Kenya nimefika sio kuzuri sana kama 🇨🇩 now nipo Italy kwenye baridi kaliiiIs it because
Uko Congo dr ama?
Pakishakua na madini papa Charles kilian anakua na uraia wa hyo sehemuIs it because
Uko Congo dr ama?
Kenya ilikuwa ni koloni la Waingereza ambalo walitaka kulifanya sehemu ya kuhamia.Hivi kwanini KENYA ni maarufu kuliko nchi nyingi sana
Katika bara letu la AFRICA?
Yani ni vitu gani.....vinaifanya KENYA..ijulikane sana
Kuliko nchi nyingine nyingi za ukanda huu wa AFRICA?
Sahau kuhusu the issue of WILDLIFE.
WHY KENYA?
plus ishu ya ObamaKwa East Africa wao ndio wana Diaspora community kubwa hii ni moja ya sabab kubwa
nakubali na wanajua sana biasharaKwanza chunguza katika nchi zote za jumuiya ya Africa mashariki ndio wapo juu kiuchumi. Ni watu wajanja sana kiuchumi.
Baelezee baambiePakishakua na madini papa Charles kilian anakua na uraia wa hyo sehemu
Kulingana na data za miaka ya nyuma kidogo, Kenya imekuwa ni ya pili baada ya Nigeria kwa nchi fisadi zaidi africa. Nje ya hili, mfumo wa elimu yao upo vzuri kupitiliza maelezo. So watahiniwa wao wamekuwa wakiperform extremely excellent katika nyadhifa yeyote wataksyopata fursa ya kushirikiHivi kwanini KENYA ni maarufu kuliko nchi nyingi sana
Katika bara letu la AFRICA?
Yani ni vitu gani.....vinaifanya KENYA..ijulikane sana
Kuliko nchi nyingine nyingi za ukanda huu wa AFRICA?
Sahau kuhusu the issue of WILDLIFE.
WHY KENYA?
Hawajakuambia kuzuri ni maarufu yaani inasifa bora na kujulikana sana kuliko nchi nyingne africaKenya nimefika sio kuzuri sana kama now nipo Italy kwenye baridi kaliii