Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Ni mmarangu,umri 36,ana mtoto wa kike anasoma darasa la 7,anafanya kazi wizara ya mambo ya ndani,dodoma na ni mkkkt.Anatafuta mwenza ambae watakubaliana kuishi pamoja na kupata watoto,na...
12 Reactions
44 Replies
2K Views
Namtafuta mdada ambae. Tutakua nae kwenye mahusiano ya long distance. Mimi ntakua namtimizia mahitaji yake, (pesa) Nae atakua natimiza mahitaji yangu Chart, calls, video calls Kigezo : awe na...
17 Reactions
180 Replies
6K Views
Habari wanawake wote wa humu JF na pia hongereni kwa upambanaji wa kujitafutia mkate wa kila siku. Mada: Natafuta mwanamke wa kuoa awe mwanamke mwenye uhitaji wa kweli na mwenye nia ya kujenga...
5 Reactions
21 Replies
2K Views
Wakuu nahitaji kuoa mwanamke wa kimasai ,au mmangati naona wabantu wezangu wamenishinda.mahari naweza afford ngombe kumi.nawasilisha.
9 Reactions
57 Replies
2K Views
Umri 23-30, uwe Mkristo wa dhehebu lolote, uwe wa kabila lolote ili mradi unaishi Mwanza, elimu kuanzia kidato cha 4 na kuendelea, usiwe mnene sana wala mwembamba sana, uwe mweupe au maji ya kunde...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
nahitaji mwana mke awe mwanza umri 30-42 akiwa na mtoto haina shida ila asizidi 1 .. naishi nyegezi nina miaka 43 na mtoto mmoja ... aliye tayari ani pm tuyajenge
1 Reactions
2 Replies
335 Views
LEO ULIJUE HILI Tofauti Sahihi (Kibiashara): 1. New Phone (Mpya Kabisa) Haijawahi kutumika. Imefungwa (sealed) moja kwa moja kutoka kiwandani. Inakuja na warranty ya kiwandani. Hii ndiyo aina...
9 Reactions
72 Replies
2K Views
Naitaji mchumba umri Miaka 26-33 ili awe mke aliye tayari anicheck PM.
0 Reactions
0 Replies
307 Views
  • Poll Poll
Mimi ni kijana wa miaka 28. Nmeajiriwa sekta binafsi , kipato changu ni 400,000 kwa mwezi natafuta mwanamke wa kuoa kuanzia miaka 17 hadi 24 awe mzuri wa sura , awe rangi yoyote, asiwe na mtoto...
2 Reactions
11 Replies
671 Views
Habarini za sasa. Mvua dar zinaendelea kupiga mfululizo hazikati na ndio zimenipa shauku ya kuandika huu walaka. Akili_ninazo ni kidume mrefu wembamba kwa umbo, nipo singo na nina ugwaduu wa...
12 Reactions
212 Replies
6K Views
Jambo la msingi ni hilo Yani mimi niko Sealed kama Box la sigara, halafu wewe nikukute Uko Open High way ya Mfugale.. Njoo tufunguane kama Champaigne😂😂
10 Reactions
15 Replies
523 Views
Wanawake huwa tunatongozwa, ila tu niseme ukweli hata sisi tunavigezo vyetu ambapo familia huwa inaanza kutufundisha pindi tunapo balehe. Bila hivyo vigezo, inakuwa kazi sana, na ndio unajikuta...
22 Reactions
90 Replies
4K Views
Ni dada wa miaka 45 Nimepanga Sijaolewa Ni mfanyabiashara ndogondogo Niko jijini Dar Es Salaam Nitashukuru sana.
11 Reactions
136 Replies
4K Views
I’m 31 male born and raised in Dar, but soon relocating to Arusha. I hold a university degree, used to be employed, now I run my own hustle and it’s going well (i eat three meals a day...
5 Reactions
27 Replies
2K Views
Uwe mrefu flani hivi, shep ya ki model mwenye nyama, rangi yoyote, kabila lolote, dini mkristo uwe mkoa wowote ila tutaishi dar, kama umebahatika kupata mtoto naomba isiwe zaidi ya mmoja, miaka...
2 Reactions
12 Replies
809 Views
Habari wapendwa Naishi Vikindu Pwani Umri 35 Nahitaji mwenza wa maisha Awe na umri 25-35 Ambae yupo tayari kutafuta wote maisha tuwe na familia Km yupo anicheki DM
3 Reactions
20 Replies
966 Views
Habari wapendwa Naishi Vikindu Pwani Umri 35 Nahitaji mwenza wa maisha Awe na umri 25-35 Ambae yupo tayari tuwe na familia Km yupo anicheki DM Au Whatsapp kwa namba 0694599179.
0 Reactions
3 Replies
329 Views
Kwanza naomba kuuliza ivi watu wanaotafuta wenza humu mnawapata kweli? Leten mirejesho tujue maana mtu akipost kutafuta mwenza naona comment ni za kukatisha tamaa haswa ma single mama Kwan mtu...
1 Reactions
9 Replies
603 Views
Hello, How are you guys, kama kichwa cha habari kilivyo jieleza, mimi ni mwanaume mwenye sifa zifuatazo 1. Mrefu mweusi 2. Umri wangu 30 3. Graduate, Christian 4. Muajiliwa/ nimejiajiri pia...
3 Reactions
50 Replies
2K Views
Assalaam Alaykum Warahmatullah Wabarakatuh. Kwa jina naitwa Aziza Ramadhan, nahitaji mume mtu mzima ambaye anajua wajibu na majukumu yake, miaka 40-75. Niko serious kabisa kwa hili. Kwa maongezi...
12 Reactions
89 Replies
3K Views
Back
Top Bottom