Msingi wa mgogoro wa UKUTA ni utekelezaji wa ilani.
Serikali inapanga mipango ya maendeleo inahamasisha wananchi kutekeleza na huku vyama pinzani havijakaa pembeni bali navyo vinahamasisha...
Mwezi huu bunge la Tanzania litakua na vikao vyake, na kama tunavyojua wanaohudhulia ni wabunge wanaotoka katika vyama vya siasa. Chama cha chadema kina wabunge katika bunge hili.chama hiki...
Kwa kipindi cha miaka miwili mamlaka ya Reli ya Tazara imekuwa inatokea fedha toka serikalini kwa ajili ya kuwalipa mishahara wafanyakazi wao,, na hii ilitokana na mamlaka hiyo kushindwa kuzalisha...
Nimewahi kuuliza kwenye uzi wa mdau mmoja humu wakati tarehe ya UKUTA ikikaribia("najiuliza kama Lowassa ataandamana").
Nikimuangalia Lowassa naona dhahiri ni mtu ambaye hawezi mikiki ya kupigwa...
Habari wanaJF,
Taarifa zilizonifikia hivi punde ni kuwa Tanzania Daima wako kwenye crisis kubwa kwasababu watu wanaodaiwa kuwa ni Madalali wa shirika la nyumba la Taifa la NHC wamefika ofisini...
Dhana ya UKUTA ilikuwa haieleweki vema na wananchi kwa waandaaji wake Chadema kushindwa kuitangaza ikaeleweka. Lakini serikali na chama tawala bila kujua wameifanya kazi hiyo kwa ufanisi mkubwa...
SAA tatu baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kutangaza kusitisha maandamano na mikutano yake chini ya operesheni yaUmoja wa Kupinga Udikteta (Ukuta), Jeshi la Polisi limewataka...
Nianze kwa kuwapongeza Chadema na hili la ubunifu wa ukuta. Kwa hakika mmetumia vyema karata yenu kama chama kikuu cha Upinzani Tanzania.
Ikumbukwe utawala wa awamu ya tano kwa vipimo vya kila...
HII KITU IKO KATIKA UZI WA BASHE MDADA JOYCE KAIMWAGA HAPO,JIULIZENI CHADEMA ACHENI USHABIKI,ZAMENI NDANI YA MIOYO YENU LIANGALIENI HILI, HIVI KAMA KWELI NI MPANGO KAZI, CHAMA HAKIKOSALAMA HATA...
Mode usiunganishe uzi huu
Mwenyekiti Mbowe ni mbinafsi na mnafiki kiasi cha tuzo ya NOBEL
swala la kuhairisha UKUTA limefanywa ili kuokoa maslahi binafsi, huku akileta vijisababu ambavyo...
Mwenyekiti wa Taasisi inayoshughulikia masuala ya Afrika (Africa Matters Limited) Mhe. (Baroness) Lynda Chalker wa Wallasey - Uingereza, amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt...
Mwenyekiti wa CHADEMA mkoani Arusha, Samson Mwigamba, amesema kuwa yeye yuko tayari kumpokea hata Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, endapo ataamua kufanya uamuzi wa kubadilika na kujiunga na...
Naomba mheshimwa Mbowe upime maamuzi kama ni mabovu au mazuri kwa sifa alizokumwagia kama Siro.
Kwa mala yakwanza nimeshuhudia makanda wa ccm wakikusifia.Tulizoea kuona wakisifia watu walioenda...
Kuna dhana mpya imejitokeza hasa kwa Mbowe,Lowassa, Mbatia na Wenzao wanapanga mipango halafu inapoonekana kuwa imeshindwa wanakuja kwa waandishi wa habari na kuhadaa umma eti viongozi wa dini...
Upepo uliosafirisha Ngalawa ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo huenda usijirudie tena kutokana na hali ya mawimbi kwenda upande ambao ni tofauti na uelekeo wa ngalawa ya Chama hicho kwa sasa...
Lengo kuu la kuanzishwa kwa ukuta ilikuwa ni kupinga kwa rais kusitisha siasa mpaka mwaka 2020 ndipo CHADEMA wakaja na mkakati huu wa kupinga na kusema rais ni dictator.
Na je endapo rais...
Tanzania nchi yangu, watu wako wanaangamia na kuangamizwa kwa kukosa maarifa. Ona wanatumia muda mwingi tangu 1961 kujaribu kuniomba na umaskini wa aina zote lakini hawapati ufumbuzi. Leo kaja...
MADHARA TULIYOYAPATA MWEZI MMOJA BAADA YA TAMKO KUHUSU MAANDAMANO YA KUPINGA UDIKTETA (UKUTA)..............................NINI KIFANYIKE?
Nianze kwakuwa shukuru Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
Haiwezekani watu kila siku wanasisitiza ukuta ukuta ukuta,na huku wakereketwa wengine wameandaa mpaka magongo ya kujifanya viwete....hapa nimejifunza mengi sana.Hiki chama kina watu wake,ila kina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.