Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

On JF:

Habari! KAMPUNI NI : DATTI COMPANY LIMITED. INSTAGRAM : DATTI CONSTRUCTION Tembelea uone kazi zetu. Nawakaribisha sana kwa yeyote mwenye kuhitaji ramani ya jengo aina yoyote ikiambatana na 1...
0 Reactions
2 Replies
621 Views
Karibuni wakuu. Ujenzi wa msingi ni wa mawe Uwaazi wa geti ni mita 3.
2 Reactions
9 Replies
970 Views
Habari wapendwa Samahani, naombeni makadirio ya ujenzi wa chumba sebule Jiko dogo pamoja na public toilet Vyote ni vyumba standard, Nitashukuru sana
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Nafahamu weledi ni tatizo kwenye 'media' nyingi sasa hivi, imekuwa ni kawaida kutozingatia misingi na miiko ya taaluma ya habari. Mtama Fm ni miongoni mwa sehemu ya aibu kwa vyombo vyetu vya...
1 Reactions
2 Replies
499 Views
Nyumba hii ina 1 Master bedroom LIving room KItchen Dinning Store Public toilet Kama una ushauri unaweza kutoa ushauri Kama unahitaji tukuchoree raman yenye muonekano huu nichek 0743257669...
4 Reactions
25 Replies
3K Views
Habari Wana ujenzi, nilikua naomba ufafanuzi kati ya kununua Tofali za block kutoka kiwandani na kupeleka site na kununua Material na kupeleka site na kufyatua pale pale site. Mfano kama nina...
2 Reactions
88 Replies
23K Views
Tofali la inch 6: Length = x mm Width = x mm Depth = x mm Tofali la inch 5: Length = x mm Width = x mm Depth = x mm
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Nimefikiria hii, mtu anamaliza kutumia choo alafu anatoka kuja kunawa nje ya choo, hii inaweza kusababisha kusafirisha uchafu na vimelea vya magonjwa kutoka chooni, mfano wakati wa kufungua mlango...
4 Reactions
22 Replies
1K Views
🏠NYUMBA INAUZWA MILIONI 33 📍ipo MBONDOLE DAR-ES-SALAAM🇹🇿 Ni njia ya Chanika ukitokea MBAGALA rangi 3 kujia CHAMAZI AZAM COMPLEX Pia unaweta kutokea Njia PANDA YA KIVULE AU KUPITIA MOMBASA YA...
1 Reactions
36 Replies
2K Views
Kuna watu wanalilia kufika dar kisa magorofa ya kariakoo na posta. Ila kiukweli Dar ni mji wa kishamba sana. Kwa kweli watu wanaishintu kwa sababu ya tabu otherwise mhii wengi wangeshapakimbia...
13 Reactions
36 Replies
2K Views
usinunue kipindi cha kiangazi kama unataka kiwanja tafuta msimu wa mvua eneo unaliona vizuri kama lina asili ya matope au kuna maji yanapita chini kwa chini ili kuepuka changamoto.Na bora matope...
4 Reactions
8 Replies
603 Views
Karibu tuelimishane mambo kadhaa muhimu kabla ya kufanya ujenzi MAMBO YA KUZINGATIA KABLA YA KUANZA UJENZI NOTE: Kufuata taratibu za kitaalamu katika UJENZI kunaweza kusaidia kupunguza gharama za...
7 Reactions
12 Replies
2K Views
Naomba kujua kama kiwanja iko kinaweza jenga nyumba ya kisasa na ukapata na parking ya gari mbili(02)? Ukubwa wa vyumba utakuwaje
3 Reactions
15 Replies
3K Views
Ndugu zangu poleni na majukumu. kijana wenu nakuja mbele yenu kutafuta kazi au kibarua ili kuweza kumudi garama za maisha . kwenye maswala ya ujenzi nimebobea hasa upande wa ROOFING KUDHIBITI...
3 Reactions
9 Replies
535 Views
Dodoma kuna shida ya upatikanaji wa hati miliki za ardhi. Mtu anakuwa amemaliza kulipia kiwanja na kufuata hatua zote zinahitajika lakini linapofika suala la kupewa hati ni mtihani. Wapo wananchi...
7 Reactions
31 Replies
5K Views
habari Nini Huwa unafanya kukusaidia kiafya unapokuta choo cha jumuia ni cha kukaa
3 Reactions
9 Replies
599 Views
MBUNGE AYSHAROSE MATTEMBE AIBANA SERIKALI UJENZI WA HOSPITALI YA RUFAA MKOA WA SINGIDA Serikali imeeleza kuwa ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Singida inatarajiwa kukamilika ifikapo...
1 Reactions
1 Replies
333 Views
Watalamu Tunaweza rahisisha mambo chapu chapu hasa wale ambao hatuna ujuzi kbs wakujua makadirio ya vifaaa twende kazi NB:_ Kuna muda ana boronga mambo hakika una m feed taarfa sahihi ili akupe...
4 Reactions
5 Replies
652 Views
Mifumo ya Zamani ya Mashimo ❌ Kataa mifumo ya zamani ya mashimo kwa sababu itakugharimu mara mbili; mara ya kwanza katika ujenzi na tena katika matumizi (uondoaji taka). Pia, inachukua nafasi...
2 Reactions
1 Replies
412 Views
Wakuu moja ya halmashauri mkoani Tanga nimejenga kamjengo kangu Safi ambapo kamekuwa kama home pakufikia hasa nikirudi nyumbani kwetu Enzi natafuta kiwanja ilikuwa wengi hawajavuta umeme kwakuwa...
8 Reactions
31 Replies
1K Views
Back
Top Bottom