Karibu sana wateja wetu, sisi tunafanya kazi za ujenzi, finishing za makazi, Pamoja na UTENGENEZAJI wa Garden za KISASA. Gharama zetu ni sawa na bure, usikubali kuambiwa Bali chukua hatua ukitaka...
Naomba ushauri kuna kiwanja nimekipenda kununua kina hati miliki lakini naskia gharama za kufanya transfer ni kubwa je nifanyeje ili kupunguza gharama au nitafute ambacho hakina hati militias...
Hv unajua lita 1 ni sawa na kilo 1
Kwahiyo kama kwenda mnara umeweka lita elf 10
Inamaana umeweka tani 10
😁😁😁
Fundi akisema nunua nondo usiwe bahili nunua nondo
Tunaandaa Ramani, TunaJenga ...
Uhakika wa nishati ya umeme katika nyumba ni jambo muhimu kila mmoja anafaham hilo; Tunajua namna gani nishati hii imekua sio ya uhakika wakati mwngne, kwa kuzngatia hilo nikupe wazo wakati...
MBUNGE KWAGILWA NHAMANILO: MAJI YATATIRIRIKA HANDENI
Mbunge wa Jimbo la Handeni Mjini mkoani Tanga, Mhe. Kwagilwa Reuben Nhamanilo amesema kukamilika kwa mradi wa Bwawa la Kwenkambala na kujengwa...
USAMBAZAJI WA UMEME MUSOMA VIJIJINI
Jimbo letu lina Kata 21 zenye Vijiji 68 na Vitongoji 374
(i) Umeme ndani ya Vijiji 68:
Vijiji vyote 68 vimewekewa miundombinu ya usambazaji wa umeme
Kazi...
JIMBO LA NAMTUMBO: BILIONI 3.3 ZATUMIKA UJENZI WA HOSPITALI YA RUFAA MKOA WA RUVUMA
Ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Ruvuma, unaendelea kutekelezwa kwa awamu ambapo hadi sasa, kiasi cha...
Wakuu poleni sana na adha ya paa kuvuja. Mtaalam wa kuzuia maji kwenye paa nimefika karibuni.
Wale wa hidden roof poleni sana
na wale mlio weka paa la zenge pia poleni.
Gharama zetu ni nafuu...
Raman hizi zote unazoziona hapa zina vyumba 2 vya kulala
Nichek 0743 257 669
Natoa ofa kwa watu 10 tu niwape hizi raman
Nina stock ya raman zaidi ya 500 na nachora nyingine mpya kila siku niletee...
Wataalam rangi za kampuni gani ni nzuri kwa kupaka nje ya nyumba? Rangi iwe nyeupe na ambayo haitaweka ukungu.
Pili, bei zake kwa ndoo ya litre 20 na wastani ina cover sqm ngapi?
Ndugu wanabodi.
Kuna utitiri wa uuzaji wa viwanja vidogo sana kwa bei inayoanzia laki nane mpaka milions kadhaa.
Nikipiga hesabu futi 50 kwa 40 hapo utajenga nini. Au tunaenda kutengeneza...
Hivi vinafaa zaidi kwa watoto, sehemu za jumuiya ama kwa wapenda ng'areng'are.. Usukumani hivi utauza sana (joke)😂
Kama si mpenzi wa rangirangi hivi havikufai kabisa.. Vipite kama huvioni😂
Karibu napenda kukutia moyo ujenzi sio mgumu .Kama ukikutana na wataalamu sahihi wasio na tamaa wenye utu na wenye ujuzi wa kutosha
Nakukaribisha
Tunaandaa Ramani, TunaJenga , Tunapaua na...
Naomba kuuliza hivi unawezaje kuishi kwenye kiwanja Cha ukubwa huu yaani nashindwa kuwaelewa Hawa jamaa Leo nimepita sehemu nimekuta hiki kituko tena familia kubwa tu inafanya usafi kwenye...
Sifa za zege zuri kwa kujengea ni pamoja na:
1. Uimara: Zege linapaswa kuwa na nguvu ya kutosha kubeba uzito wa majengo na kuhimili mzigo wa muda mrefu.
2. Upinzani wa Maji: Zege bora huwa na...
WAKUU,
Ni siku nyingine Tena kwenye jukwaa letu pendwa la ujenzi, tunazidi kupeana maujanja na kushea uzoefu mbalimbali.
Binafsi ntaanza hivi.
1. Gharama za uchimba msingi,
Hii gharama Huwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.