Mwili wa Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya Raila Odinga ukiwa ukiagwa Bungeni kabla ya kuhamishiwa katika Uwanja wa Nyayo kwa Ibada ya Mazishi ya Kitaifa
Soma pia
TANZIA - Raila Amolo...
Shirika la Ndege la Kitaifa, Kenya Airways, limeongeza idadi ya safari zake kuelekea Kisumu wikiendi hii ili kukidhi ongezeko kubwa la mahitaji ya usafiri uliopo kwa sasa
Rais William Ruto ametia saini Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Matumizi Mabaya ya Kompyuta na Uhalifu wa Mtandaoni wa mwaka 2024, unaoiruhusu serikali kuondoa au kufunga maudhui ya mtandaoni...
kitabu not yet uhuru kilichapishwa mwaka 1967 kikiandikwa na jaramogi oginga odinga, baba yake raila odinga. ni wasifu unaoeleza safari ya kisiasa ya kenya kuelekea uhuru na changamoto zilizofuata...
Umati wa watu ukielekea katika Uwanja wa Jomo Kenyatta mjini Mamboleo kutoa heshima zao za mwisho kwa marehemu Waziri Mkuu wa zamani na kiongozi mahiri wa demokrasia Kenya, Raila Amolo Odinga...
Mwili wa Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya Raila Amolo Odinga ukiwasli uwanja wa ndege Kisumu, ambapo baadae utafikishwa katika uwanja wa Jomo Kenyatta, Mamboleo
Serikali ya Kenya imetangaza Ijumaa, Oktoba 17, 2025 kuwa sikukuu ya umma kwa heshima ya aliyekuwa Waziri Mkuu, Raila Odinga, aliyefariki dunia Oktoba 15, 2025 akipatiwa matibabu nchini India...
Raila Amolo Odinga alizaliwa tarehe 7 Januari, 1945. Raila Amolo Odinga ni kiongozi wa mfano katika ukanda wa Afrika Mashariki na bara la Afrika kwa ujumla.
Ulale salama "Baba" haya ni miongoni...
You can now be summoned to appear in court through SMS or WhatsApp message as the Judiciary reviews its operations to keep up with technology.
This is after changes in the rules that govern how...
Lake Natron Tanzania
Mt Kilimanjaro (from Kilimanjaro West/Mkomazi /Arusha National Parks Tanzania
Oldonyo Lengai Mt (Mt of God for Massais in EA) spitting fire Tanzania
Thanda Private...
Mbunge wa Jimbo la Kibra, Peter Ochieng Orero, aliyeteuliwa kupitia uchaguzi mkuu wa Agosti 2022, alinaswa Oktoba 9, 2025 katika kisa cha mvutano barabarani na mwandishi wa habari wa CNN kutoka...
China na nchi za Afrika zimekuwa na ushirikiano katika sekta mbalimbali ikiwemo biashara na uchumi, kilimo, afya, ujenzi wa miradi mikubwa ya miundombinu, na elimu. Pia pande hizo mbili zimekuwa...
Kutokana na watu wa tabaka la kati nchini China kuendelea kuwa na mapato ya ziada wanavyoweza kutumia kwenye mambo ya burudani, utamaduni na utalii, wigo wa furaha yao unaendelea kupanuka kutoka...
Makundi ya kiraia nchini Kenya pamoja na ndugu wa wanaharakati wawili waliopotea nchini Uganda wametaka wale wanaowashikilia kuwaachia huru.
Bon Njagi na Nicholas Oyoo walitekwa nyara na vikosi...
Wanaharakati wawili kutoka Kenya, Bob Njagi na Nicholas Oyoo, walidaiwa kutekwa nyara Oktoba 1, 2025 mchana na wanaume wanne wenye silaha wanaoaminika kuwa maafisa wa usalama. Wawili hao walikuwa...
Raia wa Tanzania ambaye ni mtoto alikamatwa Kenya na umma maeneo ya Pangani Nairobi kwa kujifanya ombaomba huku miguu yake ikiwa shwari.
Hii ni baada ya umma kunugunika kuhusu uongezekaji wa raia...
Lango kuu lenye shughuli nyingi zaidi Afrika Mashariki, Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta, upo katikati ya kashfa ya kimataifa ya dawa za kulevya. Kitengo cha uchunguzi cha KTN...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.