Mahakama Kuu ya Mombasa imetoa hukumu hiyo dhidi ya Happy Mwenda Mumba baada ya kumkuta na hatia ya kumtupa Mtoto wake mwenye umeri wa mwaka mmoja kwenye shimo ili asipate kikwazo wakati wa...
Hakuna Nchi Ina vituko kama Kenya
---
David Nyawade kutoka nchini Kenya ameingia matatani baada ya kugundulika kuwa ameifanya kazi ya udaktari kwa zaidi ya miaka 16 huku akiwa hana taaluma ya...
A Maasai Mara tented camp, Mahali Mzuri, owned by British tycoon Sir Richard Branson has been ranked as the number one hotel in the world. The Travel + Leisure World’s Best Awards released on...
Wizara ya Mambo ya Nje imetoa orodha ya Washukiwa 35 wa Ugaidi wakiwemo raia wa Tanzania, Somalia, Ujerumani, Uingereza, Bangladesh na Wakenya ambao wanatafutwa na Serikali kutokana na kuhusishwa...
Wakati Naftal Obwoni alipokuwa shuleni, baba yake aliachishwa kazi bila taarifa, jambo lililosababisha kesi iliyochukua muda mrefu dhidi ya mwajiri wake. Obwoni alishuhudia kwa macho yake...
Mchungaji wa Kanisa la Neno nchini Kenya, James Ng’ang’a amewaacha watu wengi midomo wazi baada ya kutoa onyo kwa waumini wake waliohitimu shahada ya kwanza kuwa waache kuhudhuria kanisani hapo...
Hapo ndio Utajua kipawa ni zaidi ya hayo Makaratasi yenu.
Mtu hajasomea sheria Wala hajahitimu Uwakili.lakini amewezesha kushinda kesi 26 Kwa niaba ya wateja wake,unamkamata wa nini? Nani fake...
Habarini ndugu zanguni!
Nimearifiwa kuwa katika nchi za Afrika Mashariki, ni Kenya ndiyo inayoongoza kwa kufanya vizuri kwenye kilimo cha DRAGON na KIWI.
Ninakusudia kujihusisha na kilimo cha...
Referendum iandaliwe na serikali kivuli ya dubwana kubwa Tanganyika lililojificha nyuma ya muungano wa hovyo kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwamba ni wakati sasa ardhi na eneo lote la...
Ndugu zangu Watanzania,
Sasa nitaanza kueleweka naposema kila wakati humu jukwaani kuwa Rais samia anachapa kazi,anafanya kazi kwa ajili ya watanzania,anatubeba kisera katika kuhakikisha hatupati...
Baadhi ya maduka yameanza kukataa huduma ya malipo kwa njia ya simu ‘Lipa na Mpesa’ wakikwepa ada ya juu ya kuwezesha ununuzi.
Matangazo yamebandikwa madukani yakizuia Wateja kulipia huduma kwa...
Mahakama nchini Kenya imehalalisha uagizaji na ukuzaji wa chakula cha GMO, hatua hii ikipuuzia kesi iliyowasilishwa na chama cha mawakili nchini humo.
Katika uamuzi wake Mahakama ya Mazingira...
The United States Embassy in Nairobi has issued a security alert over suspected terror attacks in Nairobi and other parts of the country.
In a statement on Friday, the Embassy urged its citizens...
12 October 2023
London, England
RAF jets intercept Kenya Airways flight diverted to Stansted Airport
https://m.youtube.com/watch?v=IUxvYYaUO6M
A large emergency response is underway at Stansted...
Kitabu cha kufundishia habari za uislamu cha darasa la pili nchini Kenya imebidi kuondolewa kwenye muhtasari baada ya wazazi kukishtukia kikimtusi Mtume Muhammad s.a.w.
Katika kitabu hicho kuna...
Rais wa Kenya William Ruto ameidhinisha Muswada wa Ubinafsishaji wa mwaka 2023 ambao sasa umekuwa Sheria ukilenga kuondoa urasimu katika Ubinafsishaji wa Mashirika ya Serikali yasiyo ya Kimkakati...
Mamlaka ya Taifa ya Uchukuzi na Usalama (NTSA) imechukua hatua hiyo dhdi ya kamouni ya 'Bolt' kutokana na madai ya Ukiukwaji wa Kanuni za Leseni, ikiwa ni pamoja na Malipo Yasiyostahili kwa...
Kwa mujibu wa Tume ya Maadili na Kupambana na Rushwa (EACC), maafisa waliokamatwa akiwemo Inspekta wa Polisi walikuwa wakiomba Rushwa kutoka kwa Madereva katika Barabara Kuu ya Thinka - Garissa...
Makamu wa Rais wa Kenya bwana Rigachi amewataka Wanandoa wa Nchi hiyo kuzaa Watoto walau wasiopungua 8 Kwa Kila familia ili kukuza uchumi wa Nchi yake.
Amesema yeye anajilaumu kuwa na Watoto 2...
Media za Kenya kwenye technology ya urushaji matangazo wako vizuri wametuacha mbali sana. Jamaa wako vizuri, presenters wako vizuri, na wanajua wanachorusha hewani.
Kwa mfano jana ilikuwa siku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.