Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

On JF:

Rais wa Kenya William Ruto amesema kwamba utawala wake umekamilisha asilimia 80 ya kuweka huduma za serikali kidijitali. Akizungumza leo Jumatatu, Ruto amesema kuwa ana furaha sana na maendeleo...
0 Reactions
0 Replies
648 Views
Mkuu wa majeshi Kenya,alitaka azikwe bila jeneza na asicheleweshwe kuzikwa ili kupunguza gharama za mazishi,japo yeye ni mkristo.
5 Reactions
26 Replies
2K Views
Nairobi! Kijana wenu hapa, Naomba kujua huyu jamaa ni nani, biography yake na anafanya nini? Huyu alikua mfanyakazi wa safaricom na ndio father wa Mpesa miaka ya 2012, sema hajulikani na...
1 Reactions
1 Replies
467 Views
Minister Saitoti and Ass Minister Orwa Ojode Feared Dead in Helicopter Crash Internal Security assistant minister Orwa Ojode NAIROBI, Kenya: Four people have been killed after a police...
7 Reactions
632 Replies
108K Views
Rais William Ruto amempandisha cheo Francis Omondi Ogolla mpaka kwenye hadhi ya Luteni Jenerali na kumteua Moja kwa Moja kuwa mkuu mpya wa Majeshi ya Ulinzi ya Kenya. Jenerali Omondi anachukua...
2 Reactions
26 Replies
4K Views
Waziri wa Michezo Ababu Namwamba ameshutumiwa kwa Mara Kwa Mara Kuweka Picha Yake kwenye Vipeperushi rasmi ambavyo havimuhusu Mfano: Vinavyowapongeza Wanamichezo au kuhusu Wizara yake Katika...
0 Reactions
0 Replies
811 Views
Embu Wakenya tujulishe
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Mmmesikiaaaaa jirani anafanyaje bila uchawa Hongera sana Wiliam Rotu kwa kazi kubwa unayoifanya hapo Kenya nimesikia umechukuw hatua kushusha Bei ya nishat ya umeme na wananchi wamelipokea kwa...
1 Reactions
3 Replies
543 Views
Madaktari pamoja na Clinical Officer Kenya wamefanya maandamano Kushinikiza Serkali kusikiliza Madai yao na Kuboresha Stahiki zao pia.
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Kenya is deeply concerned by Iran's attack on the State of Israel. This disturbing development only serves to aggravate an already delicate situation in the Middle East. The attack represents a...
1 Reactions
10 Replies
880 Views
MPARD ( Mombasa Port Area Road Development) Project This comprises of; 1.Mombasa to Mariakani highway.( Lot 1 - Mombasa kwa Jomvu. Lot 2 - Kwa Jomvu to Mariakani 2.Mombasa Southern Bypass...
10 Reactions
19 Replies
3K Views
Hivi kwanini KENYA ni maarufu kuliko nchi nyingi sana Katika bara letu la AFRICA? Yani ni vitu gani.....vinaifanya KENYA..ijulikane sana Kuliko nchi nyingine nyingi za ukanda huu wa AFRICA...
15 Reactions
96 Replies
7K Views
Kampuni ya kutoa Mikopo kwa Njia ya Mtandao ya #WhitePathLTD, imepigwa faini ya Ksh. 495,614 sawa Tsh. Milioni 8.6 kwa madai ya kuingilia na kutumia taarifa binafsi za wateja kufuatilia wadeni...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Watu Wengi wamepigwa bumbuwazi ni hii kauli aliyoitoa mstaafu Kenyatta mbele ya Jopo la Maaskofu Kwamba Wasaliti ni Wengi Sana Mlale Unono 😀😀
5 Reactions
4 Replies
734 Views
Plans to convert trains into meeting rooms are at an advanced stage following a discussion between Kenya Railways Corporation (KRC) and Kenyatta International Conference Center (KICC). Speaking...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
Katibu wa Wizara ya Kilimo nchini Kenya, Dkt. Paul Rono, ameamuru kusitishwa kwa uuzaji wa mbolea aina ya NPK 10:26:10 inayotengenezwa na kampuni ya Ken Chemicals ya Thika. Katika barua yake kwa...
0 Reactions
3 Replies
938 Views
Shirika la ndege la taifa la Kenya, Kenya Airways, limeeleza kuwa limeandikisha faida ya uendeshaji mwaka wa 2023, faida yake ya kwanza katika miaka saba iliyopita. Kiwango cha bilioni 10.5 za...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Imagine hadi watu wanakufa kufikia 429 serikali haijui? Watu 429 sio wachache hii inamaanisha kuna watu wengi sana wanapotea na kufa pasipo serikali kujua. Swali linakuja kama intelligencia iko...
4 Reactions
10 Replies
905 Views
Ni mchungaji Paul Mackenzie wa nchini Kenya ambaye pia shambani Kwake walikutwa wamezikwa Waumini wake zaidi ya 400 Kinyume cha sheria --- Kenya court jails cult leader Mackenzie for one and half...
2 Reactions
27 Replies
3K Views
Mahakama kuu ya Kenya imetangaza kwamba kifungo cha maisha ni kinyume cha katiba na kimeelezwa kuwa ni hukumu isiyo na mantiki wala usawa. Kwa mujibu wa Jaji Justice Nixon Sifuna, kumpa mtu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom