Familia moja katika mtaa wa Huruma jijini Nairobi imejikuta katika majonzi makubwa kufuatia kuuawa kwa ndugu yao, John Okoth Ogutu, raia wa Kenya mwenye umri wa miaka 33, aliyeuawa wakati wa...
Afisa mmoja wa Kikosi cha GSU aliyeambatana na msafara wa ulinzi wa Gavana wa Kakamega, Fernandes Barasa, amethibitisha kupoteza bastola yake wakati wa mazishi ya Waziri Mkuu wa zamani, Raila...
Waziri Mkuu wa zamani, marehemu Raila Odinga, ametunukiwa Nishani ya Juu Zaidi ya Heshima Nchini Kenya — Chief of the Order of the Golden Heart (C.G.H), heshima ambayo ni ya juu kuliko zote nchini...
John Chebochok, afisa wa mashamba ya chai ambaye alihusishwa pakubwa katika makala ya BBC iliyoangazia unyanyasaji wa kingono katika mashamba ya chai eneo la Kericho, anaripotiwa kujiandaa...
Tume ya Kitaifa ya Uwiani na Maridhiano nchini Kenya (NCIC) imemtaka Gavana wa Nyeri, Mutahi Kahiga, kutoa maelezo rasmi kuhusu kauli zake zilizozua utata kuhusu kifo cha aliyekuwa kinara wa ODM...
Raila Odinga (RAO) afariki dunia huko India. Amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 80.
R.I.P Papa.
Utangulizi
Raila Amolo Odinga ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri zaidi katika historia ya Kenya...
Viongozi mbalimbali wakiongozwa na Rais wa Kenya Dr. William Ruto
https://www.youtube.com/watch?v=YT87RClirPI
Miongoni mwa Waliohudhuria mazishi ni
Rais wa Kenya - Samweli Ruto
Naibu Rais Kenya...
Mwili wa aliyekuwa Waziri Mkuu wa Kenya, Raila Odinga kwa sasa umefika katika uwanja wa michezo wa Kasarani kwa ajili ya kuagwa.
Maafisa wa jeshi wamelazimika kufyatua risasi angani ili...
" I was with him when he took his last breath. He died in my arms, but not in the way people have been saying on social media. He passed away strong, with dignity and pride. You should be proud of...
Leo Oktoba 17, 2025, hafla ya kuuaga mwili wa Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya, Raila Amolo Odinga, inaendelea katika Uwanja wa Nyayo, ikihudhuriwa na Rais William Ruto, viongozi mbalimbali, familia...
Mwili wa Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya Raila Odinga ukiwa ukiagwa Bungeni kabla ya kuhamishiwa katika Uwanja wa Nyayo kwa Ibada ya Mazishi ya Kitaifa
Soma pia
TANZIA - Raila Amolo...
Shirika la Ndege la Kitaifa, Kenya Airways, limeongeza idadi ya safari zake kuelekea Kisumu wikiendi hii ili kukidhi ongezeko kubwa la mahitaji ya usafiri uliopo kwa sasa
Rais William Ruto ametia saini Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Matumizi Mabaya ya Kompyuta na Uhalifu wa Mtandaoni wa mwaka 2024, unaoiruhusu serikali kuondoa au kufunga maudhui ya mtandaoni...
kitabu not yet uhuru kilichapishwa mwaka 1967 kikiandikwa na jaramogi oginga odinga, baba yake raila odinga. ni wasifu unaoeleza safari ya kisiasa ya kenya kuelekea uhuru na changamoto zilizofuata...
Umati wa watu ukielekea katika Uwanja wa Jomo Kenyatta mjini Mamboleo kutoa heshima zao za mwisho kwa marehemu Waziri Mkuu wa zamani na kiongozi mahiri wa demokrasia Kenya, Raila Amolo Odinga...
Mwili wa Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya Raila Amolo Odinga ukiwasli uwanja wa ndege Kisumu, ambapo baadae utafikishwa katika uwanja wa Jomo Kenyatta, Mamboleo
Serikali ya Kenya imetangaza Ijumaa, Oktoba 17, 2025 kuwa sikukuu ya umma kwa heshima ya aliyekuwa Waziri Mkuu, Raila Odinga, aliyefariki dunia Oktoba 15, 2025 akipatiwa matibabu nchini India...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.