Aisee!Njoo Pm
Wanazengo mnaanzaAisee!
Mchukue Wema nadhani atakufaaMimi ni kinaja wa miaka 29 naishi arusha tz najishuhulisha na kazi za kitalii sasa naitaji mwanamke mwenye umri wa kuanzi miaka 18 hadi 26 na nipo siriasi kwelikweli na alie tayari unaweza nifata PM tukapeana muongozo asanten
Ayo yote nitamwambia yeye atakapo fika pm sasa nikiaza kujiweka kila kitu uwenda nikawapoteza wengi au wakaja wengi kwasababu ya maelezo yangu /naitaji mkeSidhani kama hii ni sehemu sahihi kwa kutafuta mtu huyo alafu umeandika kwa Ku generalize sana kitu ambacho kinatia MASHAKA
Kama kweli ulikuwa upo Serious lazima ungeweka vigezo vya umuhimu kama Dini ,Rangi,Nasaba ,uzuri walau vigezo ambavyo vitaonyesha una muelekeo wa kutafuta mtu fulani
Nawapenda sana wambulu hawanaga mambo za kubana wapo very charitable.Mbona arusha kuna madem wengi...tena wambulu pale mto wa mbu hawakataagi
Njoo Pm
kwani wewe unataka anaependa kulima?Vigezo na mashart ndoo awana wanapenda sana ngono
Dah.... wanaume tuko tofauti Sana...Vigezo na mashart ndoo awana wanapenda sana ngono