Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

On JF:

Bati ya ALAF na dragon, ipi bora, na ni ipi ambayo haipauki? Kama kuna anayejua kampunii nyingine, naomba ushauri. Na bei zake
2 Reactions
59 Replies
26K Views
Habari! Nawakaribisha sana kwa yeyote mwenye kuhitaji ramani ya jengo aina yoyote ikiambatana na 1. JENGO LOLOTE (RESIDENCIAL AND COMERCIAL BUILDING) 2. Makadirio ya UJENZI (BOQ) 3. KUJENGEWA...
1 Reactions
7 Replies
602 Views
Wakuu salamu zenu. Awali ya yote nitoe shukrani zangu za dhati kwa wana JF wote hasa jukwaa la ujenzi na makazi. Niliomba kuelekezwa mahali pazuri pa kuishi Dar nikitokea mkoani. Nashukuru...
0 Reactions
7 Replies
862 Views
Habari naombeni kazi mabosi zangu Nyumba ya vyumba ya vyumba 3 vya kulala napaua kwa lak 8 tu Namba zangu hizi 0743 257 669 Nipo banana ukonga
9 Reactions
40 Replies
2K Views
KIWANJA CHA NDEGE CHA KISASA KUJENGWA NJOMBE KARIBUNI Naibu Waziri wa Uchukuzi David Kihenzile amesema kwa mwaka wa fedha 2025/2026 Serikali inatarajia kutenga fedha kwa ajili ya kukamilisha...
0 Reactions
0 Replies
276 Views
Naitaji Raman ya nyumba kwa budget ya 30M Raman yenye vyumba vitatu Master room Sitting room 2plain room Kitchen Studying room Store Public toilet UKUBWA WA ENEO NI 70 kwa 40
5 Reactions
28 Replies
2K Views
UJENZI WA KIWANJA CHA NDEGE CHA SHINYANGA WAFIKIA ASILIMIA 75, KUKAMILIKA JUNI 2025 Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi Dkt. Charles Msonde ameieleza Kamati ya Kudumu ya Bunge Uwekezaji Mitaji ya...
0 Reactions
1 Replies
400 Views
Eti wakuu kwa bajeti ya milioni 30 naweza kuamia nyumba ya vyumba vinne yenye kiofisi na prayer room ndogo huku nikiwa sijamalizia finishing nyingine? Location: kanda ya ziwa Ukubwa nyumba: 13.5m...
4 Reactions
13 Replies
1K Views
S ERIKALI INAENDELEA NA UKARABATI WA MIUNDOMBINU YA UMEME ▪️Lengo ni kuondokana na changamoto ya kukatika kwa umeme ▪️Ujenzi wa kituo cha kupokea na kupoza umeme cha Kilindi, Tanga waffikia...
0 Reactions
0 Replies
267 Views
UJENZI WA MAABARA ZA MASOMO YA SAYANSI NA UANZISHWAJI WA "HIGH SCHOOLS" ZA SAYANSI Musoma Vijijini- kila Sekondari inapaswa kuwa na maabara tatu za masomo ya sayansi. Masomo hayo ni yale ya...
0 Reactions
1 Replies
333 Views
MAABARA ZA MTIRO SEKONDARI: HARAMBEE YA KUPAUA MABOMA YALIYOKAMILISHWA Harambee: Jumanne, 22 April 2025 Gharama za upauaji: Tsh milioni 25 (Tsh 25m) Mtiro Sekondari ni Kata ya Bukumi Vijiji...
1 Reactions
2 Replies
273 Views
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka wadau, Nina million 30 nipo dar natamani nijenge vyumba kadhaa vya kupangisha vya single ila self sasa kwa bajeti hiyo inaweza kutoa vyumba vingapi...
2 Reactions
4 Replies
589 Views
Members nawasalimu, Ningependa kufahamu kama ninaweza kuskim nyumba yangu kabla ya kuweka Gypsum board ? Nyumba yangu imefikia hatua ambayo nimeshawasha umeme wa tanesco ila ni sehemu chache...
0 Reactions
6 Replies
778 Views
Nimekua nikijiuliza sana hili swali...jamani naomba kujua.
0 Reactions
0 Replies
190 Views
Money talk bandugu . ukiwa nazo huhitaji kubanana na watoto sebuleni.. Wala weekend huhitaji kuikimbia nyumba yako.. Pembeni ya garden yako unaweza kuweka kitu kama hiki❤❤❤
1 Reactions
132 Replies
4K Views
Idea ni kujenga hostel kwa ajili ya wanafunzi. Jengo la ghorofa moja. Urefu wa 25m kwa upana wa 6m. Pichani ni picha inayofanania hilo jengo ingawa hilo lina vyumba 10. Ninalotaka mimi litakuwa na...
2 Reactions
3 Replies
816 Views
MAWASILIANO YA BARABARA DAR - LINDI KUREJEA KESHO, SOMANGA PANAPITIKA: WAZIRI BASHUNGWA Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa anaendelea kuisimamia timu ya wataalam na Makandarasi kurejesha...
1 Reactions
8 Replies
660 Views
MAWASILIANO YA BARABARA YA DAR - LINDI KUREJEA NDANI YA SAA 72: BASHUNGWA Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa, ameeleza kuwa timu ya watalaamu wa Wakala ya Barabara (TANROADS) na Makandarasi...
0 Reactions
1 Replies
532 Views
Huu mti uliota Shambani kwangu, Miaka 6 iliyopita.Mke wangu alikuwa anasimamia Ujenzi akataka Kukata, nikamwambia auache. Mwaka Jana ukatoa Maua mazuri lakini Yana harufu isiyovutia. Punde...
5 Reactions
12 Replies
1K Views
Jipatie Safety Gear vifaa vya usalama kwenye ujenzi ,viwandani na hata Migodini.Tupigie 0784087481 & watsup 0768815810.Tupo Mwanza na Tunatuma mikoani Kwa uwaminifu mkubwa
1 Reactions
2 Replies
321 Views
Back
Top Bottom