Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

On JF:

Mwili wa Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya Raila Odinga ukiwa ukiagwa Bungeni kabla ya kuhamishiwa katika Uwanja wa Nyayo kwa Ibada ya Mazishi ya Kitaifa Soma pia TANZIA - Raila Amolo...
3 Reactions
4 Replies
329 Views
Shirika la Ndege la Kitaifa, Kenya Airways, limeongeza idadi ya safari zake kuelekea Kisumu wikiendi hii ili kukidhi ongezeko kubwa la mahitaji ya usafiri uliopo kwa sasa
1 Reactions
2 Replies
229 Views
Rais William Ruto ametia saini Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Matumizi Mabaya ya Kompyuta na Uhalifu wa Mtandaoni wa mwaka 2024, unaoiruhusu serikali kuondoa au kufunga maudhui ya mtandaoni...
1 Reactions
6 Replies
352 Views
GT. Huyu jamaa alikuwa smart sana na wala hakuwa na mbwembwe. He was slow but sure. Kama siyo mambo.ya ukabila huyu jamaa alipaswa kuwa Rais wa kenya.
4 Reactions
7 Replies
294 Views
kitabu not yet uhuru kilichapishwa mwaka 1967 kikiandikwa na jaramogi oginga odinga, baba yake raila odinga. ni wasifu unaoeleza safari ya kisiasa ya kenya kuelekea uhuru na changamoto zilizofuata...
1 Reactions
1 Replies
179 Views
Umati wa watu ukielekea katika Uwanja wa Jomo Kenyatta mjini Mamboleo kutoa heshima zao za mwisho kwa marehemu Waziri Mkuu wa zamani na kiongozi mahiri wa demokrasia Kenya, Raila Amolo Odinga...
1 Reactions
4 Replies
213 Views
Mwili wa Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya Raila Amolo Odinga ukiwasli uwanja wa ndege Kisumu, ambapo baadae utafikishwa katika uwanja wa Jomo Kenyatta, Mamboleo
2 Reactions
1 Replies
159 Views
Mapenzi haya sijawahi ona katika maisha yangu! Huyu alipendwa na 99% ya wakenya. Mungu nipe uhai nione maziko ya hawa wetu!
0 Reactions
5 Replies
251 Views
Serikali ya Kenya imetangaza Ijumaa, Oktoba 17, 2025 kuwa sikukuu ya umma kwa heshima ya aliyekuwa Waziri Mkuu, Raila Odinga, aliyefariki dunia Oktoba 15, 2025 akipatiwa matibabu nchini India...
1 Reactions
3 Replies
205 Views
http://youtu.be/Xv2a8jSDALQ
3 Reactions
22 Replies
3K Views
Raila Amolo Odinga alizaliwa tarehe 7 Januari, 1945. Raila Amolo Odinga ni kiongozi wa mfano katika ukanda wa Afrika Mashariki na bara la Afrika kwa ujumla. Ulale salama "Baba" haya ni miongoni...
1 Reactions
3 Replies
204 Views
You can now be summoned to appear in court through SMS or WhatsApp message as the Judiciary reviews its operations to keep up with technology. This is after changes in the rules that govern how...
1 Reactions
4 Replies
743 Views
Lake Natron Tanzania Mt Kilimanjaro (from Kilimanjaro West/Mkomazi /Arusha National Parks Tanzania Oldonyo Lengai Mt (Mt of God for Massais in EA) spitting fire Tanzania Thanda Private...
26 Reactions
2K Replies
250K Views
Mbunge wa Jimbo la Kibra, Peter Ochieng Orero, aliyeteuliwa kupitia uchaguzi mkuu wa Agosti 2022, alinaswa Oktoba 9, 2025 katika kisa cha mvutano barabarani na mwandishi wa habari wa CNN kutoka...
0 Reactions
0 Replies
171 Views
China na nchi za Afrika zimekuwa na ushirikiano katika sekta mbalimbali ikiwemo biashara na uchumi, kilimo, afya, ujenzi wa miradi mikubwa ya miundombinu, na elimu. Pia pande hizo mbili zimekuwa...
1 Reactions
0 Replies
206 Views
Kutokana na watu wa tabaka la kati nchini China kuendelea kuwa na mapato ya ziada wanavyoweza kutumia kwenye mambo ya burudani, utamaduni na utalii, wigo wa furaha yao unaendelea kupanuka kutoka...
0 Reactions
0 Replies
126 Views
Makundi ya kiraia nchini Kenya pamoja na ndugu wa wanaharakati wawili waliopotea nchini Uganda wametaka wale wanaowashikilia kuwaachia huru. Bon Njagi na Nicholas Oyoo walitekwa nyara na vikosi...
0 Reactions
0 Replies
127 Views
Wanaharakati wawili kutoka Kenya, Bob Njagi na Nicholas Oyoo, walidaiwa kutekwa nyara Oktoba 1, 2025 mchana na wanaume wanne wenye silaha wanaoaminika kuwa maafisa wa usalama. Wawili hao walikuwa...
1 Reactions
4 Replies
207 Views
Raia wa Tanzania ambaye ni mtoto alikamatwa Kenya na umma maeneo ya Pangani Nairobi kwa kujifanya ombaomba huku miguu yake ikiwa shwari. Hii ni baada ya umma kunugunika kuhusu uongezekaji wa raia...
2 Reactions
4 Replies
252 Views
Lango kuu lenye shughuli nyingi zaidi Afrika Mashariki, Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta, upo katikati ya kashfa ya kimataifa ya dawa za kulevya. Kitengo cha uchunguzi cha KTN...
0 Reactions
0 Replies
142 Views
Back
Top Bottom