Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

Mahakama Kuu ya Mombasa imetoa hukumu hiyo dhidi ya Happy Mwenda Mumba baada ya kumkuta na hatia ya kumtupa Mtoto wake mwenye umeri wa mwaka mmoja kwenye shimo ili asipate kikwazo wakati wa...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Hakuna Nchi Ina vituko kama Kenya --- David Nyawade kutoka nchini Kenya ameingia matatani baada ya kugundulika kuwa ameifanya kazi ya udaktari kwa zaidi ya miaka 16 huku akiwa hana taaluma ya...
2 Reactions
6 Replies
446 Views
A Maasai Mara tented camp, Mahali Mzuri, owned by British tycoon Sir Richard Branson has been ranked as the number one hotel in the world. The Travel + Leisure World’s Best Awards released on...
4 Reactions
7 Replies
1K Views
Wizara ya Mambo ya Nje imetoa orodha ya Washukiwa 35 wa Ugaidi wakiwemo raia wa Tanzania, Somalia, Ujerumani, Uingereza, Bangladesh na Wakenya ambao wanatafutwa na Serikali kutokana na kuhusishwa...
0 Reactions
5 Replies
760 Views
Wakati Naftal Obwoni alipokuwa shuleni, baba yake aliachishwa kazi bila taarifa, jambo lililosababisha kesi iliyochukua muda mrefu dhidi ya mwajiri wake. Obwoni alishuhudia kwa macho yake...
2 Reactions
1 Replies
450 Views
Mchungaji wa Kanisa la Neno nchini Kenya, James Ng’ang’a amewaacha watu wengi midomo wazi baada ya kutoa onyo kwa waumini wake waliohitimu shahada ya kwanza kuwa waache kuhudhuria kanisani hapo...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Hapo ndio Utajua kipawa ni zaidi ya hayo Makaratasi yenu. Mtu hajasomea sheria Wala hajahitimu Uwakili.lakini amewezesha kushinda kesi 26 Kwa niaba ya wateja wake,unamkamata wa nini? Nani fake...
4 Reactions
19 Replies
2K Views
Habarini ndugu zanguni! Nimearifiwa kuwa katika nchi za Afrika Mashariki, ni Kenya ndiyo inayoongoza kwa kufanya vizuri kwenye kilimo cha DRAGON na KIWI. Ninakusudia kujihusisha na kilimo cha...
3 Reactions
3 Replies
787 Views
Referendum iandaliwe na serikali kivuli ya dubwana kubwa Tanganyika lililojificha nyuma ya muungano wa hovyo kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwamba ni wakati sasa ardhi na eneo lote la...
5 Reactions
4 Replies
533 Views
Ndugu zangu Watanzania, Sasa nitaanza kueleweka naposema kila wakati humu jukwaani kuwa Rais samia anachapa kazi,anafanya kazi kwa ajili ya watanzania,anatubeba kisera katika kuhakikisha hatupati...
0 Reactions
12 Replies
541 Views
Baadhi ya maduka yameanza kukataa huduma ya malipo kwa njia ya simu ‘Lipa na Mpesa’ wakikwepa ada ya juu ya kuwezesha ununuzi. Matangazo yamebandikwa madukani yakizuia Wateja kulipia huduma kwa...
1 Reactions
9 Replies
972 Views
Mahakama nchini Kenya imehalalisha uagizaji na ukuzaji wa chakula cha GMO, hatua hii ikipuuzia kesi iliyowasilishwa na chama cha mawakili nchini humo. Katika uamuzi wake Mahakama ya Mazingira...
2 Reactions
2 Replies
455 Views
The United States Embassy in Nairobi has issued a security alert over suspected terror attacks in Nairobi and other parts of the country. In a statement on Friday, the Embassy urged its citizens...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
12 October 2023 London, England RAF jets intercept Kenya Airways flight diverted to Stansted Airport https://m.youtube.com/watch?v=IUxvYYaUO6M A large emergency response is underway at Stansted...
0 Reactions
1 Replies
581 Views
Kitabu cha kufundishia habari za uislamu cha darasa la pili nchini Kenya imebidi kuondolewa kwenye muhtasari baada ya wazazi kukishtukia kikimtusi Mtume Muhammad s.a.w. Katika kitabu hicho kuna...
0 Reactions
5 Replies
765 Views
Rais wa Kenya William Ruto ameidhinisha Muswada wa Ubinafsishaji wa mwaka 2023 ambao sasa umekuwa Sheria ukilenga kuondoa urasimu katika Ubinafsishaji wa Mashirika ya Serikali yasiyo ya Kimkakati...
0 Reactions
2 Replies
664 Views
Mamlaka ya Taifa ya Uchukuzi na Usalama (NTSA) imechukua hatua hiyo dhdi ya kamouni ya 'Bolt' kutokana na madai ya Ukiukwaji wa Kanuni za Leseni, ikiwa ni pamoja na Malipo Yasiyostahili kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa mujibu wa Tume ya Maadili na Kupambana na Rushwa (EACC), maafisa waliokamatwa akiwemo Inspekta wa Polisi walikuwa wakiomba Rushwa kutoka kwa Madereva katika Barabara Kuu ya Thinka - Garissa...
0 Reactions
1 Replies
677 Views
Makamu wa Rais wa Kenya bwana Rigachi amewataka Wanandoa wa Nchi hiyo kuzaa Watoto walau wasiopungua 8 Kwa Kila familia ili kukuza uchumi wa Nchi yake. Amesema yeye anajilaumu kuwa na Watoto 2...
0 Reactions
5 Replies
728 Views
Media za Kenya kwenye technology ya urushaji matangazo wako vizuri wametuacha mbali sana. Jamaa wako vizuri, presenters wako vizuri, na wanajua wanachorusha hewani. Kwa mfano jana ilikuwa siku...
13 Reactions
18 Replies
2K Views
Back
Top Bottom