Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ukiwa kiongozi ukiiba watajua na taarifa watazihifadhi Ukila rushwa watajua na taarifa watazihifadhi. Ukianzisha kikundi chako nje ya mfumo wa vyombo vya dola kwa ajili ya kazi zako chafu...
67 Reactions
106 Replies
6K Views
Mtia nia wa nafasi ya Urais katika Uchaguzi mkuu kupitia Chama cha Wananchi CUF Nkunyuntila Siwale amesema endapo Chama chake kitampa ridhaa ya kuwania nafasi ya Urais atawapa ajira Vijana wote...
0 Reactions
2 Replies
367 Views
Ndugu zangu Watanzania, Kuna uwezekano wazungu Wameanza kupoteza uwezo wa kufikiri na kupambanua Mambo, wameanza kudumaa kiakili, wameanza kufikiri wapo bado enzi za ukoloni,wameanza kufikiri...
17 Reactions
235 Replies
8K Views
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche amesema wakati alipokuwa Bungeni mishahara ya Wabunge ilikuwa Tsh. Milioni 4 (take home) na nyongeza ya Posho ya Jimbo Tsh. Milioni 8 kwa mwezi lakini...
3 Reactions
12 Replies
1K Views
Wanajf, Mwaka juzi na mwaka Jana nilifuatilia uchaguzi mkuu wa Marekani wa 2024 kwa miaka miwili mfululizo. Na sasa nafuatilia uchaguzi wa hapa kwetu Tanzania. Nimegundua kuwa Kuna matukio 8...
4 Reactions
7 Replies
657 Views
Hapa unaweza kujionea mwanzo mwisho wa kilichodiliwa jana kuhusu demokrasia za nchi zetu. https://www.youtube.com/live/UKi9Fg-SmT8?si=kWlHqF6ElFu-bIDb
2 Reactions
6 Replies
613 Views
Inasikitisha sana na Kuona mwanasiasa mkongwe aliyehudumu mihula minne jimboni Mwanga mkoani Kilimanjaro akikosa mbinu ya kumnadi mwanaye na Sasa anamtumia shekh wa wilaya kuendesha harakati za...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Kwa sababu Amos Makalla amesema hana taarifa. Kwa sababu siku hizi kuna fake news nyingi watu wanataka uhakiki wa hii taarifa. Na hata Makalla amesema mwachie Polepole mwenyewe athibitishe. Kuhusu...
2 Reactions
6 Replies
462 Views
Kumekuwa na madai ya ukiukwaji wa haki za ardhi unaofanywa na Shirika la Maendeleo la Jiji la Dar es Salaam (DDC) katika eneo la Mbopo, Kawe, na maeneo jirani jijini Dar es Salaam. Madai haya...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Kesho weka bundle Mkuu kuna good news zinakuja . Taifa linaenda kupona Timu zipo tatu -hana deni (Consumers) -NREN -Tubadilishe Striker la sivyo tukose wote . Wabaya zaidi wazee watukose wote...
9 Reactions
18 Replies
903 Views
Sehemu kubwa ya bara la Afrika haiendelei kwa sababu Afrika imejaza watu wengi wajinga sana waliopindukia. Afrika ni bara lenye watu wengi wajinga wajinga sanaaaa. Afrika kuendelea ni ngumu kama...
0 Reactions
23 Replies
685 Views
Kichwa cha Habari ndio sababu ya Bunge kutovunjwa na hii imefanywa kuepuka kuvunja Katiba kwa kuruhusu uwepo wa Mawaziri wakati Bunge limeshavunjwa kama ilivyowahi kutokea awamu fulani Epukeni...
1 Reactions
13 Replies
566 Views
Ni aibu hii sio nchi aliyoiacha Mwalimu Nyerere ambayo ilikuwa ni mwenyeji wa vikundi vingi vya wapigania uhuru na kutoa hifadhi ikiwepo Makao Makuu ya Kamati ya Ukombozi ya Bara la Afrika...
22 Reactions
95 Replies
4K Views
Katika nchi zote za ukanda huu ni uganda pekee ambayo ina dalili zote za kua kinara wa uchumi, Ikumbukwe pia uganda ilipigwa BAN kutoka kwa IMF kutokana na sheria inayohusiana na mapenzi ya...
1 Reactions
1 Replies
277 Views
Ndugu zangu Watanzania, Usiku wa Deni hauchelewi kukucha, ahadi ni Deni. Kesho Asubuhi na Mapema nitashusha Uzi na andiko zito sana la kujibu Barua ya Polepole. Andiko ambalo litaitetemesha Nchi...
4 Reactions
76 Replies
2K Views
Kesho tarehe 16 yule kiongozi wa Maratusi anaweza kuwa ameachiwa. Kinachofanyika hapa ni kumuhai Mtu mmoja kabla hajavuruga hali ya hewa kiungo muhimu wa kikosi namba tano. 6th sense
5 Reactions
33 Replies
2K Views
Polepole baada ya kukichafua amesema yeye hatakimbia nchi, huu unaweza kuonekana kama ujasiri mkubwa sana kwa baadhi ya watu lakini kwa wenye fikra pana hakuna ujasiri wowote kwani hakuna jambo...
0 Reactions
3 Replies
444 Views
Hawa CCM na serikali yao siku hizi wamekuwa predictable sana. Baada ya hii barua ya Polepole ya kujiuzulu na kuukosoa uongozi wa Raisi Samia hadharani, utakuta kuna team maalum imewekwa kutafuta...
9 Reactions
29 Replies
1K Views
Hellow! Nijuavyo, makusanyo ya ndani yanatosha pekee kulipia mishahara kulipia watumishi wa umma, pesa ya miradi mara nyingi ni mikopo na misaada. Na ukweli huu ndio sababu hata ujenzi wa...
3 Reactions
22 Replies
787 Views
Ukweli ni kuwa Adam si msomi aliyebobea kama marehem baba yake ambaye alimu yake ilisheheni kweli kweli kiasi cha kuweza ku command heshma ya juu toka kwa Mwalimu Nyerere na Mzee Ali Hassan...
3 Reactions
478 Replies
55K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…