Baada ya mazungumzo yaliyofanyika Harambee House, transport operators wamekubali kusimamisha nationwide strike kwa muda wa siku saba ili kuipa serikali nafasi ya kufanya consultations zaidi kuhusu fuel prices na changamoto zinazokumba sekta ya usafiri.
Meeting hiyo iliongozwa na Interior CS Kipchumba Murkomen pamoja na Energy CS Opiyo Wandayi baada ya strike kuanza kuathiri usafiri katika maeneo mbalimbali nchini.
Operators walikuwa wakipinga kupanda kwa bei ya diesel na petrol wakisema imeongeza gharama za biashara na kuumiza commuters. Kwa sasa, huduma za usafiri zinatarajiwa kurejea kawaida huku talks zikiendelea kwa siku saba zijazo.
Wananchi wengi sasa wanasubiri kuona kama discussions hizo zitaleta afueni kwa fuel prices na matatu fares ambazo zimekuwa mzigo mkubwa kwa common mwananchi.
Meeting hiyo iliongozwa na Interior CS Kipchumba Murkomen pamoja na Energy CS Opiyo Wandayi baada ya strike kuanza kuathiri usafiri katika maeneo mbalimbali nchini.
Operators walikuwa wakipinga kupanda kwa bei ya diesel na petrol wakisema imeongeza gharama za biashara na kuumiza commuters. Kwa sasa, huduma za usafiri zinatarajiwa kurejea kawaida huku talks zikiendelea kwa siku saba zijazo.
Wananchi wengi sasa wanasubiri kuona kama discussions hizo zitaleta afueni kwa fuel prices na matatu fares ambazo zimekuwa mzigo mkubwa kwa common mwananchi.