalia, kutokana na expirence ya mahusiano ya sasa na maisha kwa ujumla Mimi binafsi nimetamani kutaka kuoa mwanamke ambaye ni...
Natafuta sugar mummy, nita-mdrive every where she wants na nita-do everything she need kwenye swala la LOVE niachie.
Mimi mimi ni mrefu kiasi, mnene kidigo, ninacheza basketball, naish Kigamboni...
Natafuta mtoto wa kike mwenye sifa zifuatazo:
Asiwe na urefu wa zaidi ya futi 6 au chini ya futi nee.
Awe na rangi ya maji ya kinda, hata akiwa mweupe hakuna yaani.
Asiwe na zaidi ya miaka 25...
HABARI ZENU NDUGU ZANGU 🙏
Najitokeza kwenu, na kwa kumshirikisha Mungu kuwa natafuta mwanamke wa kujenga nae familia pamoja.
Kama kuna mwanamke ambaye anaji-consider yeye mwenyewe kuwa ni "WIFE...
Habari wakuu nina umri wa miaka 26 napitia changamoto ya mahusiano nahitaji mwanamke wa kuishi nae umri kuanzia miaka 35 had 35 nafanya biashara zang ndogo ndogo nipo dar es salaam
Niko Arusha
Natafuta rafiki wa kike asiyekula nyama, asiwe mfia dini za wazungu
Mimi ni mweupe maji ya kunde, umri wangu miaka 35, sijaoa wala sina mtoto
Rafiki ninayemtaka
Awe mweusi
Awe mrefu...
Nipo hapa kutafuta mchumba mwanamke nimekuwa single kwa muda mrefu.
Vigezo dini yeyote, umri wowote sichagui mahusiano serious kwa ambaye yupo serious ani Pm niko DSM.
Wadau tunawashukuru kwa Kushiriki kwenu.
Tunamshukuru Mwenyezi MUNGU,Mwoaji amefanikiwa kumpata Mke Mwenye Sifa 15 Kati ya 16, Kilicho Bakia Hivi sasa ni mchakato wa ndoa yenyewe Kukamilishwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.