Kwanini Kenya ni maarufu kuliko nchi nyingi za Afrika

Fakyuol

Senior Member
Nov 26, 2023
142
311
Hivi kwanini KENYA ni maarufu kuliko nchi nyingi sana

Katika bara letu la AFRICA?

Yani ni vitu gani.....vinaifanya KENYA..ijulikane sana

Kuliko nchi nyingine nyingi za ukanda huu wa AFRICA?

Sahau kuhusu the issue of WILDLIFE.

WHY KENYA?
 
Hivi kwanini KENYA ni maarufu kuliko nchi nyingi sana

Katika bara letu la AFRICA?

Yani ni vitu gani.....vinaifanya KENYA..ijulikane sana

Kuliko nchi nyingine nyingi za ukanda huu wa AFRICA?

Sahau kuhusu the issue of WILDLIFE.

WHY KENYA?
Kenya ilikuwa ni koloni la Waingereza ambalo walitaka kulifanya sehemu ya kuhamia.

Kama Australia ya Afrika.

Hivyo walianza kujipanga kuweka mambo kuhamia kabisa.

Tofauti na sehemu kama Tanganyika ambako hakukuwa koloni, ila Trusteeship /Mandate tu.

Hili likisababisha uchumi wa Kenya uwekwe imara kimfumo kama sehemu Waingereza walipotaka kuhamia. Tofauti na Tanganyika.

Pia, Wakenya walivyopata uhuru hawakujiingiza kwenye experiments za Ujamaa, walikwenda kwenye ubepari moja kwa moja. Imesaidia uchumi wao kuwa consistent.

Wakenya walianza kufunguka na kusafiri dunia nzima kutafuta fursa zamani kulinganisha na Tanzania.

Uchumi wa kibepari umewafanya Wakenya kuwa hustlers zaidi. Wakati watu wa Tanzania wamefungiwa kutoka nje na serikali ya kijamaa, mtu wa Tanzania kutafuta fursa kwenda nje ikionekana kukisa uzalendo, Wakenya walikuwa wanatafuta fursa kwenda nje.

Wakenya hawana jeuri kwenye kutafuta hela, ukija mzungu unawapa hela hata miguu watakulamba.

Ndiyo maana Mkenya akishajua kitu kitaongeza uchumi hana siasa nyingi. Ndiyo maana Kenya wameruhusu dual citizenship, sisi tunaleta figisu za kisiasa.

Watanzania maskini jeuri, wanaweza kufa kwa njaa, wakaambiwa hapa kuna hela jifunzeni Kiingereza tu mfanye kazi za Customer Service muwe wanyenyekevu tu, wakakataa.

Angalia vipaji vya riadha vile vile vilivyopo Kenya Tanzania vipo, ila mafanikio ya riadha Kenya ni tofautibkabisa na Tanzania.

Tanzania figisu za kisiasa nyingi sana. Kenya wenzetu wanapeana fursa na michongo.
 
japo nigeria ndo tech hub kubwa africa, ila inasemekana maendeleo ya tech yalianza kenya

m-pesa imeanza kutumika kenya africa nzima

serikali ya ke ndo ya kwanza duniani kutumia mobile money(hiyo m-pesa) kuuza goverment bonds

kenya kuna kikundi cha wataalam wa IT kikubwa tokea early 2010s huko, wametengeneza na wanatengeneza tech startups nyingi(japo nyingi zinakufa, zinakosa funding)
 
Hivi kwanini KENYA ni maarufu kuliko nchi nyingi sana

Katika bara letu la AFRICA?

Yani ni vitu gani.....vinaifanya KENYA..ijulikane sana

Kuliko nchi nyingine nyingi za ukanda huu wa AFRICA?

Sahau kuhusu the issue of WILDLIFE.

WHY KENYA?
Kulingana na data za miaka ya nyuma kidogo, Kenya imekuwa ni ya pili baada ya Nigeria kwa nchi fisadi zaidi africa. Nje ya hili, mfumo wa elimu yao upo vzuri kupitiliza maelezo. So watahiniwa wao wamekuwa wakiperform extremely excellent katika nyadhifa yeyote wataksyopata fursa ya kushiriki
 
Chanzo cha umaarufu in a good way
1. Tourism
2. Cultural Heritage-The vibrant and colorful Maasai
3. Sporting Achievements-Kenyan athletes
4. Innovation and Technology-MPESA, Nairobi-the capital city is known as the "Silicon Savannah"
5. Film-Lupita Nyongo.

Chanzo cha umaarufu in a bad way
1. Corruption
2. Political Instability
3. Security Concerns-close to Somali border
4. Inequality and Poverty
5. Tribalism
 
Kenya is renowned in Africa for its diverse landscapes, including the iconic Maasai Mara National Reserve and Mount Kenya. It's also recognized for its rich wildlife, featuring the "Big Five" – lions, elephants, rhinos, leopards, and buffaloes. Additionally, Kenya is known for its vibrant culture, Swahili language, and as a hub for safari tourism. The country's capital, Nairobi, serves as a major economic and political center in East Africa.
 
Back
Top Bottom