Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Tangu kurejeshwa kwa mfumo wa vyamavingi Mwaka 1992, Tanzania imejengwajuu ya msingi wa kikatiba unaotambuademokrasia, utawala wa sheria na heshimakwa haki za binadamu. Katiba ya Jamhuri ya...
0 Reactions
1 Replies
113 Views
Wakuu, Balozi wa EU Christine Grau, amejibu lile swali la Who Are You kutoka kwa Rais Samia Hapa Balozi alikuwa anazungumza na The Chanzo na alivyoulizwa kuhusu wapi ambapo Umoja wa Ulaya...
6 Reactions
11 Replies
465 Views
Serikali ya Uingereza imeifikisha Tanzania katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa (UNHRC), ikitaka kufanyika kwa uchunguzi huru na wa kina kufuatia kile ilichokiita "ukatili wa...
18 Reactions
61 Replies
1K Views
Kabla ya kufanyika kwa uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 serikali ilitangaza kuwa imefanya marekebisho katika Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) ili iwe huru na haki. Moja ya maeneo ni...
3 Reactions
4 Replies
144 Views
Makamu Mwenyekiti mstaafu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Zanzibar, Said Issa Mohamed akiongea na Waandishi wa Habari, leo Machi 5 akizungumzia mazingira ya kisiasa nchini ameeleza...
2 Reactions
30 Replies
462 Views
Linganisha idadi ya vifo katika vita hii kali kabisa halaf linganisha na mauaji waliyofanya CCM na Polisi ndani ya siku moja tu(siku moja tu), ili Samia awe Rais: Muhtasari wa Makadirio ya Idadi...
4 Reactions
21 Replies
516 Views
Akizungumza leo Novemba 26, 2025, katika ufunguzi rasmi wa wiki ya usafiri endelevu ardhini, uliofanyika kwenye ukumbi wa kimataifa wa JNICC jijini Dar es Salaam, Waziri mkuu wa Tanzania Dkt...
11 Reactions
44 Replies
1K Views
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola, Mhe. Shirley Botchwey, amemteua Mhe. Dkt. Lazarus Chakwera, Rais wa zamani wa Malawi, kuwa Mjumbe Maalum wake katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Dkt...
2 Reactions
60 Replies
2K Views
  • Featured
Msimamizi wa Uchaguzi mdogo wa Jimbo la Peramiho Exavery Luyagaza amemtangaza Dkt. Lazaro Kiliani Komba wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuwa mshindi wa kiti cha Ubunge wa jimbo la Peramiho kwa...
4 Reactions
41 Replies
1K Views
Kuzimwa kwa intaneti wakati wa uchaguzi mkuu kuanzia Oktoba 29 hadi Novemba 3, 2025 kumesababisha hasara inayofikia zaidi ya dola milioni 250, sawa na shilingi za Tanzania bilioni 637.8 Hayo...
2 Reactions
7 Replies
309 Views
Kanisa la Roman Catholic linajitosheleza kwa kila idara lina kitengo cha ujasusi The Jesuit lina benki yake Bank of Vatican, lina miradi mikubwa dunia nzima, uchumi wake Tanzania ikasome...
21 Reactions
36 Replies
1K Views
Historia inaonesha uongozi unaweza kuwa halali Kisheria lakini ukakosa uhalali wa kijamii Takribani miezi minne baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, Tanzania inakabiliana na kipimo halisi...
1 Reactions
1 Replies
116 Views
Wakati kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu ikiendelea, imeonekana upande wa Serikali umekosa ushahidi wenye mashiko wa kumbana mwanasiasa huyo, hivyo mawakili wa upande...
13 Reactions
46 Replies
1K Views
Idara zetu zipo makini kweli ? nani katoa kibali kuruhusu website hii inayozagaa kwenye magroup kupewa ruhusa ya kuwekwa kwenye serva ? Pia kuna sehemu ya kurekodi majina, tuna uhakika gani...
4 Reactions
41 Replies
2K Views
Rais Samia Suluhu Hassan amewahutubia wazee wa Dar es Salaam leo Desemba 2. Kiini cha ujumbe wake kilikuwa ni maandamano yaliyofanyika Oktoba 29, 2025. Kwa kiasi kikubwa hotuba yake ni kama...
2 Reactions
11 Replies
441 Views
  • Featured
Wakuu, Naona Jeshi la Polisi linatumia nguvu sana kukanusha uwepo wa kundi hili la Tanzania Freedom Fighters badala ya kutuoneyesha wamefanya nini kuwakamata/kuwadhibiti na kurejesha 'amani'...
5 Reactions
44 Replies
2K Views
Nimeona video kiongozi wa kikundi Cha uasi Cha kutetea raia akitoa tamko dhidi ya serikali haramu ya tanzania hususani kwawataja sana polisi aisee kumeanza kuchangamka ni moto hii ni screenshot...
25 Reactions
235 Replies
7K Views
Wasira anadai mauwaji yalikuwa sahihi wakati ni kinyume cha sheria na wali uwawa hadi watoto na wajawazito. kwa sheria za nchi na kimataifa hakuna mauwaji sahihi tuna sheria za nchi na mahakama...
1 Reactions
9 Replies
187 Views
Hili swali najiuliza Sana, kama CHADEMA wangeamua kushiriki uchaguzi na hii bogus INEC je maandamano ya October 29, yangetokea? Katika kitu kiliwaudhi Sana CCM ni Chadema kujitoa kushiriki kiini...
8 Reactions
13 Replies
328 Views
Wanasheria Tito Magoti na Bob Chacha Wangwe kupitia Kesi Na. 59 ya mwaka 2025 wameishtaki Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pamoja na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki katika...
5 Reactions
8 Replies
366 Views
Back
Top Bottom