Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Mazee
2 Reactions
3 Replies
241 Views
Ninahitaji mtu aliye Magugu,Manyara Akiwa anajishughulisha na mchele au mpunga itakuwa Aulaa Zaidi 0744883353
4 Reactions
16 Replies
770 Views
Una kila sababu na kupata umpendao... Pata wanawake wa mataifa mbalimbali na ongeza furaha hapa...
7 Reactions
80 Replies
2K Views
Wasalaam wanajamvi, Kama kichwa Cha habari kisemavyo,nimejitokeza kuiutafuta mwanaume aliye na uhitaji wa mke.Uwe na umri kuanzia miaka 35, mkristo, mkweli na muwazi. Tafadhali nitumie ujumbe...
9 Reactions
19 Replies
1K Views
Hello Guy's kama kichwa kinavyo someka Binti / Mwanamke aliye single anahitajika: Sifa za Mwanamke: - Mwenye: heshima, Nidhamu, Utii, Hekima, Uvumilivu. - Umri: Miaka 25 - 45 - Ukazi: Dar es...
6 Reactions
6 Replies
841 Views
Kama ilivyo hapo juu , natafuta chumba ambaye baadaye atakuwa Mke wangu. Mimi ni njasiriamali na miaka 50. Naishi Dar. Nimkristo mwenye hofu ya Mungu. Mchumba aliyetayari na anayejitambu...
2 Reactions
15 Replies
765 Views
Nina uhitaji wa mwanamke umri usiozidi miaka 30. Awe na uwezo wa kusimamia biashara, asiwe single Maza, nipo serious. Karibuni
6 Reactions
129 Replies
3K Views
  • Closed
Mimi ni mwanamke 35yrs, watoto wawili, elimu yangu degree. Natafuta mwenza wa maisha yaliyobaki duniani, nimekuwa mpweke kwa muda mrefu tangu nitengane na mwenza wangu ambaye tulishindwana. Ni...
49 Reactions
173 Replies
9K Views
Habari wanajamii, natumaini mnaendelea vyema. Mimi ni mwanamume mwenye umri wa miaka 38, naishi hapa Dar es Salaam. Natafuta mwenza wa maisha mwenye malengo ya dhati na uhusiano wa muda mrefu...
13 Reactions
95 Replies
4K Views
Nimegundua kuwa wanaume wenye sifa zifuatazo huwa na wivu wa kishenzi kwa wake/wapenzi zao (1), Wenye vibamia au ambao wanahisi kutowaridhisha wapenzi zao wawapo sita kwa sita (2) Ambao hawatoi...
1 Reactions
19 Replies
5K Views
Habari rafiki, kama kuna mwanaume anaevurugwa au kuteswa na mapenzi naomba usipate stress, njoo tuwe marafiki usilewe kupita kiasi utapata stress utadata buree, njoo rafiki tubadilishane mawazo...
4 Reactions
17 Replies
989 Views
Habari ,natafuta mke wakuoa awe na sifa zifuatazo. 1: Awe na elimu Kwanzia kidato cha 4 na kuendelea, 2: Awe anajitambua 3: Awe anaweza kuongea kiingereza 4: Awe anajua kupika na msafi 5...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari, Naomba niwatake wale wote wanaidhani mimi siyo muoaji au nipo hapa kupiga watu na kitu kizito kwa kulinganisha technical and fundamental analysisi ya trend za nyuzi zangu humu JF...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Nimekuwa nikilitafakari jambo hili kwa muda sasa kuhusu ni nini maana ya kweli linapokuja suala la kumpata mwenza wa maisha. Sio kuhusu uzuri, umri, au mambo ya muda mfupi. Ni kuhusu kujenga kitu...
5 Reactions
13 Replies
1K Views
Habari, jina langu halisi ni Baraka, nina miaka 39. Kwa sasa, niko katika hali ngumu maishani. Sina makazi wala mali, na bado najitahidi kujenga maisha yangu upya. Hata hivyo, nina imani kwamba...
11 Reactions
33 Replies
2K Views
Wasalam vijana na wazee wa JamiiForums mie naitwa Fetty sio muislamu lakini nimwanadada ninayetafuta humu mwenzi wakutulia naye tena awe Mkristo mwenye uhitaji wa mke. Asiwe mdogo sana au mzee...
14 Reactions
228 Replies
14K Views
NIMEYAPEZA MAPENZI 1 Kumbatio la mwandani Nilalapo mapajani Niwe juu yeye chini Nimeyapeza mapenzi 2 Kudeka anidekeze Siri nizimueleze Sauti ailegeze Nimeyapeza mapenzi 3 Kwa ufundi...
0 Reactions
7 Replies
492 Views
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29 Naishi Morogoro Dini mkristo Kazi ni mwalimu Mke awe na sifa hizi; Mrefu kiasi Awe na kazi sio golikipa Miaka 20_27 Awe na tabia njema Ukiwa na sifa hizo...
1 Reactions
10 Replies
936 Views
Mimi ni kijana wa kiislamu nina miaka 35 nahitaji mke pia mimi ni mweusi nafanya kazi serikali . Mke ninayemuhitaji awe muislamu kazi sio muhimu awe mweupe na asiwe na mtoto miaka isizidi 30 pia...
1 Reactions
1 Replies
344 Views
Awe muislam . Awe anajua dini . Apende kusali, Awe anajali na awe ametulia . Awe mrefu wastani. Elimu awe nayo awe anajua lugha ya kingereza kaka yangu anakijua vyema . AWe anajisitiri . AWe...
2 Reactions
8 Replies
663 Views
Back
Top Bottom