Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Wanaume ambao hamjaoa,wake zenu watarajiwa wapo makanisani,tembeleeni huko,kwenye kwaya za makanisa,wapo wanawake wengi sana.Nendeni kwenye makanisa,kusali,kuimba na kwa shughuli nyingine za...
2 Reactions
9 Replies
508 Views
Kama we ni mwanaume mweupe, una miaka 32-35 una kazi ya kuajiliwa, mkristu,huna UKIMWI,wala UTI sugu, huna familia upo mkoa wa Ruvuma nicheki inbox tuyajenge. Karibu nimechoka kuwa single, na uwe...
5 Reactions
24 Replies
1K Views
Greetings to everyone, my dear brothers and sisters. I hope you all are in good health and progressing well with your nation-building endeavours. I am a 32-year-old man currently living in Dar es...
6 Reactions
61 Replies
3K Views
Mimi ni Mwanaume wa miaka 27 , Dini yangu , ni mkristo. naishi DAR kazi yangu ni muajiliwa elimu yangu ni DIPLOMA. Natafuta mke mwenye SIFA zifuatazo , *awe mkristo *Awe anaishi dar *awe...
1 Reactions
35 Replies
2K Views
Mke
Wajameni 2025 imefika sasa! Ajitokeze mdada flani hivi tuoane kama ajali flani hivi bila mauchunguzi na intelijensia nyingi. Kuchunguza sana ni time consumption na muda unaochunguza pepo...
3 Reactions
8 Replies
404 Views
Wakuu nimechoka kuishi gheto , mchumba niliyekuwa nae alisema bado hajawa tayali kuolewa. Umri - miaka 36.. Kazi-Seremala Mwanamke awe na miaka 28 kushuka chini, na asiwe mpare na awe anaishi...
12 Reactions
82 Replies
2K Views
Habari, Mimi ni mkazi wa Dar es salaam Umri - 33.6 Kazi - Ajira/biashara Dini - Mkristo Elimu - Masters Rangi - mweusi na mrefu kiasi Mtoto - Sina mtoto Natafuta binti Umri - 24 hadi 29 Kazi -...
3 Reactions
9 Replies
946 Views
Nahitaji mwanamke wa kuishi nae, ambae tayari kashazaa. Awe na umri kati ya 23-27yrs. Mtoto awe mmoja tu. Kabila, awe katika lolote kati ya haya, Mnyamwezi -Tabora, Nandi from Kenya, Tutsi from...
7 Reactions
66 Replies
2K Views
Wanajamvini mimi ni mwanaume nemerudi baada ya miaka mingi na natafuta mchumba ambaye baadae atakua mke. Sifa ninazoziangalia. Awe mwislam. Asiwe mchaga. Mwembamba au mnene wastani. Urefu wa...
9 Reactions
41 Replies
2K Views
Habari Wana Jf, Mimi ni mwanamke wa miaka 32. Najitokeza kutafuta mwanaume matured kuanza naye mahusiano kuelekea ndoa. Nina amini mahusiano huanzia popote. Awe -Mkristo na awe na hofu ya...
19 Reactions
126 Replies
19K Views
Rafiki yangu anahitaji mume. SIFA ZA ANAYEMHITAJI; Awe mkristo Awe na Umri kuanzia miaka 43 na kuendelea. Asiwe mlevi. Awe na kazi kuajiriwa/ kujiajiri Asiwe na zaidi ya watoto 2. Mwenye uelewa...
6 Reactions
24 Replies
2K Views
JamiiForums habarizenu, Naitwa Hassan, natafuta mpenzi mwenye hekima, upendo, mwanamke na mcheshi.
8 Reactions
23 Replies
1K Views
Habari za mida wapendwa, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27 nipo Kigoma mjini natafuta Binti wa umri kati ya 22-25 ambaye badae tukikubalia nitamuoa
10 Reactions
34 Replies
2K Views
Wakuu Nmekuja kwenu kwa heshima kabisa, nmechoka upweke wa muda mrefu Natafuta mume sio mpenzi SIfa zangu 1. Mimi ni mrefu kiasi mweusi Sio mnene wala mwembamba Nafanya kazi na Nina kipato...
46 Reactions
301 Replies
11K Views
Habari rafiki, Kama kuna mwanaume anaependa kulewa au kunywa naomba awe rfk yangu, yaan napenda mwanaume mlevi sanaa napenda tu akilewa anavyoongea na anavyotukana yaan najisikia raha sanaa. Ni...
13 Reactions
147 Replies
3K Views
Natafuta mchumba anayemcha Mungu. Umri kuanzia mika 30 na kuendelea. Awe aliyejiajiri au kuajiriwa. Awe hajawahi kuolewa na kuachika. Au mjane. Elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea. Awe...
1 Reactions
2 Replies
737 Views
Hili ni jambo lenye thawabu kwa Mungu,tujitahidi kuwasaidia wanaotaka kuoana kwa kila hali.Fanya hivi: 1.Tengeneza orodha ya wanawake na wanaume ambao hawajaoa au kuolewa 2.Kila unaposikia kuna...
2 Reactions
2 Replies
370 Views
Rafiki yangu anatafuta Mwanamke mwenye sifa zifuatazo. Umri 18-34 Elimu, yoyote ilimradi awe anajua kusoma na kuandika lugha ya kiswahili vizuri , maana huyu jamaa ana Biashara fulani kubwa na...
7 Reactions
50 Replies
2K Views
Jamaani Nani ni kamanda wa kutoa love bite kwa wanawake? Kuna mtu anauliza love bite ni nini? Inapatikanaje? Unaitwa wewe mtaalamu
12 Reactions
132 Replies
5K Views
Nakuja mara ya pili Mimi ni kijana wa miaka 33 Kazi: Umachinga,Udereva na utalii Dini : Mkristo Mkazi : Arusha Kabila : Mchagga Elimu : Diploma Vigezo vya mchumba Awe zaidi ya 23 Na isiyozidi 29...
1 Reactions
9 Replies
544 Views
Back
Top Bottom