Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kwa ufupi ni kuwa wabunge na madiwani waliopo madarakani kwa maeneo mengi wameshiriki kuvuruga uteuzi ndani ya CCM. Kwa fursa walizonazo wameshawishi wasiowapenda waondolewe katika maandalizi ya...
1 Reactions
1 Replies
397 Views
Main media karibu zote, Magazeti karibu yote, TV stations karibu zote zinaripoti uchaguzi wa Marekani kwa undani kabisa, kuna chaneli zimekesha zinaripoti huo uchaguzi, lakini cha ajabu hapa kwetu...
7 Reactions
33 Replies
1K Views
Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam, Askofu Jude Thaddeus Ruwa'ichi kupitia mahojiano aliyofanya na Tumaini TV amesema: "Uchaguzi wa serikali za mitaa ni zoezi la kiraia, ni fursa ya...
9 Reactions
56 Replies
4K Views
Hii ndio Taarifa ya sasa kutokea Jijini Mbeya, kwamba Wagombea wote wa Chama hicho wa Jimbo la Mbeya Mjini wanafanyiwa semina elekezi kuelekea kwenye Uchaguzi huo. Bali hatutatoa siri ya...
3 Reactions
20 Replies
982 Views
Wakuu, Yaani kauli anaitoa kiongozi wa CHADEMA halafu wanaenda kuhojiwa CCM kusemea kauli hiyo, kutakuwa na kutoegamia upande hapo ukizingatia tupo kwenye kipindi cha uchaguzi? Mnategemewa...
0 Reactions
1 Replies
393 Views
Ndio maoni yangu. Uchaguzi huu utakuwa na matokeo mabaya zaidi kwa Wapinzani kuliko ule uliopita. Kama ahueni yoyote itatokea, labda itakuwa katika Uchaguzi Mkuu wa 2025. Lakini mwaka huu...
0 Reactions
1 Replies
431 Views
Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu amekiri wazi kuwa chama chake kinapata wakati mgumu kupata wawakilishi wa Uchaguzi ujao wa Serikali za Mitaa kutoka na hitaji la wingi wa Wagombea...
1 Reactions
9 Replies
908 Views
KATIBU wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla, amewataka wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi kuwa na subira. Amesema watakaokatwa licha ya kushinda kura za...
0 Reactions
9 Replies
895 Views
Siasa ni Sayansi Fikiria kama Tundu Lissu angejiandikisha kupiga Kura mtaani Kwake Iwe Tegeta au Kijijini Ikungi hilo zengwe ambalo lingeuandama Mtaa huo Halafu 2025 ingesemekana TAL hakubaliki...
4 Reactions
18 Replies
853 Views
Kunaendelea kuchangamka uchaguzi serikali za mitaa mkoa wa Ruvuma wanachama mmetuboa. Hii nimeikuta ofisi ya TAKUKURU Chama cha Mpinduzi (CCM) Mkoa wa Ruvuma kwa kweli mnatuchosha wanachama...
0 Reactions
0 Replies
322 Views
Ndugu zangu Watanzania, Ni aibu na fedheha kubwa sana kwa Lissu kukimbia kujiandikisha kwenye daftari la mpiga kura.ni aibu isiyo bebeka,ni aibu na fedheha ya kiwango cha juu sana. Hivi...
2 Reactions
73 Replies
2K Views
Hello! This is Africa. Twende kwenye mada Ikiwa mwanasiasa atakupa fedha, huduma au kukufanyia jambo lolote kipindi cha uchaguzi usipaniki. Maana yake ni hii; Machoni pake wewe ni tahira. Don't...
2 Reactions
3 Replies
239 Views
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa (NEC) Itikadi, Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla akizungumza na Wanachama pamoja na Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Kinondoni...
2 Reactions
25 Replies
1K Views
Ndugu Amos Makalla amesema stori zote mtandaoni wakati wa kura za maoni zilikuwa zinahusu CCM kuendesha mchakato huo katika kuwapata wawakilishi wa chama hicho katika uchaguzi wa Serikali za...
4 Reactions
21 Replies
2K Views
04 November 2024 Mfano daftari la mkaazi la mtaa lilifungwa likiwa na watu 138 lakini leo tunapokwenda kuelekea kampeni kwa ajili ya uchaguzi idadi inasoma 738 katika kuta za matangazo , hii ina...
4 Reactions
15 Replies
1K Views
Tundu Lissu mbinafsi hajajiandikisha kupiga kura uchaguzi wa serikali za mitaa awapigie wengine waliogombea lakini 2025 atataka watu wampigie kura Hii sio sawa. Ukitaka kupigiwa kura pia wapigie...
0 Reactions
29 Replies
2K Views
Kamati ya Uongozi Taifa ya ACT Wazalendo imekutana kwenye kikao chake cha kawaida kilichofanyika jana tarehe 02 Novemba, 2024 katika Ukumbi wa Jurna Duni Haji, Makao Makuu ya ACT Wazalendo, Dar es...
1 Reactions
6 Replies
862 Views
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) bara Tundu Lissu amezungumza sababu ambazo zimemfanya kutoshiriki kujiandikisha kupiga kura kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za...
4 Reactions
17 Replies
2K Views
Asante sana vijiji vyote vitano kwa namna mnavyokiamini na kukikubali Chama Cha Mapinduzi. Shukran sana kwa kuamua kuongozwa na vongozi makini na waaminifu wa CCM. Ni kitongoji kimoja pekee ndio...
2 Reactions
25 Replies
1K Views
Mambo ni moto, mi nawasogezea tu taarifa karibu, muda wa kufanya maamuzi ukifika mnakuwa na taarifa zote muhimu. Kupata taarifa za mikoa mbalimbali kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa ingia...
0 Reactions
6 Replies
737 Views
Back
Top Bottom