Niliyojifunza kutoka ujenzi wa nyumba yangu ya kwanza

Maleven

JF-Expert Member
Sep 8, 2019
624
2,772
Binafsi naamini sana kuwa na sehemu yako ya kuishi bila bugudha ya kodi wala maudhi ya wapangaji wengine.

Mambo machacho kuhusu mimi

1. Niko under 30
2. Kipato changu ni kati ya 500k - 550 k kwa mwezi

Baada ya kununua kiwanja، nilianza kununua maatofali kidogo kidogo.
Mambo niliojifunza

1. Anza kujenga na ulicho nacho, kwenye fungu ndio kwenye nyongeza, ukishaweka tofali kama kweli unania ya kugenga kichwa kitapata moto, Mungu atakufungulia

2. Msingi wa nyumba ndio kila kitu, nilipoanza kujenga nilikua na bajeti ndogo, ujenzi ulikuaa wa kimasikini kweli, matokeo yake, sasa nyumba imeisha ila msingi uko chini na kuna vitu ningetamani vingekuepo ila ndo nyumba ishamalizika, hili silijutii kwani ni funzo, hata hapa nilipofika sikutegemea kufika.

3. Hata kama fundi unamuamin, ni muhimu sana kuwepo wakati wa ujenzi, kuna makosa mengi ambayo yanaweza kutokea, kusimamia ujenzi sio kwa kuzuia uizi tu bali hapa usahihi wa nyumba unavyotaka iwe. Nyakati muhimu za kuwepo ni wakati wa kuset msingi wa nyumba, wakati wa kufunga mkanda wa nyumba, ukataji wa madirisha na milango, na kufunga lenta makosa mengi yanatokea hapa

4. Ujenzi hauna gharama kamili, kama ulipiga bajeti ya milioni 30, hakikiaha una milioni tano ya extra. Mengi yanatokea, ikiwemo vitu kupanda bei

5. Kuna muda utakua unajua kua fundi amekula hela ila hakuna jinsi, ikiwa hujui vifaa vya plumbing au umeme, chukua bei ya fundi, nenda madukani kaulizie, ukipata tofauti isio kubwa na ukiwa na uhakika wa kuletewa kitu original ambacho wewe unahofu ya kuuziwa fake , basi mpe tu fundi hela ( kwa wasio na uzoefu)

6. Siku unayomaliza kupaua ndio ujenzi unaanza, kati ya vitu ambayo ni kuhimu katika nyumba na vina gharama kubwa ni kama mfumo wa maji, umeme, milango ya mbao na grill, hivi vitu usivichukulie kirahisi kwenye budget, gharama zake hua ni M M tu.

7. Unapotaka jugenga aim for high, nilikua nimeingia mtego wa kutaka kujenga chumba kimoja na sebure, ila nilipoamua kujenga nyumba ya vyumba vitatu niliona kabisa kama ni kitu ambaacho hakiwezekani ila hatimae imewezekana, lesson- panga kwa kuangalia wewe unakua au unataka kua nani nani na si sasa hivi una hali gani.

Plan besed on who you want to be not who you are, by this utaepuka regret za kujenga kitu ambacho baadaae hukifurahii sana.
 
Binafsi naamini sana kuwa na sehemu yako ya kuishi bila bugudha ya kodi wala maudhi ya wapangaji wengine,
Mambo machacho kuhusu mimi
1. Niko under 30
2. Kipato changu ni kati ya 500k - 550 k kwa mwezi

Baada ya kununua kiwanja، nilianza kununua maatofali kidogo kidogo.
Mambo niliojifunza

1. Anza kujenga na ulicho nacho, kwenye fungu ndio kwenye nyongeza, ukishaweka tofali kama kweli unania ya kugenga kichwa kitapata moto, Mungu atakufungulia

2. Msingi wa nyumba ndio kila kitu, nilipoanza kujenga nilikua na bajeti ndogo, ujenzi ulikuaa wa kimasikini kweli, matokeo yake, sasa nyumba imeisha ila msingi uko chini na kuna vitu ningetamani vingekuepo ila ndo nyumba ishamalizika, hili silijutii kwani ni funzo, hata hapa nilipofika sikutegemea kufika.

3. Hata kama fundi unamuamin, ni muhimu sana kuwepo wakati wa ujenzi, kuna makosa mengi ambayo yanaweza kutokea, kusimamia ujenzi sio kwa kuzuia uizi tu bali hapa usahihi wa nyumba unavyotaka iwe. Nyakati muhimu za kuwepo ni wakati wa kuset msingi wa nyumba, wakati wa kufunga mkanda wa nyumba, ukataji wa madirisha na milango, na kufunga lenta makosa mengi yanatokea hapa

4. Ujenzi hauna gharama kamili, kama ulipiga bajeti ya milioni 30, hakikiaha una milioni tano ya extra. Mengi yanatokea, ikiwemo vitu kupanda bei

5. Kuna muda utakua unajua kua fundi amekula hela ila hakuna jinsi, ikiwa hujui vifaa vya plumbing au umeme, chukua bei ya fundi, nenda madukani kaulizie, ukipata tofauti isio kubwa na ukiwa na uhakika wa kuletewa kitu original ambacho wewe unahofu ya kuuziwa fake , basi mpe tu fundi hela ( kwa wasio na uzoefu)

6. Siku unayomaliza kupaua ndio ujenzi unaanza, kati ya vitu ambayo ni kuhimu katika nyumba na vina gharama kubwa ni kama mfumo wa maji, umeme, milango ya mbao na grill, hivi vitu usivichukulie kirahisi kwenye budget, gharama zake hua ni M M tu.

7. Unapotaka jugenga aim for high, nilikua nimeingia mtego wa kutaka kujenga chumba kimoja na sebure, ila nilipoamua kujenga nyumba ya vyumba vitatu niliona kabisa kama ni kitu ambaacho hakiwezekani ila hatimae imewezekana, lesson-- panga kwa kuangalia wewe unakua au unataka kua nani nani na si sasa hivi una hali gani .
Plan besed on who you want to be not who you are, by this utaepuka regret za kujenga kitu ambacho baadaae hukifurahii sana
Kunakauli inakatisha tamaa, gharama za kupaua/za bati, zinanitoa damu...ila hapa naona kuwa ukipaua ndio unaanza ujenzi...wtf!!!si bora niache
 
Back
Top Bottom