Natafuta mme wa kunioa

Calm down kwanza lea mtoto wako akue my friend miezi 6 bado mdogo na pia hauna muda tangia umeachana na huyo baba mtoto wako

Humu utapata wanaume watakao kupa Stress hadi ujutie uamuzi wako hawato kuacha salama humu wanacho tanguliza ni kula dodo tuu alale mbele tena una mtoto mdogo hivyo komaa nae kwanza mtoto asije kuwa fundi viatu

Pia umri wako miaka 23 bado sana jipange uta vuka tuu hiyo mitihani na majaribu una pitia kila kitu kina pita hakuna kita baki milele
 
Calm down kwanza lea mtoto wako akue my friend miezi 6 bado mdogo na pia hauna muda tangia umeachana na huyo baba mtoto wako

Humu utapata wanaume watakao kupa Stress hadi ujutie uamuzi wako hawato kuacha salama humu wanacho tanguliza ni kula dodo tuu alale mbele tena una mtoto mdogo hivyo komaa nae kwanza mtoto asije kuwa fundi viatu

Pia umri wako miaka 23 bado sana jipange uta vuka tuu hiyo mitihani na majaribu una pitia kila kitu kina pita hakuna kita baki milele
Ushauri mzuri, kama upo serious na maisha yako uzingatie na kuufanyia kazi. Ukiupuuza utaujutia.
 
Calm down kwanza lea mtoto wako akue my friend miezi 6 bado mdogo na pia hauna muda tangia umeachana na huyo baba mtoto wako

Humu utapata wanaume watakao kupa Stress hadi ujutie uamuzi wako hawato kuacha salama humu wanacho tanguliza ni kula dodo tuu alale mbele tena una mtoto mdogo hivyo komaa nae kwanza mtoto asije kuwa fundi viatu

Pia umri wako miaka 23 bado sana jipange uta vuka tuu hiyo mitihani na majaribu una pitia kila kitu kina pita hakuna kita baki milele
Shukran mpendwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom