Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wameunda tuma ili kujua walio na ushidi ni akina nani, muhusika wa mauwaji na ndie chanzo hawezi kuunda tume kwa lengo zuri.
0 Reactions
4 Replies
108 Views
https://www.facebook.com/share/v/17qxXJt2YN/ kuna video nyingi sana, huo mfano mmoja. Msikilizeni huyu dada, anaelezea kwa kirefu kiasi gani maandamano yalivyoandaliwa na baadhi ya diaspora wa...
2 Reactions
29 Replies
1K Views
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Kauli na vitendo vya Mh. Simbachawene vinanipa matumaini kuwa huenda tatizo la police kuwa kero kwa wananchi likawa limepata ufumbuzi. Katika kipindi...
1 Reactions
9 Replies
226 Views
Askofu wa Jimbo Katoliki la Iringa, Mhashamu Romanus Mihali, amewataka Wakristo, hususan waumini wa Kanisa Katoliki, kutimiza wajibu wao wa kusimamia haki, amani na uadilifu, hasa katika masuala...
11 Reactions
27 Replies
464 Views
Wakuu, Jaji Chande na Tume yake wanapata wapi hii nguvu ya kuonya wakati polisi walituambia tufute video na picha zote tulizokuwanazo kwenye simu? Tulikuwa tunashushwa kwenye magari wanafanya...
12 Reactions
24 Replies
612 Views
Tume ya Uchunguzi imetoa wito kwa wananchi kupuuza ushawishi wowote unaolenga kuwazuia kushirikiana na tume hiyo na badala yake watoe maoni na ushauri kwa tume. Wito huo umetolewa Desemba 26...
1 Reactions
27 Replies
461 Views
Wakuu, Askofu Bagonza Disemba 8 aliuliza, "Kuvaa kininja mahakamani na kuteka/kukamata bila sare; aseme IGP au Waziri? Askari wamfuate yupi? Nani awaamue?" Aliuliza swali hilo, kukiwa na...
3 Reactions
11 Replies
308 Views
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene ameweka wazi maelekezo aliyoagizwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ambayo yanaenda kugusa jeshi la polisi nchini. Mabadiliko makubwa...
11 Reactions
114 Replies
2K Views
Kwa kuwa tumewataka waliosmamia na kupitisha Uchaguzi. Huu watubu kwa Nini tusiwatenge wakina nchimbi na viongozi wote wanao tokana na uchaguzi wa Oktoba
3 Reactions
12 Replies
189 Views
Katibu Mkuu wa Barala La Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) Padre Dkt. Charles Kitima akizungumza jana Disemba 19, 2025 wakati wa akimtambulisha Naibu Katibu Mkuu mpya wa Baraza hilo huku...
6 Reactions
93 Replies
2K Views
Wakuu, Jaji Warioba ameendelea kuonyesha busara zake. Kama mpaka Spika na Bunge lake wanatoa tuzo kwa Rais, kusifia utendaji wake bora, chombo hicho kitakuwa na uhuru? Jaji Mkuu na Spika kutwa...
18 Reactions
27 Replies
824 Views
Jeshi la Polisi Tanzania limewashukuru wananchi kwa ushirikiano katika kulinda amani wakati wa Sikukuu ya Krismasi na kusema kuwa hali ya usalama nchini imeendelea kuwa shwari. Polisi wamesema...
3 Reactions
12 Replies
303 Views
Friends and Our Enemies, Ukimsikiliza warioba kwa umakini sana utabaini wazi wazi kuwa ni muendelezo wa drama za TEC na Mfumo kristo mara baada ya kufeli kwa harakati zao za kutumia GENZ katika...
2 Reactions
262 Replies
3K Views
Salaam! Asomaye na afahamu, 1. Mfalme Daudi alipenda sana kumjengea hekalu Mungu Ili Sanduku la AGANO lipate pa kukaa, akasahau kuangalia mikono yake ilivyojaa damu, ombi lake likakataliwa...
10 Reactions
28 Replies
472 Views
Mkurugenzi wa Mawasiliano Kanisa Katoliki jimbo Kuu la Tabora amesema siku ya uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 uliofanyika Oktoba 29 yalifanyika matukio mengi ambayo hayaleti taswira njema kwa taifa...
1 Reactions
0 Replies
92 Views
Kada ya CCM Tarime mkoa wa Mara Zakayo Wangwe aelezea kwa kina hali ya siasa Tarime na changamoto iliyopo ikiwa mbunge wa CCM Waitara atapitishwa kugombea 2025 Kada Zakayo Wangwe amesema kuwa...
6 Reactions
15 Replies
498 Views
Shirika la kimataifa linaloshughulikia haki za binadamu la Amnesty International, limetoa ripoti yake inayothibitisha kwamba, vyombo vya usalama vya Tanzania vilitumia nguvu zisizohitajika au...
22 Reactions
39 Replies
862 Views
Akizungumza kuhusu suala hilo, Warioba amesema tathmini ya matumizi ya nguvu inapaswa kuangaliwa kwa uhalisia, hususan kwa kuzingatia idadi ya vifo vilivyotokea. Ameeleza kuwa maandamano...
26 Reactions
57 Replies
2K Views
Mzee Warioba ameongea mengi ambayo sasa yamenukuliwa mitandaoni Aliyoongea CCM ya sasa haina ubavu wa kuyaongea kwa vile sasa CCM si chama cha wananchi, bali viongozi ambao hawafai kuitwa...
23 Reactions
29 Replies
745 Views
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Pwani kimewateua Baraka Mussa Nandonde kukaimu nafasi ya aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa Kanda hiyo, na Isaya Mwita kushika nafasi ya mweka...
3 Reactions
3 Replies
181 Views
Back
Top Bottom