Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

On JF:

Karibu sana wateja wetu, sisi tunafanya kazi za ujenzi, finishing za makazi, Pamoja na UTENGENEZAJI wa Garden za KISASA. Gharama zetu ni sawa na bure, usikubali kuambiwa Bali chukua hatua ukitaka...
2 Reactions
4 Replies
512 Views
eti wakuu, limekaaje hili huko uliko? na je kama kuna maua au miti nani anayamwagilia maji na kuyakatia? ni mwenye nyumba au mpangaji?
4 Reactions
25 Replies
1K Views
Naomba ushauri kuna kiwanja nimekipenda kununua kina hati miliki lakini naskia gharama za kufanya transfer ni kubwa je nifanyeje ili kupunguza gharama au nitafute ambacho hakina hati militias...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Hv unajua lita 1 ni sawa na kilo 1 Kwahiyo kama kwenda mnara umeweka lita elf 10 Inamaana umeweka tani 10 😁😁😁 Fundi akisema nunua nondo usiwe bahili nunua nondo Tunaandaa Ramani, TunaJenga ...
2 Reactions
7 Replies
741 Views
habari wdau ukiachana na Google map na Google earth kuna application za kuchukua coordinate za kiwanja ambazo zinaendana na mfumo wetu wizara ya ardhi
1 Reactions
4 Replies
494 Views
Nipigie nikupe plan bei zangu ni BUREEEE PIGA HATA TUONGEE KUHUSU YANGA KUTOCHEZA MECHI. PIGA 0621 622 070
2 Reactions
0 Replies
369 Views
Uhakika wa nishati ya umeme katika nyumba ni jambo muhimu kila mmoja anafaham hilo; Tunajua namna gani nishati hii imekua sio ya uhakika wakati mwngne, kwa kuzngatia hilo nikupe wazo wakati...
12 Reactions
44 Replies
6K Views
MBUNGE KWAGILWA NHAMANILO: MAJI YATATIRIRIKA HANDENI Mbunge wa Jimbo la Handeni Mjini mkoani Tanga, Mhe. Kwagilwa Reuben Nhamanilo amesema kukamilika kwa mradi wa Bwawa la Kwenkambala na kujengwa...
0 Reactions
0 Replies
321 Views
USAMBAZAJI WA UMEME MUSOMA VIJIJINI Jimbo letu lina Kata 21 zenye Vijiji 68 na Vitongoji 374 (i) Umeme ndani ya Vijiji 68: Vijiji vyote 68 vimewekewa miundombinu ya usambazaji wa umeme Kazi...
0 Reactions
0 Replies
217 Views
JIMBO LA NAMTUMBO: BILIONI 3.3 ZATUMIKA UJENZI WA HOSPITALI YA RUFAA MKOA WA RUVUMA Ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Ruvuma, unaendelea kutekelezwa kwa awamu ambapo hadi sasa, kiasi cha...
1 Reactions
3 Replies
331 Views
Wakuu poleni sana na adha ya paa kuvuja. Mtaalam wa kuzuia maji kwenye paa nimefika karibuni. Wale wa hidden roof poleni sana na wale mlio weka paa la zenge pia poleni. Gharama zetu ni nafuu...
1 Reactions
7 Replies
797 Views
Raman hizi zote unazoziona hapa zina vyumba 2 vya kulala Nichek 0743 257 669 Natoa ofa kwa watu 10 tu niwape hizi raman Nina stock ya raman zaidi ya 500 na nachora nyingine mpya kila siku niletee...
5 Reactions
5 Replies
910 Views
Wataalam rangi za kampuni gani ni nzuri kwa kupaka nje ya nyumba? Rangi iwe nyeupe na ambayo haitaweka ukungu. Pili, bei zake kwa ndoo ya litre 20 na wastani ina cover sqm ngapi?
4 Reactions
264 Replies
40K Views
Ndugu wanabodi. Kuna utitiri wa uuzaji wa viwanja vidogo sana kwa bei inayoanzia laki nane mpaka milions kadhaa. Nikipiga hesabu futi 50 kwa 40 hapo utajenga nini. Au tunaenda kutengeneza...
15 Reactions
43 Replies
3K Views
Hivi vinafaa zaidi kwa watoto, sehemu za jumuiya ama kwa wapenda ng'areng'are.. Usukumani hivi utauza sana (joke)😂 Kama si mpenzi wa rangirangi hivi havikufai kabisa.. Vipite kama huvioni😂
3 Reactions
189 Replies
3K Views
Karibu napenda kukutia moyo ujenzi sio mgumu .Kama ukikutana na wataalamu sahihi wasio na tamaa wenye utu na wenye ujuzi wa kutosha Nakukaribisha Tunaandaa Ramani, TunaJenga , Tunapaua na...
0 Reactions
0 Replies
332 Views
Naomba kuuliza hivi unawezaje kuishi kwenye kiwanja Cha ukubwa huu yaani nashindwa kuwaelewa Hawa jamaa Leo nimepita sehemu nimekuta hiki kituko tena familia kubwa tu inafanya usafi kwenye...
3 Reactions
44 Replies
2K Views
Sifa za zege zuri kwa kujengea ni pamoja na: 1. Uimara: Zege linapaswa kuwa na nguvu ya kutosha kubeba uzito wa majengo na kuhimili mzigo wa muda mrefu. 2. Upinzani wa Maji: Zege bora huwa na...
2 Reactions
3 Replies
539 Views
WAKUU, Ni siku nyingine Tena kwenye jukwaa letu pendwa la ujenzi, tunazidi kupeana maujanja na kushea uzoefu mbalimbali. Binafsi ntaanza hivi. 1. Gharama za uchimba msingi, Hii gharama Huwa...
9 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom