nilipita sehemu mwaka juzi nikaona Ceiling nzuri kama hii. Nilipiga picha.
Watalaam twambieni inahitaji makario kiasi gani cha pesa Sitting room kama hii.
Fundi kama yupo tuanze kazi as soon as...
Siku njema wana JF
Kuna wakati unafika unaona kuendelea kulipa kodi kwa mama mjengo sio chaguo sahihi,, hivyo unachagua kuingia kwenye nyumba yako ikiwa bado haijakamilika.
Je, uliingia kwenye...
Karibu mwezi na kitu baada ya mke wangu kuwa na homework ya kutafakari umiliki wa nyumba niliyojenga kwenye kiwanja chake sasa amefunguka na kusema atapendelea tuandike Majina yetu wote (Mimi na...
Habari nahitaji Ramani ya Chumba kimoja sebule na jiko , iwe simple not complicated
NB ukiwa maeneo ya Morogoro ni contact tuonane
Naomba approximation YA HII NYUMBA YA CHUMBA KIMOJA SEBULE NA...
Nimefika atua ya kuweka mfumo wa maji safi ndani ya nyumba. Naona fundi kaandika IPS ambazo ni rangi ya Damu ya mzee lakini most of my neighbours naona wametumia PPR ambazo ni rangi ya kijani...
Ndugu zangu naomba msaada kwa mwenye ujuzi katika ujenzi nataka nijenge kijijini pesa ngumu ngumu kweli je naweza jenga kwa kutumia material ya asili kama wajengavyo vijiji vya wenzetu nchi za...
1. Ukinunua ardhi(nyumba,kiwanja,shamba)hakikisha unafannya transfer(kuhamisha umiliki kutoka aliyekuuzia kwenda jina lako Mnunuzi) mara moja kadri uwezavyo.
Wengi mkinunua kwasababu hakuna...
Umuofia kwenu,
Nina kakibanda kangu huko mjini Kerege sasa wakati napiga gharama mbali mbali nikajikuta mambo yamekua mengi na mzigo (pesa inakata) na wakati huo nilikua tayari nishalipia pesa...
Hii nyumba inaonekana simpel sana..ila imekula nakshi kali mpaka kuonekana inavutia sana..najua kuna wakali wa hizi kazi humu..hivi ramani yake kwa ndani inaweza kuwaje?;(Najua ni kazi za watu)...
Nimegundua ukitaka kujenga ukisubiri Pesa zijae hata kibanda hutajenga, Basi sasa mliojenga ama wenye malengo ya kujenga ila bajeti inabana tushauriane ni bidhaa zipi tuanze kununua mdogo mdogo...
Kiwanja kina ukubwa wa 20*30 yaani sqm 600.Kipo Zingiziwa Hospitalini,kinauzwa kwa bei ya Tsh.5,000,000.Kipo flat kabisa,nipigie kwa namba 0786504002 kama unakihitaji.
Asalaam aleykum ndugu zangu.
Naomba msaada wa picha na ramani ya nyumba za slopu ya kawaida kabisa ili kuokoa jahazi, maana mwenye nyumba niliyopanga ananifanyia vitimbi visivyoisha. Lengo...
Wakuu Naombeni ufahamu, fundi kaniwekea milango aina ya mkongo, baada ya wiki mbili imepasuka kama picha inavyoonyesha, naomba kujua tatizo ni nini na nitairekebishaje.
Aisee, wadau wa ujenzi mabibi na mabwana,
Imekaaje hii,
Nina jamaa yangu tulikua wote bar muda si mrefu, tumeachana kila mmoja aende kwake. Jamaa anasema kafika kwake alikopanga kakuta mlango...
ndugu mteja karibu kujipatia mabati ya taishan kiwandani mbeya mabati imara yanayostahimili vipindi vyote vya jua na mvua bila kupauka
○aina za mabati tuliyonayo
migongo midogo
migongo mipana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.