Wiki mbiliJe? Umeshawahi kujenga nyumba kwa muda mfupi zaidi na kuhamia?,je ilikuwa kwa muda gani?
Njoo share uzoefu wako please!,mimi binafsi sijawahi hata kujenga choo!
Inategemea ujenz wa aina gan na umejipanga vip kuna kujenga kitajir na kuna kujenga kama kina sisi kwa hali ya chini zaid na ukahamia hata haijaisha vizur kuepuka kero za kodi na vyumba vingap na ni wap kila eneo na ujenz wake rahis
View attachment 2488050nshamaliza 1month.
1month ujenzi umeisha na nyumba tayari inaonekana kama ya urithiView attachment 2488050nshamaliza 1month.
Uliijengea chini kwa muda gani! Yaani installmentMi yangu nlijenga 1 week yaan siku 7 ikawa imeisha. Hadi kupaua siku ya 8 na 9 kuweka madirisha na lipu na frem za milango. Siku ya 10 na 11 froor tiles siku ya 12 na 14 gypsum wavu wa dirisha. Nikaacha siku3 ya 4 nikahamia
Siku zote hizo kwa rum moja ni nyingi sanaMi yangu nlijenga 1 week yaan siku 7 ikawa imeisha. Hadi kupaua siku ya 8 na 9 kuweka madirisha na lipu na frem za milango. Siku ya 10 na 11 froor tiles siku ya 12 na 14 gypsum wavu wa dirisha. Nikaacha siku3 ya 4 nikahamia
Sie wa kipato cha chini huwa tunaanza ki hvyo.wewe si unahela !!!ujue limeshika kiwanja hakiuzwi tena icho......1month ujenzi umeisha na nyumba tayari inaonekana kama ya urithi
Mi yangu nlijenga 1 week yaan siku 7 ikawa imeisha. Hadi kupaua siku ya 8 na 9 kuweka madirisha na lipu na frem za milango. Siku ya 10 na 11 froor tiles siku ya 12 na 14 gypsum wavu wa dirisha. Nikaacha siku3 ya 4 nikahamia